mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
Mnavyohangaika hadi huruma.Jezi Yanga wafanyabiashara wamenunua mzigo mkubwa wanauza hadi elfu 60 while wao,hii leo maduka ya mitaani jezi ya Yanga kwa elfu 35 upati,za mikia leo hii elfu 10 unapata jezi zote 3