Ubabaishaji? Simba wa ahirisha kuzindua jezi

Ubabaishaji? Simba wa ahirisha kuzindua jezi

Jezi Yanga wafanyabiashara wamenunua mzigo mkubwa wanauza hadi elfu 60 while wao,hii leo maduka ya mitaani jezi ya Yanga kwa elfu 35 upati,za mikia leo hii elfu 10 unapata jezi zote 3
Mnavyohangaika hadi huruma.
 
Mnavyohangaika hadi huruma.
Yanga tuangaike na nyie mikia!aitokuja itokee mikia muanze kuzindua jezi au kufanya mikia day kabla ya Yanga,never never,hiyo yote sababu ubunifu 0 so mnataka kile atakachofanya Yanga mkacopy,utaona hata mwaka Yanga tutazindua jezi kabla ya mikia na Wananchi day itaanza baadae ndio itafuata mikia day,hatuna cha kucopy mkiani ila mikia mna mengi ya kucopy
 
Yanga tuangaike na nyie mikia!aitokuja itokee mikia muanze kuzindua jezi au kufanya mikia day kabla ya Yanga,never never,hiyo yote sababu ubunifu 0 so mnataka kile atakachofanya Yanga mkacopy,utaona hata mwaka Yanga tutazindua jezi kabla ya mikia na Wananchi day itaanza baadae ndio itafuata mikia day,hatuna cha kucopy mkiani ila mikia mna mengi ya kucopy
Simba anafanya simba day huu mwaka wa 13 yanga ndio mwaka wa pil alaf bado unasema et simba anakopy kwa yanga,ukiacha mwaka huu nazan kibiashara miaka ambayo simba na yanga wanatoa jez zao wenyewe mara nyng simba ndio anaanza kuzindua jez fuatilia ,na pia ktk dunia hakuna jambo jipya wote tunakopy so sio ishu ishu kufanya vzur
 
Simba anafanya simba day huu mwaka wa 13 yanga ndio mwaka wa pil alaf bado unasema et simba anakopy kwa yanga,ukiacha mwaka huu nazan kibiashara miaka ambayo simba na yanga wanatoa jez zao wenyewe mara nyng simba ndio anaanza kuzindua jez fuatilia ,na pia ktk dunia hakuna jambo jipya wote tunakopy so sio ishu ishu kufanya vzur
Kilaza huyo kanunua smart mwezi uliopita Hana lolote ajualo
 
Jambo hili limewakera mno wanasimba mtandaoni ambao hawaja acha kuonyesha hasira zao kwa viongozi wao.

Timu kubwa Kama Simba ku ahirisha shughuli?what is going on?
Nina uhakika wa 100% HILI JINGA halijawahi kununua jezi ya timu yake HATA MARA MOJA
 
Simba anafanya simba day huu mwaka wa 13 yanga ndio mwaka wa pil alaf bado unasema et simba anakopy kwa yanga,ukiacha mwaka huu nazan kibiashara miaka ambayo simba na yanga wanatoa jez zao wenyewe mara nyng simba ndio anaanza kuzindua jez fuatilia ,na pia ktk dunia hakuna jambo jipya wote tunakopy so sio ishu ishu kufanya vzur
Unajua nchi imesimama.
Vunja bei kasambaza kote.

Weekend iliyopita nilimsindikiza broo kununua jez ya Yanga, ye yanga kindakindaki. Pale GSM tukaambiwa zilikuja jez elf 65 tu.

Broo kawa mnyonge anasubiri hizo zinazokuja na meli.[emoji23]
 
Mm si mvaaji wa jezi kiukweli.
Ila kwa hii hatimaye nimeshawishika aiseh.

Ila Sasa moe asitukere tena kwa kutaka kutengeneza mwenyewe.
Mo haamin kama vunja bei kafanya mapinduzi. Aache tamaa ya kutaka kutengeneza yeye.
Ye alishindwa kabisa
Walikuwa wanatuletea mijez ya ajabu ajabu.

Ila navaa bila wasiwasi.
Hakuwa MO alikuwa Kassim Dewji kama sikosei.
 
Jambo hili limewakera mno wanasimba mtandaoni ambao hawaja acha kuonyesha hasira zao kwa viongozi wao.

Timu kubwa Kama Simba ku ahirisha shughuli?what is going on?
Uto mnapata tabu Sana !
Mkilala mkiamka mnamwazia kidume Simba msimu huu atawapiga bao ngapi, bas mnapata preshaaaah!

Tulieni Mkurungu uwaingie!
 
Jambo hili limewakera mno wanasimba mtandaoni ambao hawaja acha kuonyesha hasira zao kwa viongozi wao.

Timu kubwa Kama Simba ku ahirisha shughuli?what is going on?
Usiwapangie cha kufanya, nyie endelezeni tu mipasho ya jezi huku maandalizi ya CAF CL mkiwa mumeyasahau kabisa
 
Back
Top Bottom