safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Habari za jioni wakuu,natumai wazima.
Nimechoshwa kabisa na hii tabia ya halotel kutuma sms ya kubakisha 75% za kifurushi wakati haujafanya jambo la maana.
leo saa nne na robo asubuhi (10: 15) nilijiunga kifurushi cha wiki cha mb 440 kupitia halopesa(megabando).
CHa kushangaza saa nne na dakika 38 (10:38) asubuhi natumiwa sms kwamba nimetumia 75% ya kifurushi yaani 75% ya 440Mb.
Saa nne na dk 39(dk 1 mbele) naangalia salio nimebakiwa na MB 388,huu si wizi huu ? Yani mtandao mkubwa kama huu wanakuwa na mahesabu ya hovyo ?
Kimshesabu tu 75% ya 440 ni sawa na MB 330.
MBona nikiangalia salio nakutana na MB 388 ambayo sio 75%.
75% ya 440Mb ni sawa na Mb kama 110mb,yaani unatumiwa meseji ya kutumia 75% ila ukiangalia salio unakuta zimebaki zaidi ya hizo 75% ?
Mbona haloteli mnatufanyia haya mauzauza ?
Meseji za uthibitisho ziko hapa chini hawa haloteli wanatufanyia uhuni.
Nimechoshwa kabisa na hii tabia ya halotel kutuma sms ya kubakisha 75% za kifurushi wakati haujafanya jambo la maana.
leo saa nne na robo asubuhi (10: 15) nilijiunga kifurushi cha wiki cha mb 440 kupitia halopesa(megabando).
CHa kushangaza saa nne na dakika 38 (10:38) asubuhi natumiwa sms kwamba nimetumia 75% ya kifurushi yaani 75% ya 440Mb.
Saa nne na dk 39(dk 1 mbele) naangalia salio nimebakiwa na MB 388,huu si wizi huu ? Yani mtandao mkubwa kama huu wanakuwa na mahesabu ya hovyo ?
Kimshesabu tu 75% ya 440 ni sawa na MB 330.
MBona nikiangalia salio nakutana na MB 388 ambayo sio 75%.
75% ya 440Mb ni sawa na Mb kama 110mb,yaani unatumiwa meseji ya kutumia 75% ila ukiangalia salio unakuta zimebaki zaidi ya hizo 75% ?
Mbona haloteli mnatufanyia haya mauzauza ?
Meseji za uthibitisho ziko hapa chini hawa haloteli wanatufanyia uhuni.