Nchi haina utawala wa sheria kila mpuuzi anaweza kuibuka na upuuzi wake hata kama ni kinyume cha katiba ili tu kuhakikisha maccm yanaendelea kuminya haki za Watanzania, vyama vya siasa na pia vyombo vya habari.
Nchi haina utawala wa sheria kila mpuuzi anaweza kuibuka na upuuzi wake hata kama ni kinyume cha katiba ili tu kuhakikisha maccm yanaendelea kuminya haki za Watanzania, vyama vya siasa na pia vyombo vya habari.
Nchi haina utawala wa sheria kila mpuuzi anaweza kuibuka na upuuzi wake hata kama ni kinyume cha katiba ili tu kuhakikisha maccm yanaendelea kuminya haki za Watanzania, vyama vya siasa na pia vyombo vya habari.
Halafu baada ya uvunjaji wao wa sheria makusudi, anaibuka Waziri Mkuu kutaka mazungumzo na vyama vya siasa kama vile yeye ndie mahakama ya kutafsiri sheria.
Kama sheria iko wazi vyama vya siasa viko huru kufanya kazi zao, viachwe vifanye, sio kuwazuia kwa maslahi binafsi ya CCM, halafu kiongozi wa CCM anataka awe msuluhishi, hizi ni bangi.
Halafu baada ya uvunjaji wao wa sheria makusudi, anaibuka Waziri Mkuu kutaka mazungumzo na vyama vya siasa kama vile yeye ndie mahakama ya kutafsiri sheria.
Kama sheria iko wazi vyama vya siasa viko huru kufanya kazi zao, viachwe vifanye, sio kuwazuia kwa maslahi binafsi ya CCM, halafu kiongozi wa CCM anataka awe msuluhishi, hizi ni bangi.
Tutalaumiana Sana ila mwisho wa siku Katiba ndo suluhu.lakini ni vyema CCM wakaona aibuuuuu inakuwaje wao wanasimamia uchaguzi kwenye mfumo wa vyama vingi?? Yaani mtendaji,mkurugenzi na wasimamizi wote wa uchaguzi ni makada wa CCM alafu baada ya uchaguzi tunatangaziwa CCM imeshinda kwa kishindo kwani huwa wanashindana na nani??
Tutalaumiana Sana ila mwisho wa siku Katiba ndo suluhu.lakini ni vyema CCM wakaona aibuuuuu inakuwaje wao wanasimamia uchaguzi kwenye mfumo wa vyama vingi?? Yaani mtendaji,mkurugenzi na wasimamizi wote wa uchaguzi ni makada wa CCM alafu baada ya uchaguzi tunatangaziwa CCM imeshinda kwa kishindo kwani huwa wanashindana na nani??