Ubabe wa kenya airways kwa abiria wa tz

Ubabe wa kenya airways kwa abiria wa tz

Nafikiri inategemea matatizo yanayopatikana ni kulingana na situation siyo kwamba ndivyo KQ walivyo.

Ninapata neema ya kutumia KQ kama mara 8 kwa mwaka na huwa sipati matatizo haya mnayosema. Changamoto ninayopata ni kama muda wa kuunganisha ukiwa mdogo Nairobi basi mzigo unabaki na ninaupata kesho yake.

Kwa hiyo naamini KQ ni wazuri ila zipo changamoto ambazo watu wengine wanazipata lakini zinategemea na mazingira au hali inayokuwa imetokea siku hiyo, kwani hakuna kazi yoyote ambayo haina changamoto.

It's just a matter of time, mkuu!!
 
mi nashukuru mungu bana huwa nasikia tu kuna KQ,mala kwa kwa mala natumia somba somba Ethiopia AIR LINE,muruwaaaaaaaaaaaa hakuna choko choko,sina mpango na sitegemei kupanda KQ labda kazini tulazimisjwe kwa kupewa ticket ya KQ la sivyo sitaki kuisikia KQ

KAMA VIPI TUWEKE KAMGOMO KA CHINI CHINI
 
Hee haya nayo ni mapya! Nimesafiri na hao jamaa mara nyingi kati ya Dar - NBO, ENTB - NBO bila shida yoyote na ilifikia mahali nikawafagilia kwa huduma nzuri - ingawa wizi wa mizigo upo hasa Entebbe. Sasa mbona inakuwa kinyume wadau?

Labda ilikuwa bahati mbaya kwa huyo mwananchi! Lakini pia tunatakiwa sisi wenyewe tuwe aggressive usikubali jamaa akukanyagekanyage na wewe unamchekea tu! Tutabaki walalamishi tu! Inakuwaje una boarding pass halafu jamaa akwambie hakuna nafasi? Anakuja Mzungu anaingizwa wewe umezuiliwa unakubali tu. Hii tusiiruhusu waTZ!
 
Masikini Watanzania, miaka hamsini ya Uhuru bado wanaonewa kama yatima kwa mambo ya kijinga tu? nani aliuwa kampuni ya ATC? si yule Mzanzibari ndugu ya Jaji Mkuu wa Mahkama ya Zanzibar Hamid Mahmoud? halafu mbaya alikuwa shoga, kampuni isife? Watanzania mtazidi kuonewa mpaka tupate uongozi wenye hasira na kero kama hizi.
 
Always! Kenyans means BUSINESS! hivi hawajui bado damuni mwetu tuna chembechembe za ujamaa,upole na respect.
you just wait when the EAC free flow of labours is at it boom state.
 
Acheni kupanda pandeni Qatar Air ways mtaenjoy
 
Always! Kenyans means BUSINESS! hivi hawajui bado damuni mwetu tuna chembechembe za ujamaa,upole na respect.
you just wait when the EAC free flow of labours is at it boom state.

Mkuu hizo airlines nyingine ambazo they mean business tena ni kutoka nchi zilizoendelea zaidi ya hao maskini wenzetu Kenya mbona wana service bomba na they do know how to take care of their customers? Hatuongelei ujamaa hapa all we need is quality customer care and respect.
 
Wewe unashangaa kudelay safari, this is one of unorganized flight i ever seen. Mimi nilishangaa the day nasafiri toka schipho Amsterdam kuja bongo, waka over book kama vile mabasi ya kwenda mikoani ya enzi hizo yalivyokuwa yanafanya.

Ikabidi watutafutie malazi, chakula nk, mbaya zaidi kesho yake tena wakafanya kosa lilelile, daraja la watu wa kawaida lilikuwa limejaa.

Ikabidi watupatie daraja la watu wenye fweza zao baada ya kushusha mkwara wa kufa mtu.

Huwa na shangaa wabongo wanaisifu KQ wakati ni kashirika tu kakienyeji enyeji, wizi ndo usisema, kuahirisha safari mtindo mmoja.

Kuovabuku ndiyo usiseme....
 
NIKIWA DUBAI NA WA-TZ WENZANGU JAMAA WALITUZINGUA SANA TENA SANA TU..... Wanatuambia ndege imejaa wakati tuna- boarding passes....AKIJA MZUNGU ANASHUSHWA MWEUSI MMOJA KWA TABASAMU KUBWA...IT WASNT FAIR AT ALL

wana bahati sana kukutana na watanzania wa aina yako mahesabu,

Yani niwe na boarding pass halafu wanishushe???? thubutu, siku hiyo atakufa mtu!!

wakati mwingine upole wenu hata kwenye masuala yasiyohitaji upole ndo unaowaponza watanzania wengi.
 
and their partners PrecisionAir are worse than KQ!
 
hahahahaaa GO GET YOUR OWN AIRLINE YOU BOZOS! Oh! i forgot. Tanzania airline is complete piece of sh!t.

kenya airline used to be pathetic, kenyan government made KLM a mjor shareholder. every tanzanian laughed at kenyans saying we do not even own KQ anymore. now KQ is a successful airline and the staff, WHO ARE KENYAN are now sh!tting all over tanzanians. bwahahaha just perfect.

i flew with KQ from Nairobi to Amsterdam and they served fish. i do not eat fish so the the server went and got me an endless supply of snacks and mango juice(my favourite) he even sat next to me and we just hangout for 15 minutes. the airline attended to my needs when and where they could.

i do not know what the hell you guys are complaining about. as far as i am concerned, KQ service is top class
 
Avoid Kenya airways
Avoid Nairobi Airport
Sipandi KQ hata kwa nini

Wakati mwingine si rahisi .. Suppose unasafiri kwenda Douala, Kigali au Kinshasa. Penda usipende utapanda KQ na utapita Jomo K
 
hahahahaaa GO GET YOUR OWN AIRLINE YOU BOZOS! Oh! i forgot. Tanzania airline is complete piece of sh!t.

kenya airline used to be pathetic, kenyan government made KLM a mjor shareholder. every tanzanian laughed at kenyans saying we do not even own KQ anymore. now KQ is a successful airline and the staff, WHO ARE KENYAN are now sh!tting all over tanzanians. bwahahaha just perfect.

i flew with KQ from Nairobi to Amsterdam and they served fish. i do not eat fish so the the server went and got me an endless supply of snacks and mango juice(my favourite) he even sat next to me and we just hangout for 15 minutes. the airline attended to my needs when and where they could.

i do not know what the hell you guys are complaining about. as far as i am concerned, KQ service is top class

You must be a bloody Kenyan, no wonder you sound just like the rest.

They served you well cause you were their fellow Kenyan, would they do the same to TZians? The problem with you people think you know evrything, na mnapapatikia hao wazungu while they see u as a piece of shit.

Nitarudi.mxiii
 
Kweli Tupende tusipende tutaipanda KQ, hata kupelekwa Congo iliyoko nyuma yetu lazima twende kupitiashwa Nairobi tukalipe taxes halafu ndo tunaruhusiwa kwenda Congo au nchi nyingine, ni sawa na Bandari zetu, hata watu wa dar tunatumia bandari ya Mombasa.
Hiki kwanini tusiikodi serikali nzima toka nje ije kuiongoza nchi?
 
kwa nini tumeua TANZANIA AIRWAYS?????????? tusiwalaumu ndege ni yao kwa hiyo wanafanya wanachokitaka sisi ndio wajinga
 
kwanza tuna uwanja wa ndege?? uwanja hata ac hazifanyyi kazi vizuri na haufanyiwi matengenezo achilia mbali kupakwa rangi.kodi zinazokatwa zinaenda wapi? sitashangaa kusikia kuwa tuna ndege moja tu imebaki na wafanyakazi kibao. hii ndio ccm
 
Hata hawa Fly 540 nao wanaleta usanii sana siku moja abiria waliachwa pale airport niliwaonea huruma sana jamaa walivyomaliza check in wakaondoka na kuwaacha abiria kama 6 wakishangaa tu pale. walitoa jibu moja tu kua ndege imejaa
 
Hata hawa Fly 540 nao wanaleta usanii sana siku moja abiria waliachwa pale airport niliwaonea huruma sana jamaa walivyomaliza check in wakaondoka na kuwaacha abiria kama 6 wakishangaa tu pale. walitoa jibu moja tu kua ndege imejaa

fly540 has some ambitious plans they have outlined. i think the more airlines we have the better for the customers because the prices will go down and service will improve
 
Back
Top Bottom