Ubabe wa Tanzania: Meli kubwa mbili zilizojengwa na watanzania zazinduliwa kwenye ziwa lenye mgogoro

Ubabe wa Tanzania: Meli kubwa mbili zilizojengwa na watanzania zazinduliwa kwenye ziwa lenye mgogoro

hongera Tanzania heko Magu. Tunaweza na tutaanza kutengeneza bithaa za ndani mwetu na nje ya mipaka yetu. [HASHTAG]#supportLocal[/HASHTAG]
 
WAZIRI MKUU AZINDUA MELI MBILI ZILIZONUNULIWA NA SERIKALI ITUNGI KYELA MKOANI MBEYA



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua meli mbili zilizonunuliwa na serikali ili zihudumie wananchi katika ziwa Nyasa . Uzinduzi huo ulifanyika kwenye bandari ya Kiwira wilayani Kyela Julai 29, 2017. Meli hizo zimejengwa na Kampuni ya Kizalendo ya Songoro Marine Transport Limited. Wapili kushoto kwake ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu na Kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla. (PIcha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
zbIsBZSK2FUtvXu8ArccQbz-W69xWCMAJgDC7dS4x47XmGRfXYLGUS8TmW6Mzk1naoyOl9kut3obPyn_hSdP2_jfkJy6SYmqpzNg41ZoyRYYab3aKeM8ST7UKg=s0-d

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa ndani ya moja kati ya meli mbili alizozizindua kwenye badari ya Kiwira wilayani Kyela Julai 29, 2017. Meli hizo zimenunuliwa na serikali ili ziwahudumie wananchi katika ziwa Nyasa na zimejengwa na Kampuni ya Kizalendo ya Songoro Marine Transport Limited. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

C7m_LH4LssZPgT4Yg0LuCUj9Z0HmnGgi8rHRbUZOSgNsDUlbhqSdqk4qBwZLDZiQ1D6vXata1YeuoqTz6wQ0dmtdL19cQ5-mPCB0_aBg9cr_KGRtKF8d5ejpSg=s0-d

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama chumba cha kulala cha mabaharia wa moja kati ya meli mbili alizozizindua kwenye bandari ya Kiwira wilayani Kyela Julai 29, 2017. Meli hizo zimenunuliwa na serikali na zimejengwa na Kampuni ya Kizalendo ya Songoro Marine Transport Limited ili ziwahudumie wananchi katika ziwa Nyasa.
tnSkl3v4cxXue8DcTZJQu99Rg4UG5ityiyl_p_bZf_kGffxvrtAqsNZt0qJl3tdo-07ylDdkJQMSJ2dr3bFq2A4monnFlhExsZw4XcWxUl0hUDR9a7rP9C2L8w=s0-d

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika chumba cha mitambo ya moja ya meli mbili alizozizindua katika bandari ya Kiwira wilayani Kyela Julai 29, 2017. Meli hizo zimenunuliwa na serikali na kujengwa na kampuni ya kizalendo ya Songoro Marine Transport Limited ili ziwahudumie wananchi katika ziwa Nyasa.
YKPOKYg7eUT1ZtTZhGBM_HiPvWluB00Wz_h2YIx3r2Oou_iyUYOoY0YzqW1nlPdbzeDxJl_lzFvh66TeEtru1Rmw1r-I8Oz5PDkAP0RAfiTwOhwdQ1RiQkctkw=s0-d

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika chumba cha nahodha wa moja kati ya meli mbili zilizonunuliwa na serikali ili zihudumie wananchi katika ziwa Nyasa, baada ya kuzindua meli hizo kwenye bandari ya Kiwira wilayani Kyela Julai 29, 2017.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
oXFQeqg6y71RiHghy4r2l5zShga9GrlCD8t1LRs3cE9UBQ25vXJo1ki0vsOxv13b7JhgYcCOexp1pb5igNqwGhmDXzkyicLuchD5-WmQrHL6MkoTTmEVRrAnbw=s0-d
aBvX0W9wOyJN4Ega5dqyLykJZNQHnSAVKeWKeChzFkY8wVTAs98jiTce2P50hIHNaplTmhU5q4hputKRV5-K2xKteQxlHpBXSYax0g5CF-PeiDPRi6CH9Ql0IA=s0-d

Moja kati ya meli mbili zilizonunuliwa na serikali na kujengwa na Kampuni ya Songoro Marine Transport Limited ikiondoka kwenye gati la bandari Kiwira wialyani Kyela baada ya kuzinduliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Julai 29, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hiyo Itungi port ni ya siku nyingi zilizozinduliwa ni Mv njombe na Mv Ruvuma
 
Hii nimeipenda sababu Magufuli kaamua kuijibu Malawi kwa vitendo hii ndio kati ya miradi ya kwanza kabisa kuianzisha alipoingia ikulu,

Sasa kinachofata ni oil exploration kwenye Lake Nyasa

Hapo kwenye bold umedanganya. Hizi meli ni ahadi za JK wakati wa kampeni za uchaguzi 2010 na utekelezaji wake ndio umekamilika hivi sasa. JK aliahidi meli mpya katika maziwa yote ya Nyasa, Tanganyika na Victoria. Kwahiyo, huo si mradi mpya ni mambo ya JK hayo.
 
Jakaya Aliona mbali sana

Hii mipango yake ndio tunaifaidi sasa

Sana tu kwa kweli. Kizuri hukioni mpaka kikutoke. Kila la heri JK na tutakumbuka daima kwa mema yote uliyotufanyia Watanzania wenzako.
 
Back
Top Bottom