Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Ndugu wanajukwaa habari zenu.
Kumekua na tabia ya kumshukuru mama hata umeme uliporejea jana baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kama wakazi wa Daresalam wamemshukuru mama.
Imekua kasumba serikali ikifanya shuhuli za maendeleo anasifiwa mama.
Mbona akikopa hamsemi amekopa mnasema serikali imekopa?
Sasa namalizia kwa kutakatu kujua je upotevu au hasara iliyosababishwa na watumishi wa serikali ninani alaumiwe?
Kumekua na tabia ya kumshukuru mama hata umeme uliporejea jana baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kama wakazi wa Daresalam wamemshukuru mama.
Imekua kasumba serikali ikifanya shuhuli za maendeleo anasifiwa mama.
Mbona akikopa hamsemi amekopa mnasema serikali imekopa?
Sasa namalizia kwa kutakatu kujua je upotevu au hasara iliyosababishwa na watumishi wa serikali ninani alaumiwe?