A
Anonymous
Guest
Kuna ubaguzi mkubwa kwenye taasisi ya vyuo vya mifugo LITA kwa watumishi kupata stahiki kulingana na mtumishi kuwa karibu na mwenye kitengo.
Changamoto imezalisha chuki kwa watumishi pia hawana morali ya kazi tena ni kama taasisi imefikia ukomo hakuna mawazo mapya tena. Mkuu wa taasisi ni kujilipa na kulimbikiza mimali ya wizi huku watumishi wanateseka
Watumishi wananyimwa haki ya kujiendeleza kimasomo wanaopewa ni kwa vita na hata fursa zinapojitokeza zinagusa watu kutoka kwenye ukanda wao.
Taasisi imepoteza muelekeo
Changamoto imezalisha chuki kwa watumishi pia hawana morali ya kazi tena ni kama taasisi imefikia ukomo hakuna mawazo mapya tena. Mkuu wa taasisi ni kujilipa na kulimbikiza mimali ya wizi huku watumishi wanateseka
Watumishi wananyimwa haki ya kujiendeleza kimasomo wanaopewa ni kwa vita na hata fursa zinapojitokeza zinagusa watu kutoka kwenye ukanda wao.
Taasisi imepoteza muelekeo