Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika


Huyu mbona ni mmatumbi kabisa? Au ndo kutojitambua? Hivi akienda Uarabuni au Ushirazi wanaweza kumuita mwarabu kweli? Au ndo kujitoa ufahamu kuhusu asili halisi ya mtu?




Na wewe Mohamed Said asili yako ni ipi? Uarabu au?
 
Ngoja tusubiri mabango ya kesho
 
Wafukuzwe haraka wabaki waafrika tu [emoji38][emoji38][emoji38]
Chotara si ndio waarabu waliozaliwa na mswahili na vice-versa?
Sasa waende wapi mkuu

Kama yule jamaa mwenye usongo wa kuoa mzungu nikamwambia watoto watabaguliwa
Ulikuwa uzi wake tofauti na huu

Ni kweli wazee walisema chotara na nyoka, bora nyoka?
 
Anza kutafakari mbaguzi kati yao..
Sio ajabu Baada ya kubaguliwa ndio na wao wamefunguka
 
"Machotara wa hizbu..." WanaCCM je hii sio Hate speech? acheni zenu.
 
Linamgusa mpaka mpwa wa Sultan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…