mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 609
Shein naye si mzanzibari ni mndengereko mmoja alohamia zanzibar naye abaguliwe tuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha nyegeKama machotara wanatengwa basi ni wakati mzuri wa kuwaoa na kuwaleta bara. Hawatakuwa na nyodo tena, twendeni tukaoe hao machotara.
Zanzibar ni machota,bila ya machotara hamna Zanzibar,Uchotara ni moja katika sifa za visiwa,sio Zanzibar tu Visiwa vyote duniani vina sifa ya kuwa na mchotaraCha kushangaza hao viongozi wote wa CCM karibia wote wake zao ni machotora na watoto wa ni machotora.
Tena na rais anapunga mkono.Mbona sielewi hapa ?huyu anawajibu walionadika bango au watu wengine?kwa nini asirudi nyuma siku mbili tu zilizopita akaenda kuwauliza wenzake walioandika bango walikuwa wanamaana gani kuliko kutuletea utetezi hovyo ya kuwa "chama chetu hivi.... chama chetu vile...." ilihali bango limepita mbele ya mlinzi mkuu wa mapinduzi likiongea kinyume na mahubiri haya?Shaka tupishe tuendelee kutafakari hatma ya jamaa zetu machotara!
hahahahah! huyu fukara anachekesha sana na bango lake, mimi mwenyewe ni chotara nina hela maisha matamu nakula vitamu na mama anapata mahitaji yote muhimu, hata machotara wenzangu akina rostam, mo, bakhessa, nk tunakula mema ya nchi. sasa huyu fukara wa kipato na akili kutoka lumumba na hako kabongo kake anafikiri anaweza kutuzuia sisi tembi tusinywe maji?! afie mbali na umasikini wake![]()
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.
![]()
Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.
Akili yangu inanikatalia kabisa.
Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.
CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?
Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?
Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.
Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.
Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?
Machotara?
Nani huyu chotara?
Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!
Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?
CCM imefilisika kiasi hiki?
Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?
Nini khasa tafsiri ya mambo haya?
Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.
Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...
Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
haya utajibiwa ,hizbu ndiyo nini wazee
Mkuu Mohamed Said , kesho wamesema watabeba bango lenye andiko lipi ?![]()
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.
![]()
Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.
Akili yangu inanikatalia kabisa.
Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.
CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?
Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?
Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.
Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.
Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?
Machotara?
Nani huyu chotara?
Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!
Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?
CCM imefilisika kiasi hiki?
Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?
Nini khasa tafsiri ya mambo haya?
Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.
Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...
Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
Kwahiyo watanganyika ndio chogo ?Punguza uongo wanaoitwa Chogo ni wabara mkuu kawaida watu weupe hawanaga Chogo
Hivi Ali Karume au labda Mohamed Aboud wale si machotara ?Folks: huyu mjumbe kasema hataki Hizbu; ni haki yake. Kama wewe unataka Hizbu sema hivyo na wewe ni haki yako. Nani kakuzuia? Mbona majuzi tuliona machotara wakiona wanaume wao kwa wao na mwarabu kwani kuna mtu kalalamika.
2016 mbele ya dr shein na wala hakukemea so moja jumlisha moja ni mbili,wa ngazi za juu wanajua kinachoendeleahiii ya lini tena?