MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,063
- 6,405
Hizbollahhizbu ndiyo nini wazee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizbollahhizbu ndiyo nini wazee
Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.
Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.
CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?
Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...
Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
vijana wa CCM wana shida. walishasema nchi haitatawaliwa na watu wa kaskazini!Duh,hii ni dhambi kubwa sana,dhambi ya ubaguzi. Hivi watu huwa wanajitoa fahamu kiasi hiki? Inasikitisha sana..
Kwa Neno Hili (MACHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI NCHI YA WAAFRIKA) kwa neno Hili CCM Zanzibar ni Wabaguzi kitendo hicho kinafaa kulaaniwa kinaleta Ubaguzi wa Rangi.
Naungana nawewe kwa kiasi kikubwa kabisa,na sababu ni kwamba umenifanya nikarecall na kurefer mambo mengi sana ambayo yamekuwa yakinenwa na kuandikwa na Viongozi flan wa zanzibar over the years pamoja na wadau wengine waliokuwa wakiitetea zanzibar na sasa wamegeuka Mamluki kwa unafiki. Kwa upande wa visiwa vingine sina uhakika.
Mwenyezi Mungu alisema bora uwe Moto au Baridi. Ukiwa vuguvugu atakutapika.
NIMEKUELEWA SANA MKUU.
DahKila eneo kuna fursa zake, siwezi kuiacha hii fursa. Nyie toaneni macho kwenye siasa sisi tutaenda kuoa chotara, neema imefunguka. Sina sababu ya kujadili hizo chuki, nimeiona fursa.
Anajisikia raja sana hao si ni vijana wao,CCM ndio miasisi was hayo mambo rejea kampeni za bara nazo zilitawaliwa na na ukabila sana,soon tutaanza kubaguana wafupi na warefu tukoka hapo, tutafuata wanywa soda na wanywa biabia nk.Waziri wa nchi ofisi ya Rais Zanzibar anajisikiaje akisoma bango hili?
Na wewe unaleta ubaguzi wako kwa mafumbo yako uchwara.Catch 22
Muajemi wa kizazi cha kumi na.mbili na
Mnyamwezi kizazi cha tatu
Fumbo
Hakuna asiye chotara Zanzibar,ima atakuwa kachanganya rangi au kabila,hata huyo aliyeshika bango,huwenda akawa amechanganya umakonde na unyamwezi(pia ni uchotara).Machotara weupe na machotara wa kikabila kazi ipo ya ubaguzi.
Hiyo ndio siasa. Wapo kulinda maslahi yao na watoto wao zaidi.Fatma Maghembe,Hamadi Rashidi...na wengineo walikuwa viongozi wakuu CUF
wakiupinga muungano
Sasa wote wanasema Muungano ulindwe...waliokuwa CCM walisema muungano ulindwe
now wako CUF hawautaki.....wazanzibari unafiki ni culture
Kumbe ni Chama asante mkuuH
Hizbu ni chama
Wadau suala la Ubaguzi Zanzibar halijaanza Mapinduzi day ya 2016,kwa.kifupi wazanzibar kwa ujumla wao ni wabaguzi sana,safar hii wamebaguana wenyewe kwa wenyewe tu,ila ukweli ni kwamba wanawabagua sana watanganyika,naposema sana namanisha sana hasaaa,sasa leo wamebaguana wenyewe kwa wenyewe inawauma kwelikweli,wazenj ISSUE YA UBAGUZI ITAWATESA SANAAAAA SANAAA SANAAAAA,Mkiwa kwenu huko mnawanagua watanganyika na mkija huku mnawabagua watanganyika,ila ni kwamba watanganyika huwa wanawapuuuza tu,na kingine watanganyika hawakuwah kupigia kelele ya dhahir juu ya ubaguz wenu huu.
Poleni sana ila jana umefunguliwa ukurasa mpyaaaa ZENJI