Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

Bango linaloashiria UBAGUZI CCM yaomba radhi

12513820_10153850227340070_7048484565069332180_o.jpg



TAARIFA KWA UMMA
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa sana na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi ulioandikwa kwenye moja ya Bango lililobebwa na mmoja wa wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya Sherehe za Miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaomba radhi kwa ujumbe huo, kinapinga na kinakemea kabisa fikra, hisia na mitazamo yoyote yenye maudhui ya kibaguzi.
Ujumbe huo sio tu kuwa una maudhui ya kibaguzi bali pia unaenda kinyume kabisa na falsafa na Shabaha ya waasisi wa Mapinduzi hayo Matukufu ya mwaka 1964 na unapingana na misingi na itikadi ya CCM inayohimiza Umoja na Mshikamano wa Kitaifa.
Daniel Chongolo
Mkuu wa Mawasiliano na Umma CCM.
12/01/2016
 
hapo msimtegemei Makufuli kuleta muafaka,hapo tegemeeni Makufuli kuzidisha mtafaruku kwa kuwa upande wa ccm na ndio mtakubaliana nami kwamba, Makufuli hana ubavu wa kuongoza nchi hii kwa haki

kwanza yeye hana umaarufu kabisa na watu hawamkubali sana huyu Rais wa JMT...kule siasa za kinaguzi zipo sana.

Hakuna kiongozi yyte wa ccm ambae hajui ujumbe mbalimbali zinazotolewa na maskani hasa kisonge kuwa zina kila aina ya ubaguzi na uchochezi.

Kifupi mambo ya zanzibar ni maji marefu hata Magufuli hawezi kuogelea.
 
Bango linaloashiria UBAGUZI CCM yaomba radhi

12513820_10153850227340070_7048484565069332180_o.jpg



TAARIFA KWA UMMA
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa sana na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi ulioandikwa kwenye moja ya Bango lililobebwa na mmoja wa wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya Sherehe za Miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaomba radhi kwa ujumbe huo, kinapinga na kinakemea kabisa fikra, hisia na mitazamo yoyote yenye maudhui ya kibaguzi.
Ujumbe huo sio tu kuwa una maudhui ya kibaguzi bali pia unaenda kinyume kabisa na falsafa na Shabaha ya waasisi wa Mapinduzi hayo Matukufu ya mwaka 1964 na unapingana na misingi na itikadi ya CCM inayohimiza Umoja na Mshikamano wa Kitaifa.
Daniel Chongolo
Mkuu wa Mawasiliano na Umma CCM.
12/01/2016

Huu ni unafiki uliopitiliza..
 
Bango linaloashiria UBAGUZI CCM yaomba radhi

12513820_10153850227340070_7048484565069332180_o.jpg



TAARIFA KWA UMMA
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa sana na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi ulioandikwa kwenye moja ya Bango lililobebwa na mmoja wa wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya Sherehe za Miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaomba radhi kwa ujumbe huo, kinapinga na kinakemea kabisa fikra, hisia na mitazamo yoyote yenye maudhui ya kibaguzi.
Ujumbe huo sio tu kuwa una maudhui ya kibaguzi bali pia unaenda kinyume kabisa na falsafa na Shabaha ya waasisi wa Mapinduzi hayo Matukufu ya mwaka 1964 na unapingana na misingi na itikadi ya CCM inayohimiza Umoja na Mshikamano wa Kitaifa.
Daniel Chongolo
Mkuu wa Mawasiliano na Umma CCM.
12/01/2016
Too late, the cat is out of tha bag!
Niliwahi kuandika thread huko nyuma kwamba Zanzibar ina jamii ambayo bado ubaguzi upo, wengi walidhihaki.
Sasa it is out in the open.

Divisions za jamii huko zenj kulingana na asili zipo ila zilikuwa zinasokomezwa underground.
Sasa siasa imeziibua, na mtoa rhread ni mmoja wa walioziibua hisia hizo hasa katika ubaguzi wa kidini.
Nimemkumbuka Luqman Maloto kwenye moja ya makala zake aliwahi kuandika, "Zanzibar hakuna ugomvi wa kisiasa. Zanzibar kuna chuki."
 
Last edited:
Wadau suala la Ubaguzi Zanzibar halijaanza Mapinduzi day ya 2016,kwa.kifupi wazanzibar kwa ujumla wao ni wabaguzi sana,safar hii wamebaguana wenyewe kwa wenyewe tu,ila ukweli ni kwamba wanawabagua sana watanganyika,naposema sana namanisha sana hasaaa,sasa leo wamebaguana wenyewe kwa wenyewe inawauma kwelikweli,wazenj ISSUE YA UBAGUZI ITAWATESA SANAAAAA SANAAA SANAAAAA,Mkiwa kwenu huko mnawanagua watanganyika na mkija huku mnawabagua watanganyika,ila ni kwamba watanganyika huwa wanawapuuuza tu,na kingine watanganyika hawakuwah kupigia kelele ya dhahir juu ya ubaguz wenu huu.
Poleni sana ila jana umefunguliwa ukurasa mpyaaaa ZENJI
 
Too late, the cat is out of tha bag!
Niliwahi kuandika thread huko nyuma kwamba Zanzibar ina jamii ambayo bado ubaguzi upo, wengi walidhihaki.
Sasa it is out in the open.

Divisions za jamii huko zenj kulingana na asili zipo ila zilikuwa zinasokomezwa underground.
Sasa siasa imeziibua,
na mtoa rhread ni mmoja wa walioziibua hisia hizo hasa katika ubaguzi wa kidini.

Wazanzibar ni ndugu zangu siwezi kuwaombea mabaya wala siwezi kuwaponda, lakini kwa maneno niliyoyapigia mstari, mkuu umeandika ukweli mtupu!
 
Mm huwa nawatahadharisha sana ccm zanzibar,wakimaliza kuwapoteza machotara wa zanzibar kibao kitageuga na wa kutoka mrima hawatobaki salama zanzibar.
CCM wakimaliza machotara watahamia kwa wenye visogo,maana wazenj wengi hawana visogo
 
teh teh teh ni wewe mudi said ulieleta huu Uzi au I'd yako imedukuliwa?¿ we we ni mbaguzi wahed unawabagua wagala as if umetoka kuzimu; utavuna unachokipanda! mkuki kwa inzir kwa binadam mchungu eeh?
Mgen,
Ni tabu kujibu matusi.
 
Nakubaliana nawe kwa asilimia 98 kuhusu vijana hao kuweka bango hilo. Lakini lazima pia tuwe wakweli. wale waarabu waliondoka Zanzibar baada ya mapinduzi au waarabu hao waliopinduliwa bado wanadai (siyo rasmi) kuwa Zanzibar ni yao na kwamba kwa kuwa waliondolewa kwa mtutu wa bunduki watarejea kupitia sanduku la kura. Sasa hapo ndipo tatizo. Kinachoonekana hapa ni kuwa waarabu hao wanatumia baadhi ya viongozi wa CUF kutaka kurejea Zanzibar kwa njia ya kura...
1954,
Hao ''Waarabu,'' wa kupiga kura Zanzibar na kuweza kupata ushindi ni wangapi?

Hivi unafahamu kama swali ni ngozi ya mtu ''Waarabu'' hawatoweza kushinda
uchaguzi wowote dhidi ya CCM?

Unadhani CCM katika uchaguzi huu wameangushwa na kura za ''Waarabu?''
 
[UmeTE="data, post: 15082508, member: 41109"]Waislam ni Tatitzo hapa duniani.[/QUOTE]

Umegonga pentagon teh teh tehee
 
Nenda ulaya utakuta zile nchi ni za wazungu. Nenda uarabuni utakuta zile nchi ni za waarabu. Lakini haimaanishi kuwa kule watu wa rangi na asili tofauti hawakaribishwi na kupewa uraia la hasha. Na ndio pia tufanyavyo hapa barani Africa.

Watu wa mabara yote wako hapa. Ni shwari kwetu na kwao. Lakini hizi nchi zetu pamoja na zanzibar ni nchi za kiafrika.

Tusilionee aibu hili

Ulishasafiri kweli katika nchi hizo upate kuona kiwango cha ubaguzi?
 
Hiyo ni sera ya ccm, visiwani wanabagua kwa rangi, huku bara kwa makabila, ukanda na dini, ccm ni janga la kitaifa.
 
Back
Top Bottom