2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,625
mkuu ndio uwezo wako au umejitoa ufahamu?Kila siku UKAWA mnawaandama wahindi kuhusu kuishi kwao kwenye nyumba za NHC...Leo ndio mnajifanya kuwatetea!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ndio uwezo wako au umejitoa ufahamu?Kila siku UKAWA mnawaandama wahindi kuhusu kuishi kwao kwenye nyumba za NHC...Leo ndio mnajifanya kuwatetea!?
wanyamwezi wa kizazi cha tatu kivipi ina maana Waajemi walipokuja Znz hawakukuta watu? au ndo mkuki kwa Nguruwe?Catch 22
Muajemi wa kizazi cha kumi na.mbili na
Mnyamwezi kizazi cha tatu
Fumbo
![]()
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.
![]()
Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.
Akili yangu inanikatalia kabisa.
Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.
CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?
Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?
Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.
Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.
Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?
Machotara?
Nani huyu chotara?
Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!
Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?
CCM imefilisika kiasi hiki?
Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?
Nini khasa tafsiri ya mambo haya?
Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.
Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...
Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
Pia alisema 'kaburu ni kaburu tu, hata kama ni mweusi lakini una mawazo kama makaburu wa South Africa wewe ni kaburu tu'![]()
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.
![]()
Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.
Akili yangu inanikatalia kabisa.
Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.
CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?
Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?
Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.
Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.
Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?
Machotara?
Nani huyu chotara?
Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!
Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?
CCM imefilisika kiasi hiki?
Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?
Nini khasa tafsiri ya mambo haya?
Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.
Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...
Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
Naomba kuuliza Hizbu Chotara wanatambulikaje? Sura, rangi, nywele na macho. Hilo bango lingefafanuaCatch 22
Muajemi wa kizazi cha kumi na.mbili na
Mnyamwezi kizazi cha tatu
Fumbo
Shein ni chotara mweusi...wao wanazungumzia chotara weupe na sio chotara weusi wala chotara wa maji ya kunde. Wakati huo huo watahamia kwa wapemba dhidi ya waunguja...kisha watahamia Wazanzibari wenye asili ya Oman na wenye asili yaTabora.Shein mwenyewe ni chotara .......................!!!
Naungana nawewe kwa kiasi kikubwa kabisa,na sababu ni kwamba umenifanya nikarecall na kurefer mambo mengi sana ambayo yamekuwa yakinenwa na kuandikwa na Viongozi flan wa zanzibar over the years pamoja na wadau wengine waliokuwa wakiitetea zanzibar na sasa wamegeuka Mamluki kwa unafiki. Kwa upande wa visiwa vingine sina uhakika.Yaani Wazanzibari wana sifa moja kuubwa
'unafiki'....huwezi kumuamini mzanzibari akiongea hiki anamaanisha au la....
Nimeambiwa watu wa visiwani....kote iwe Zanzibar au Ukerewe hii ni sifa yao kuu...
leo ataongea hiki..kesho ataongea kile....hujui msimamo wake hasa ni upi....
kama vile shein amefurahi kuona hilo bango,wakishamaliza kuwabagua machotara basi wataanza kubaguana wao kwa wao,nani mnyamwezi na nani msukuma
Mkuu wewe hujuwi Asp imeanzaje ni mungano wa waafrica na washirazi hawa washirazi ndio machotara za naona wameshageukana sasa hawa kazi imeanza ukiwa kaburu ni kaburu tu kesho watageukana waafrica kwa waafrika itakuwa mmakonde na msukumalNakubaliana nawe kwa asilimia 98 kuhusu vijana hao kuweka bango hilo. Lakini lazima pia tuwe wakweli. wale waarabu waliondoka Zanzibar baada ya mapinduzi au waarabu hao waliopinduliwa bado wanadai (siyo rasmi) kuwa Zanzibar ni yao na kwamba kwa kuwa waliondolewa kwa mtutu wa bunduki watarejea kupitia sanduku la kura. Sasa hapo ndipo tatizo. Kinachoonekana hapa ni kuwa waarabu hao wanatumia baadhi ya viongozi wa CUF kutaka kurejea Zanzibar kwa njia ya kura...
Hizbu ni chamaAnayejua maana ya hizbu tafadhali atusaidie
Mkuu. Dunia yaleo hakuna muwarabu anaetaka kirudi znz kuitawala.Chotara hizbu zanzibar si nchi ya wazungu. Chotara hizbu zanzibar si nchi ya waarabu. Chotara hizbu zanzibar si nchi ya wachina na nk.
Sasa wameandika Chotara hizbu zanzibar ni nchi ya Waafrika.
Ubaguzi ni wa kulaaniwa lakin katika hili sioni wapi ulipo hasa ukitilia maanani kuwa mtawala wa kabla ya Mapinduzi alikuwa mwarabu na kuna hisia kuwa anataka kurudi tena. Kuna ubaya gani kuwaambia wa zanzibar wenzao wanao shabikia kurudi kwa sultani kuwa zanzibar si nchi ya kiarabu bali ya kiafrika?
Kila siku UKAWA mnawaandama wahindi kuhusu kuishi kwao kwenye nyumba za NHC...Leo ndio mnajifanya kuwatetea!?
Kwani uongo jamani, chotara hawezi kupewa hii nchi, atarudisha mabwana zake.