Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

Yuko moja mstari wa mbele kushoto kabisa kwenye hayo maandamano,nadhani ni mdada,rangi yake..... Naye kacheka hadi jino la mwisho. Kuna watu hawajui kilichoko kwenye bango
 
Haya ni zamu ya machotara sasa kuchezewa hiyo michezzo ya kizanzibar hivyo msianze kupiga kelele.
Mimi si chotara na ni Mwafrika halisi zaidi ya kwako wewe. Lakini siwezi kuvumilia bitendo vya ubaguzi kwa sababu ya ukabila, rangi, utaifa, dini, imani, jinsia, ulemavu. No way
 
Kwakweli inasikitisha sana kuona kwamba Watanzania wenye asili ya Asia hawana haki ya kuongoza ndani ya taifa hili.
 

Attachments

  • 1452609753264.jpg
    1452609753264.jpg
    47.4 KB · Views: 31
Hizbu ni Chama (umoja, walioungana), maana ya At-Tahriyr: kukifanya kitu kiwe huru, kukomboa.
 
Kila siku UKAWA mnawaandama wahindi kuhusu kuishi kwao kwenye nyumba za NHC...Leo ndio mnajifanya kuwatetea!?
 
Usitafute mchawi Ubaguzi ni moja katika Sera za Chama Cha mapinduzi

Jaribu kuelewa ndugu, mimi nazungumzia tatizo la ubaguzi zanzibari na njia ya kulimaliza, na wala sitetei chama fulani cha siasa.

Kwasababu hata kikiingia chama kingine madarakani huu ubaguzi nilioueleza kua ni wa kihistoria na kijamii hauwezi kuisha.

Na hicho chama hakitaweza kulimaliza tatizo hilo bila kuwa na mikakati madhubuti ya kushiriki jamii nzima kama nilivyoeleza hapo juu.
 
Walikuwa wanatupa Meseji kwamba Machotara tukatafute nchi ya kuishi.Tanzania ni ya waafrika asante ni CCM kwa kutupa ujumbe.

Ila CCM mtaukumbuka usemi wa JKN ubaguzi ni sawa na mla nyama ya mtu haachi dhambi ya kula nyama ya mtu.CCM mlianza na Udini,miaka Ukanda na sasa rangi.
Na imagine niliye Chotara halafu natokea Kaskazini sijui niende Kenya duh!
 
Kila siku UKAWA mnawaandama wahindi kuhusu kuishi kwao kwenye nyumba za NHC...Leo ndio mnajifanya kuwatetea!?

Machotara tumepata ujumbe.Kumbuka Muhindi na Chotara ni watu wawili tofauti.Chotara amechangia damu ya Uafrika na mwenye asili ya weupe yaweza kuwa Muarabu,Muhindi au Mungu.
Hongereni CCM kwa double standard.Hope angekuwa aliye weka bango hilo ni mwanachama wa CUF au Chadema toka Jana angekuwa jela akisubiria kesi yake kutajwa kesho.
Lakini kesi ya jinai iwe ameua,ameiba,ametukana nk nk husihia kuwekea kwenye mitandao ikisema CCM wa naomba radhi kwa kosa lililofanywa na watu wasio julikana au na mwananchi mmoja.
Kwanini msiseme UVCCM? Mnahofu ya nini??Machotara tumepata ujumbe.
 
ccm Ni chama cha maintarahamwe Wako tayari Ata kuvuruga amani ya nchi,kubagua,na kuuwa wananchi wote kisa kutawala. Hakuna dhambi kubwa kama dhambi ya kuwa ccm. Jinamizi lilotayari kumwaga damu za watu kwa kungangania mdaraka. Ccm na ilaaniwe milele.
 
Back
Top Bottom