Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

Zipo simulizi ambazo wale wenye umri mkubwa husema kuwa ni za kweli kuhusu Karume kuwaambia wasaidizi wake kuwa wazae na kinamama kutoka mashariki ya kati kadri iwezekanavyo, na watoto waliozaliwa ni machotara, lakini hawakosekani kwenye shughuli za CCM kwa sababu wazazi wao ni wazalendo. Uchotara uliandikwa kwenye hilo bango ni ule unaohusisha kuwanyima haki wazalendo, ni ule uchotara wenye kumchukulia mzalendo kama mnyama. Uchotara wenye maumivu kwa wazalendo. Nadhani hilo bango limelenga zaidi katika kuwasema machotara wenye zile akili za wale weusi na sisi ni watu wenye rangi bora zaidi (high class).
 
Ahahahahahahahahah..safi sana wazenji waafrika.Leo ustadhi moody kalishwa fupa la nguruwe mpaka kamkumbuka mwalimu nyerere.Kumbe ubaguzi ni mbaya eenh..Na wewe u.kome kubagua wakristo.Sisi sote ni viumbe wa Mungu Mmoja.
Ndo unafiki ulikithiri.
Huyu jamaa kaandika na kuandika, makala ndeefu humu mitandaoni kumkashifu Mwalimu , ati katokana na "mfumo Kristo", ambao ulikandamiza uislamu na waislamu!
Uchochezi mtupu.
Sasa leo pamoja na kuonywa na Mwalimu kabla hajafa, juu ya ubaguzi, anashangaa nini?

Ukianza kupanda mbegu ya chuki, unafikiri utengano utaota pale unapopatazamia, sasa utengano umeoto pale asipotazamia.
Mohamme Said ni mtu mzima lakini nadiriki kusema hana hekima wala busara za umri wake.

Waliobaguana huko Zanzibar ni waislamu wenziwe, siye huku Tanganyika hatuna sababu yoyote kushangilia dhambi hii, lakini inawatafuna watu kama Mohammed Said, tena kwa muda mrefu ujao.
 
Cha kushangaza hao viongozi wote wa CCM karibia wote wake zao ni machotora na watoto wa ni machotora.
Kila mtu anapenda kuoa mwanamke chotara ili alete kizazi kizuri hata mimi mke wangu ni Chotara,mke wa shein naye chotara,kikwete naye hakuridhika na mama salma ikabd achukue chotara sehemu flani hv,sasa hawa vijana wamekutwa na nini???huyo sadifa mwenyewe juzi tu kamuoa Chotara yule mcheza move Wastara,kumbe wanapenda mademu machotora halafu hawawapendi shemeji zao???uvccm mnaenda wapi???
 
wanyamwezi wa kizazi cha tatu kivipi ina maana Waajemi walipokuja Znz hawakukuta watu? au ndo mkuki kwa Nguruwe?

Mfano
Ally Hassan Mwinyi kahamia Zanzibar toka Kisarawe
Babu wa babu yake Maalim Seif kazaliwa Zanzibar
Hiyo ndio catch 22
 
nikweli mkuu..ubaguzi haufai hata kidogo
10632581_1305018002857848_9205583207613258437_n.jpg

NA HILI PIA LILIBEBWA KI BAHATI MBAYA NALO NA DOGO MMOJA
 

Attachments

  • NA HILI PIA LILIBEBWA KI BAHATI MBAYA NALO NA DOGO MMOJA.jpg
    NA HILI PIA LILIBEBWA KI BAHATI MBAYA NALO NA DOGO MMOJA.jpg
    80.2 KB · Views: 35
945859_1098476956829106_5864029843277170245_n.jpg


Message ni ile ile inaendelea kama mabango awataki sasa wamekuja kivingine tena wakisindikiza na matarumbeta watu awawezi sahau asili yao Zanzibar ni nchi ya ....... na asiyetaka aondoke simple. wanzanzibari asili washaanza kuchoka na siasa za kubembelezana mapinduzi ayakuwa bure tu leo watu wasahau kirahisi rahisi
 
Kama ambavyo aliwahi kusema Mwalimu Nyerere kuwa Kaburu ni Kaburu tu.
Akiwa na maana kuwa kitendo chochote kinachofanywa cha kibaguzi hata kama kitafanywa na mwafrika basi haina budi kumwita mwafrika huyo kuwa ni Kaburu.
Itakuwa kosa kubwa kwa watanzania kama wataamua kufumbia macho vitendo vya hatari sana vya aina hiyo ya ubaguzi vinavyofanyika huko Zanzibar.
Katika nchi inayozingatia utawala bora, vijana hao ambao kupitia ujumbe wao kwenye mabango yao wanachochea chuki ndani ya wazanzibari na hivyo kuleta uwezekano wa kusababisha machafuko nchini.
Kwa hiyo mahali pekee kwa hao walioyaandaa mabango hayo wangestahili kuwepo muda huu ni kuswekwa jela.

Nitashangaa kama hawajakamatwa hadi sasa.! ANGALIZO:Kati ya hao wanaoitwa machotara wako marais wastaafu!
 
Solution nafasi ya Urais iwe inazunguka kama ile nafasi ya mwenyekiti wa Afrika.mashariki.. kila baada ya miaka miwili mwingine anachukua kijiti..
 
DSC_2469.jpg


Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]

Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.

DSC_2827.jpg


Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.

Akili yangu inanikatalia kabisa.

Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.

CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?

Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?

Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.

Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.

Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?

Machotara?

Nani huyu chotara?

Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!

Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?

CCM imefilisika kiasi hiki?

Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?

Nini khasa tafsiri ya mambo haya?

Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.



Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...

Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
Folks: huyu mjumbe kasema hataki Hizbu; ni haki yake. Kama wewe unataka Hizbu sema hivyo na wewe ni haki yako. Nani kakuzuia? Mbona majuzi tuliona machotara wakiona wanaume wao kwa wao na mwarabu kwani kuna mtu kalalamika.
 
Kwani cha ajabu nini hapo? Zanzibar wenyewe ni weusi sasa awa waarabu koko kwa nini wanataka wawapore wenyeji nchi yao! Mimi nawasapoti wenyeji kukaza uzi msiiache hiyo ni nchi yenu hao waarabu koko kama wamechoka fadhili mnazowapa waanze kuondoka mmoja mmoja. Jamani tuacheni siasa za mihemko tangu lini nchi ya kiafrica ikatawaliwa na waarabu? Maana naona wengine mahaba yao ya harakati wameyaamishia zanzibar.
na wewe pia ni mtumwa wa ubaguzi!
 
DSC_2469.jpg


Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]

Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.

DSC_2827.jpg


Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.

Akili yangu inanikatalia kabisa.

Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.

CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?

Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?

Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.

Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.

Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?

Machotara?

Nani huyu chotara?

Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!

Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?

CCM imefilisika kiasi hiki?

Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?

Nini khasa tafsiri ya mambo haya?

Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.



Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...

Hawa wanapanda jahazi la ugozi.

Wana JF huyu HZIBU ni nani?
 
Hao kwenye iyo picha takriban wengi si wazanzibari ni watanganyika, waznz kati ya hao ni wachache mno nao wamechanganya na watanganyika. Znz machotara wapo kabla ata ya utawala wa kiarabu kwa hiyo wana asili, kama ni rangi wapo waznz waliokuwa hawana asili ya kiarabu wala ya kihindi na ni weupe pia. Kwa iyo musitufanye majuha hao ni watanganyika, ccm znz ni wachache kwa hiyo wakifanya mikutano kama hivi huleta watu wa bongo kuhudhuria ili kuongeza idadi waonekane wengi, habari ndo hiyo
Kweli mkuu, hapo ndipo tujue kuwa zanzibar inatawaliwa na ccm bara hata huyo shein yupoyupo tu, hana na hawezi kuamua lolote.
 
kwanza mbona sherehe ya mapindizi ilikuwa kama sherehe ya CCM na sio ya KITAIFA? kweli ccm wamechanganyikiwa!
 
Mkuu
Kwenye issue nyeti kama hii unaleta umbulula wako hapa !vipi machotara wa kiume waje kukuoa wewe au mama ako?
Maana tone ya maandishi yako inaonesha kuwa nawe una maoni kama ya hao wapumbavu wa ccm!Ni lini na wapi hao machotara wamekuletea nyodo?

Hahahaaa mkuu si wanakuja kuoa mabinti weusi bara watamuoaje mwanaume au mama yake mkuu?
 
Nashukru nilikaa huko,ukweli unauma lakini wanayoyafanya vijana wa Zanzibar hasa CCM ni hali yao ya ukosefu wa elimu. Lakini kinachoniachaga hoi bila jibu ni kuwa; asilimia zaidi ya 90% Wazanzibar ni waislamu,wanasali pamoja na mafundisho yao kiimani ni mamoja. Unashangaa hili bango!!? Zanzibar ukiwa na kichwa cha chogo hata kama ni mmakonde utaitwa Mpemba na unaweza kupatwa hata na mkong'oto kutoka kwa vijana wa CCM wakifikiri ni mpemba.


Punguza uongo wanaoitwa Chogo ni wabara mkuu kawaida watu weupe hawanaga Chogo
 
UKidiriev sana utakuta hata huku bara wapo akina chotara na hizbu maeneo km arusha,mosh,tbra,,singda nk
 
Back
Top Bottom