Tetesi: Ubaguzi wa ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Tetesi: Ubaguzi wa ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Sitachoka nitaendelea kukuwekea ushahidi ili kesho usije unasema sikuambiwa [emoji117] View attachment 753417View attachment 753426View attachment 753427View attachment 753428


Matthew+15%3A24+But+He+answered+and+said%2C+I+am+not+sent+except+to+the+lost+sheep+of+the+house+of+Israel..jpg



Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15. havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.

Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.

Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katika Marko ya asili, bali yaliongezwa baadae.

Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae,

yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.
 
Si ubaguzi wa kidini ila mateso mliyotufanyia na mnayotufanyia labda mwendawazimu ndio atawaona nyinyi ni binadamu . Yaani mtuulie wazee , ndugu , mtunajisie watoto na ndugu zetu , mutuibie mali zetu na ktufanyia kila aina ya uchafu for more than 50YRS halafu tuwakumbatie kama marafiki ??????Yawezekana huyo mpishi ni kada wa CCM ndio kabisa hata mimi nisingalikwenda
Gavana......

Unamaanisha kwamba "unguja" ...kuna serikali na ndio inayo wabagua wapemba......?

Halafu wabara wanabaguliwa kwa vile ni wauwaji,wabakaji ,na watesaji...so ni lazima wabaguliwe na zaidi pia vile ni makada?

Hivi hiyo serikali dhalimu inaongozwa na wabara au wa unguja ?

Na kwa nini iwabague "wapemba??" kwani kuna wabara wameajiriwa na smz?

Kuna kitu hapo ila ukweli huwa hausemwi..

Wameshtuka ingawa wamechelewa ........

Unafiki at work!

Mchanganyiko huu ...kuuchanganua ipo kazi!
 
Matthew+15%3A24+But+He+answered+and+said%2C+I+am+not+sent+except+to+the+lost+sheep+of+the+house+of+Israel..jpg



Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15. havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.

Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.

Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katika Marko ya asili, bali yaliongezwa baadae.

Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae,

yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.
wewe tatizo lako nini haswa [emoji15] [emoji45] kale pambio nakuona hapo kwa raha zako....[emoji38] [emoji38] unatishà gavana..View attachment VID-20180421-WA0003.mp4
 
Gavana......

Unamaanisha kwamba "unguja" ...kuna serikali na ndio inayo wabagua wapemba......?

Halafu wabara wanabaguliwa kwa vile ni wauwaji,wabakaji ,na watesaji...so ni lazima wabaguliwe na zaidi pia vile ni makada?

Hivi hiyo serikali dhalimu inaongozwa na wabara au wa unguja ?

Na kwa nini iwabague "wapemba??" kwani kuna wabara wameajiriwa na smz?

Kuna kitu hapo ila ukweli huwa hausemwi..

Wameshtuka ingawa wamechelewa ........

Unafiki at work!

Mchanganyiko huu ...kuuchanganua ipo kazi!


Hiyo serikali ya madhalimu ilijiweka yenyewe ???
 
Sawa hujakosea [emoji4] wekaga na hii [emoji117]View attachment 755823




Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15. havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.

Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.

Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katika Marko ya asili, bali yaliongezwa baadae.

Encyclopaedia Brittanica,nakala aya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae,

yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.
 
wewe tatizo lako nini haswa [emoji15] [emoji45] kale pambio nakuona hapo kwa raha zako....[emoji38] [emoji38] unatishà gavana..View attachment 755814


Tatizo langu au lako ??? usikimbie haya maswali


1. Did Jesus Christ have two fathers? The Father is the Father of the Son (I John 1:3), yet the child born of Mary was conceived by the Holy Ghost (Matthew 1:18, 20; Luke 1:35).

Which one is the true father?

Some trinitarians say that the Holy Ghost was merely the Father's agent in conception - a process they compare to artificial insemination!

2. How many Spirits are there? God the Father is a Spirit (John 4:24), the Lord Jesus is a Spirit (II Corinthians 3:17), and the Holy Spirit is a Spirit by definition. Yet there is one Spirit (I Corinthians 12:13; Ephesians 4:4).

3. If Father and Son are co-equal persons, why did Jesus pray to the Father? (Matthew 11:25). Can God pray to God?

4. Similarly, how can the Son not know as much as the Father? (Matthew 24:36; Mark 13:32).

5. Similarly, how can the Son not have any power except what the Father gives Him? (John 5:19, 30; 6:38).

6. Similarly, what about other verses of Scripture indicating the inequality of the Son and the Father? (John 8:42; 14:28; I Corinthians 11:3).

7. Did "God the Son" die? The Bible says the Son died (Romans 5:10). If so, can God die? Can part of God die?

8. How can there be an eternal Son when the Bible speaks of the begotten Son, clearly indicating that the Son had a beginning? (John 3:16; Hebrews 1:5-6).

9. If the Son is eternal and existed at creation, who was His mother at that time? We know the Son was made of a woman (Galatians 4:4).

10. Did "God the Son" surrender His omnipresence while on earth? If so, how could he still be God?

11. If the Son is eternal and immutable (unchangeable), how can the reign of the Son have an ending? (I Corinthians 15:24-28).

12. If in answer to questions 3 through 11 we say only the human Son of God was limited in knowledge, was limited in power, and died, then how can we speak of "God the Son"? Are there two Sons?

13. Whom do we worship and to whom do we pray? Jesus said to worship the Father (John 4:21-24), yet Stephen prayed to Jesus (Acts 7:59-60).

14. Can there be more than three persons in the Godhead? Certainly the Old Testament does not teach three but emphasizes oneness.

If the New Testament adds to the Old Testament message and teaches three persons, then what is to prevent subsequent revelations of additional persons?

If we apply trinitarian logic to interpret some verses of Scripture, we could teach a fourth person (Isaiah 48:16; Colossians 1:3; 2:2; I Thessalonians 3:11; James 1:27).

Likewise, we could interpret some verses of Scripture to mean six more persons (Revelation 3:1; 5:6).

15. Are there three Spirits in a Christian's heart? Father, Jesus, and the Spirit all dwell within a Christian (John 14:17, 23; Romans 8:9; Ephesians 3:14-17). Yet there is one Spirit (I Corinthians 12:13; Ephesians 4:4).

16. There is only one throne in heaven (Revelation 4:2). Who sits upon it? We know Jesus does (Revelation 1:8,18, 4:8). Where do the Father and the Holy Spirit sit?

17. If Jesus is on the throne, how can He sit on the right hand of God? (Mark 16:19). Does He sit or stand on the right hand of God? (Acts 7:55). Or is He in the Father's bosom? (John 1:18).

18. Is Jesus in the Godhead or is the Godhead in Jesus? Colossians 2:9 says the latter.

19. Given Matthew 28:19, why did the apostles consistently baptize both Jews and Gentiles using the name of Jesus, even to the extent of rebaptism? (Acts 2:38; 8:16; 10:48; 19:5; 22:16; I Corinthians 1:13).

20. Who raised Jesus from the dead? Did the Father (Ephesians 1:20), or Jesus (John 2:19-21), or the Spirit? (Romans 8:11).

21. If Son and Holy Ghost are co-equal persons in the Godhead, why is blasphemy of the Holy Ghost unforgivable but blasphemy of the Son is not? (Luke 12:10).

22. If the Holy Ghost is a co-equal member of the trinity, why does the Bible always speak of Him being sent from the Father or from Jesus? (John 14:26; 15:26).

23. Does the Father know something that the Holy Spirit does not know? If so, how can they be co-equal? Only the Father knows the day and hour of the Second Coming of Christ (Mark 13:32).

24. Did the trinity make the Old and New covenants? We know the LORD (Jehovah) did (Jeremiah 31:31-34; Hebrews 8:7-13). If Jehovah is a trinity then Father, Son, and Spirit all had to die to make the new covenant effective (Hebrews 9:16-17).

25. If the Spirit proceeds from the Father, is the Spirit also a son of the Father? If not, why not?

26. If the Spirit proceeds from the Son, is the Spirit the grandson of the Father? If not, why not?
 
Ubaguzi wa Zanzibar kwa Wapemba unafanywa na Ccm kwa maagizo kutoka juu. Ni sera ipo Zamani kama vile Tanganyika wanavofanyiwa wengine
Ubaguzi wa wapemba na waunguja haukuanza leo ni tangu enzi za miaka ya 1960. Na siyo ajira tu, hadi ndoa. Ukiwa Zanzibar inaeleweka kwamba ndoa ya mpembe na muunguja haidumu. Mimu wa ubaguzi ni mbaya saaana. Ndo maana huku Bara pia tunawaonya hao wenzetu wa Kilimanjaro, yaani wachaga maana wapare hawana hizo. wanatuletea uchafu akilini kiasi cha kuhamishia ubaguzi huo ktk siasa na kujiona CHADEMA ni yao. Sasa tumewaachia tuone kama kweli watapata tena nafasi ya chma kikuu cha upinzani.
 
Ubaguzi wa wapemba na waunguja haukuanza leo ni tangu enzi za miaka ya 1960. Na siyo ajira tu, hadi ndoa. Ukiwa Zanzibar inaeleweka kwamba ndoa ya mpembe na muunguja haidumu. Mimu wa ubaguzi ni mbaya saaana. Ndo maana huku Bara pia tunawaonya hao wenzetu wa Kilimanjaro, yaani wachaga maana wapare hawana hizo. wanatuletea uchafu akilini kiasi cha kuhamishia ubaguzi huo ktk siasa na kujiona CHADEMA ni yao. Sasa tumewaachia tuone kama kweli watapata tena nafasi ya chma kikuu cha upinzani.

CCM ndio baba wa ubaguzi Tanzania
 
Ccm zanzibar wanabomoa nchi yao bila kujijua
Kama suala hili lipo basi dhambi alianzisha Maalim Seif.
Kwenye kila nafasi aliyopewa alihakikisha anaondoa waunguja na kuwaweka vijana wa kipemba nao jukumu lao kubwa ni kuhakikisha kwenye ajira yoyote ile iliyokuwa inafanyika basi umuhimu wa kwanza na vijana kutoka pemba.
Jambo hili lilianza tangu awamu ya pili na kama wasanifu wa lugha walivyosema
'WHAT GOES AROUND COMES AROUND'
 
Back
Top Bottom