Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Anzisha wewe hiyo topicOngelea na ubaguzi wa kidini basi
Eti huua wanaume wao, na Wala hatujawahi kuona kesi zao mahakamani
Hiyo hata mimi nimesikia ila sijawahi kithibitisha,Eti huua wanaume wao, na Wala hatujawahi kuona kesi zao mahakamani
Topic inahusu ubaguzi sio kAnzisha wewe hiyo topic
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23] unanilenga kivipi?!Topic inahusu ubaguzi sio k
Kwanini ubaguzi unaokulenga wewe hutaki ujadiliwe unataka uanzishiwe topic nyingine
Hivi Moshi kuna sehemu inaitwa Palestina?!hao wamachame ndo wapalestina
Ufoo Saro sio Mambo ya michepuko kweli na mamake kumtapeli mumewe yalileta Vita kubwa Sana. Tamaa mbaya SanaHiyo hata mimi nimesikia ila sijawahi kithibitisha,
Hivi yule Ufoo Saro wa ITV ni wa Machame?!
Wanasema alitaka kumdhurumu boyfriend wake mwanajeshi mali ndio yakamkuta yale masaibu.
Ila globally wanaume hufa mapema Sana kuliko wanawake, wanaume wanapitia mengiKuna kipindi nilikuwa naishi Dar, mara nyingi mazungumzo ya inner circle na outer circle na extension yake in both end kulikuwa na msemo mmoja common sana; Mama mwenye nyumba! Hii ni kwamba wapangishaji wengi ni kina mama na mara nyingi hawana waume. Sasa sijui ni wamachame/wachaga wote hao au vipi?
Hahaha Mods hawatautoa coz haugusi Chato
Sio woteJamii ya wachaga wote ni matatizo wanajali fedha kuliko utu!
"Mapema sana"Ila globally wanaume hufa mapema Sana kuliko wanawake, wanaume wanapitia mengi
Hahaaa kiswahili kigumu ndugu yangu, wanawake tuna roho ngumu ya kuvumilia mengi"Mapema sana"
Si ungeandika tu hufa kabla ya wanawake.[emoji53][emoji53]