Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Wanaua Waume zao..mtaani Kuna mdada wa kimachame aliolewa na msukuma..huyu mbaba anajiweza kiasi chake..akamkodia majambazi uchwara mchana kweupe..mama mkwe akajeruhuwa Hadi leo anatembea upande mmoja anachechemea..Mume akakatwa panga na kuchomwa visu alicheleweshwa kupeleka hospital akajifia hapo hapo..yule mwanamke akuguswa hata kidogo..kupelekwa polisi kubanwa akakiri niyeye amefanya hayo..Hadi leo yupo jela tangu mwaka 2008 na alikuwa na mimba miezi 4 masikini .
Believe me issue Wala sio hela lazima Kuna issue kubwa Sana, roho ya mwanamke ukichoka manyanyaso Ni hatari sanaa.
Huko usukuman kila siku wanawake wanachomwa visu kisa unakuta sh 500 tu kila siku
Mara ndo balaa lakin kila siku wachaga tuu.
 
Sio wanapitia wanajitakia unnecessary stress, anahangaika na michepuko, uwaze nyumban wanakula nini na
Punguzen michepuko, mnajidai hamridhiki. We stress za kuwaza mchepuko umeuacha wenyewe jamaa wanakisaidia huku unaogopa kushikwa nyumbani, bado hujachunwa hela. Mtasingizia tu wachaga bureeee
Ch
Umeongea kweli mama Terry wanaume hujiua wenyewe kwa Mambo yao imagine ana michepuko hata sita yote anaihudumia bado nguvu za kuwaridhisha michepuko kingono, bado achunge kwa mke asijue na mke akijua kila siku ugomvi hauishi, akitoka tu kwa mchepuko akifika home machungu yanaanza upya ukute na mke kashampuuzia Tena, hafu hata michepuko mwingine michawi ka Nini inaloga I win mume kumbe madawa mengine wanayopewa kwa waganga ni nusu inayoua mwanaume taratibu, na mwanaume akifa mkewe atasingiziwa tu hapo kuua mume
 
Wanaua Waume zao..mtaani Kuna mdada wa kimachame aliolewa na msukuma..huyu mbaba anajiweza kiasi chake..akamkodia majambazi uchwara mchana kweupe..mama mkwe akajeruhuwa Hadi leo anatembea upande mmoja anachechemea..Mume akakatwa panga na kuchomwa visu alicheleweshwa kupeleka hospital akajifia hapo hapo..yule mwanamke akuguswa hata kidogo..kupelekwa polisi kubanwa akakiri niyeye amefanya hayo..Hadi leo yupo jela tangu mwaka 2008 na alikuwa na mimba miezi 4 masikini .
ntaenda machame kufanya uchunguzi
 
Umeongea kweli mama Terry wanaume hujiua wenyewe kwa Mambo yao imagine ana michepuko hata sita yote anaihudumia bado nguvu za kuwaridhisha michepuko kingono, bado achunge kwa mke asijue na mke akijua kila siku ugomvi hauishi, akitoka tu kwa mchepuko akifika home machungu yanaanza upya ukute na mke kashampuuzia Tena, hafu hata michepuko mwingine michawi ka Nini inaloga I win mume kumbe madawa mengine wanayopewa kwa waganga ni nusu inayoua mwanaume taratibu, na mwanaume akifa mkewe atasingiziwa tu hapo kuua mume
Tena alogwe huko nje afe taratibu, mke ndani kashajichokea umalaya wake atasingiziwa.
Na kikubwa kinachofanya wachaga waonekane wabaya Ni hawez kukubali kunyanganywa Mali za watoto wake. Akishakataa tu kutoa Mali lazima aambiwe ameua
 
Believe me issue Wala sio hela lazima Kuna issue kubwa Sana, roho ya mwanamke ukichoka manyanyaso Ni hatari sanaa.
Huko usukuman kila siku wanawake wanachomwa visu kisa unakuta sh 500 tu kila siku
Mara ndo balaa lakin kila siku wachaga tuu.
Issue ilikuwa niyeye kumiliki Mali za mwanaume.
 
Sio wanapitia wanajitakia unnecessary stress, anahangaika na michepuko, uwaze nyumban wanakula nini na
Punguzen michepuko, mnajidai hamridhiki. We stress za kuwaza mchepuko umeuacha wenyewe jamaa wanakisaidia huku unaogopa kushikwa nyumbani, bado hujachunwa hela. Mtasingizia tu wachaga bureeee
Ch
wanasingizia tu wachaga bure[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Tena alogwe huko nje afe taratibu, mke ndani kashajichokea umalaya wake atasingiziwa.
Na kikubwa kinachofanya wachaga waonekane wabaya Ni hawez kukubali kunyanganywa Mali za watoto wake. Akishakataa tu kutoa Mali lazima aambiwe ameua
Wanaume huuliwa huko nje bana wanakohangaika Mara michepuko, Mara kudhulumiana na kutapeliana huko Sasa visasi vikitokea mke ndo mhanga baada ya kufa na Mali zenyewe ukute walitafta na mke from zero mpaka wakapata mali, kwanini usipiganie jasho lako na wanao eti kisa kuogopa maneno ya waja
 
Sie wanawake huzeeka mapema Ila twaishi mda mrefu hata vile tulivoumbwa Kama walezi na kuachia vitu moyoni haraka inasaidia tofauti na wanaume Mambo mengine wameaminishwa kuwa ni mwanaume vumilia shida usiseme, ukisema unakuwa ka mwanamke kumbe nao Ni binadamu wanahitaji msaada wa kisaikolojia. So wanaume hupitia mengi mno Sana imagine kuridhisha tu wanawake hyo amuont of energy wanayotumia ni kubwa fikiria hela, tunza familia hapo na maradhi ya kuwaza lazima tu usidumu tu.

Mie kwa kabila langu watu hulala tofauti vitamba nadhani na hyo husaidia kutokuzoeana, pia kupeana personal space na hamna kuchokana Wala kubanduana mfululizo na wengi wamedumu Hadi uzeeni, hii iga uzungu inatupoteza Sana bana
Cariha niambie kabila lako. Hata kama ni kwa kificho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Wanaua Waume zao..mtaani Kuna mdada wa kimachame aliolewa na msukuma..huyu mbaba anajiweza kiasi chake..akamkodia majambazi uchwara mchana kweupe..mama mkwe akajeruhuwa Hadi leo anatembea upande mmoja anachechemea..Mume akakatwa panga na kuchomwa visu alicheleweshwa kupeleka hospital akajifia hapo hapo..yule mwanamke akuguswa hata kidogo..kupelekwa polisi kubanwa akakiri niyeye amefanya hayo..Hadi leo yupo jela tangu mwaka 2008 na alikuwa na mimba miezi 4 masikini .
Msukuma naye fala alijichanganya kwenda kuoa Mmachame wa nini? [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Believe me issue Wala sio hela lazima Kuna issue kubwa Sana, roho ya mwanamke ukichoka manyanyaso Ni hatari sanaa.
Huko usukuman kila siku wanawake wanachomwa visu kisa unakuta sh 500 tu kila siku
Mara ndo balaa lakin kila siku wachaga tuu.
Jikite kwenye mada Mama Terry hata kama ni Mchaga. Wasukuma tunaingiaje hapa? Mada inahusu wanawake wa Kimachame (natania) [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sio wanapitia wanajitakia unnecessary stress, anahangaika na michepuko, uwaze nyumban wanakula nini na
Punguzen michepuko, mnajidai hamridhiki. We stress za kuwaza mchepuko umeuacha wenyewe jamaa wanakisaidia huku unaogopa kushikwa nyumbani, bado hujachunwa hela. Mtasingizia tu wachaga bureeee
Ch
Believe me issue Wala sio hela lazima Kuna issue kubwa Sana, roho ya mwanamke ukichoka manyanyaso Ni hatari sanaa.
Huko usukuman kila siku wanawake wanachomwa visu kisa unakuta sh 500 tu kila siku
Mara ndo balaa lakin kila siku wachaga tuu.
Umeongea kweli mama Terry wanaume hujiua wenyewe kwa Mambo yao imagine ana michepuko hata sita yote anaihudumia bado nguvu za kuwaridhisha michepuko kingono, bado achunge kwa mke asijue na mke akijua kila siku ugomvi hauishi, akitoka tu kwa mchepuko akifika home machungu yanaanza upya ukute na mke kashampuuzia Tena, hafu hata michepuko mwingine michawi ka Nini inaloga I win mume kumbe madawa mengine wanayopewa kwa waganga ni nusu inayoua mwanaume taratibu, na mwanaume akifa mkewe atasingiziwa tu hapo kuua mume
Tena alogwe huko nje afe taratibu, mke ndani kashajichokea umalaya wake atasingiziwa.
Na kikubwa kinachofanya wachaga waonekane wabaya Ni hawez kukubali kunyanganywa Mali za watoto wake. Akishakataa tu kutoa Mali lazima aambiwe ameua
wanasingizia tu wachaga bure[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nyie mnafurahishana tu. Ishu ya wanaume kufa mapema ni tata na yenye visababishi vingi changamano yakiwemo maumbile. Ndiyo maana ni karibu dunia nzima hali iko hivyo.
20200813_140736.jpg

20200813_140713.jpg
 
Sie wanawake huzeeka mapema Ila twaishi mda mrefu hata vile tulivoumbwa Kama walezi na kuachia vitu moyoni haraka inasaidia tofauti na wanaume Mambo mengine wameaminishwa kuwa ni mwanaume vumilia shida usiseme, ukisema unakuwa ka mwanamke kumbe nao Ni binadamu wanahitaji msaada wa kisaikolojia. So wanaume hupitia mengi mno Sana imagine kuridhisha tu wanawake hyo amuont of energy wanayotumia ni kubwa fikiria hela, tunza familia hapo na maradhi ya kuwaza lazima tu usidumu tu.

Mie kwa kabila langu watu hulala tofauti vitamba nadhani na hyo husaidia kutokuzoeana, pia kupeana personal space na hamna kuchokana Wala kubanduana mfululizo na wengi wamedumu Hadi uzeeni, hii iga uzungu inatupoteza Sana bana
Unataka kusema hao wanaume wanaokufa mapema hufa kwa stress za kushikilia mambo ?????
 
Wanaume huuliwa huko nje bana wanakohangaika Mara michepuko, Mara kudhulumiana na kutapeliana huko Sasa visasi vikitokea mke ndo mhanga baada ya kufa na Mali zenyewe ukute walitafta na mke from zero mpaka wakapata mali, kwanini usipiganie jasho lako na wanao eti kisa kuogopa maneno ya waja
Ndo hapo Sasa, Bora waongee Hadi asubuhi lakin wanangu wasome na Mungu wangu anajua ukweli
 
Back
Top Bottom