Mama Terry
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 420
- 573
HahaaaaaAfu naona unaanza uchokozi Nita organise nije tuwavamie tuwapatie adabu mana naona unakoelekea sio. So mnataka kutunyima nini ivi so sie tushuhudie mnaliwa na milambo kama sie hatuwahitaji ama. Pls komaa dada
Naam nami bila shaka nasisitiza usijaribu kuoa mmachame.yamenikuta mangi nashauri hata awe mzuri na wangu alikuwa mzuri na kiuno cha nyigu na mcheshi na upole sana na she was so positive na mwenye story sana.Hivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo?
Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu tusaidie.
Hii kuua ni kweli kabisa mimi ni mchagga wa kibosho nimeshuudia wazee wakisema, kuhusu wanawake wa kimachame kuwa wa jeuri hii ni ukweli kabisa kati ya 10 7 ni wajeuri.Eti huua wanaume wao, na Wala hatujawahi kuona kesi zao mahakamani
Ukisikia Muislam basi anzia na Machame maana kama dini wameishika kama wapalestina waislama haswaaaHivi Moshi kuna sehemu inaitwa Palestina?!
Naona wewe ukikuta pesa hata imedondoka chini unaipiga teke na kuipita mnafiki weweJamii ya wachaga wote ni matatizo wanajali fedha kuliko utu!
Amekufanyaje, maana bado upo hai.Naam nami bila shaka nasisitiza usijaribu kuoa mmachame.yamenikuta mangi nashauri hata awe mzuri na wangu alikuwa mzuri na kiuno cha nyigu na mcheshi na upole sana na she was so positive na mwenye story sana.
Lakini nasisitiza usioe mmachame kabisa.
Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
Alishaacha itv sijui Yuko wapi sikuhizi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mzee ilikuaje?Naam nami bila shaka nasisitiza usijaribu kuoa mmachame.yamenikuta mangi nashauri hata awe mzuri na wangu alikuwa mzuri na kiuno cha nyigu na mcheshi na upole sana na she was so positive na mwenye story sana.
Lakini nasisitiza usioe mmachame kabisa.
Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
Wewe mbona hueleweki?Wanaume huuliwa huko nje bana wanakohangaika Mara michepuko, Mara kudhulumiana na kutapeliana huko Sasa visasi vikitokea mke ndo mhanga baada ya kufa na Mali zenyewe ukute walitafta na mke from zero mpaka wakapata mali, kwanini usipiganie jasho lako na wanao eti kisa kuogopa maneno ya waja
Unaonekana una chuki KUBWA SANA nawachagga nasikitika ni kwanini mnawachukia wachaga kiasi hiki? Ni mali na akili walizo pewa na Mungu tu au kuna lingine?Hiyo audio ni sahihi na kweli
Mara nyingi nasemaga hapa jf, ukitaka kuwa na ndoa ngumu sana katika maisha yako,basi oa mchaga wote ni wapalestina wale. hakuna nafuu ya kusema huyu mmarangu, mkibosho, mmachame sijui wa wapi na wapi wote ni wale wale.
kwa sababu kijinsia ni wanawake lakini kitabia ni zaidi ya mwanaume katili, hawana utii, hawana unyenyekevu, hawana kujishusha, hawana lugha rafiki, hawana muda na malezi ya watoto, na hivi ndivyo mwanaume anavihitaji toka kwa mwanamke yoyote.Zaidi wana kiburi sugu, dharau, wana asili ya kulipa visasi, chuki na ni wachovu sana kiroho.Hata hii ya kutaja taja jina la Mungu, Yesu, Maria mara kwa mara ni kwa sbb za uchovu wa kiimani, wao ni matambiko na uganga uganga basi.
Fanya uchuguzi kidogo. Nenda mahakama za mwanzo ulizia madai ya talaka, wao ndio wana ongoza. Nenda kwenye makanisa kama kkkt Ulizia migogoro ya kifamilia iliyopelekwa kwao, wao wanaongoza. Njia nzuri ni wao waoana wao kwa wao, kinyume hapo utapoteza ndoa, utapoteza maisha kwa stress. Wana uwezo mzuri sana wa kumuua mwanaume kisaikolojia, na wengi hawajui hili.
Ni washirika wazuri kwenye biashara lakini si ndoa.na hata kwenye biashara sio wa kuwaamini vile.
Tell the truth, or someone will tell it for you
Mimi nilimaliza pale boys 2011 advanced level2007
There are good manipulators, kuolewa sio kwamba ni wanawake bora kuliko wengine.yani wachaga wanaolewa mnoo kwakweli
wanajiweza kwa hilo aiseeThere are good manipulators, kuolewa sio kwamba ni wanawake bora kuliko wengine.
Mchaga akitaka lake atafanikisha katika namna yeyote ile...Inshort wanajua ku trick ubongo wa mwanaume ili wateke hisia zake kirahisi na kumfanya atekeleze yote wanyotaka. Hilo la ndoa ni dogo mno ndio ile unasikia bwana mchumba wangu yuko freshi sana ila hapo kabla hajavaa shela akishavaa tu maisha ya pamoja yakaanza hamna rangi utaacha kuona.wanajiweza kwa hilo aisee
kwaweli wengine hatuna hata skill mojaMchaga akitaka lake atafanikisha katika namna yeyote ile...Inshort wanajua ku trick ubongo wa mwanaume ili wateke hisia zake kirahisi na kumfanya atekeleze yote wanyotaka.
Aunt yangu ni mwana socialogy na mtu wa gender anawajua vyema huwa ananisimuliaga tabia zao hao watu. Anasema ni toka kwao wanapewaga maelekezo jinsi ya kum treat mwanaume ili aingie kwenye 18. Wana uwezo hata wa kupora wanaume za watu.[emoji23][emoji23][emoji23] Hizo ni skills ambazo wanawake wengine hawana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha sanakwakweli hao wanaowafundisha wanajiweza[emoji2]
kwaweli wengine hatuna hata skill moja
Dah Mimi nilikuwa sijui maana kuangalia Chanel za bongo siwezi sikuhiziDIRA TV. Ilikua Star Times.