Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Unaonekana una chuki KUBWA SANA nawachagga nasikitika ni kwanini mnawachukia wachaga kiasi hiki? Ni mali na akili walizo pewa na Mungu tu au kuna lingine?
Mkuu wana akili ama Mali gani.hebu niambie invention aliyofanya mchaga ama hizi Mali ndo zile kupewa uongozi na kujipendelea kwao na kuiba Mali za umma unaona ni ujanja. Hivi Unajua kuna miaka hapo bandarini kyasaka ama mtanzania mwingine hakuweza kupitisha mzigo Fulani labda uwe wa kwao. Yaani utakadiriwa kodi kubwa mpka utaacha mzigo ama ukiuchukua solo halikulipi anabakia ndugu yao tu. Na ndo mana saivi wanajiliza sana huku mtandaoni.
Mana wao ushuru ama kodi walipewa chini na akina CHUWA ama Rimo.

Saivi watafute wako wapi wamebakia kujisifia ya kale
 
Unaonekana una chuki KUBWA SANA nawachagga nasikitika ni kwanini mnawachukia wachaga kiasi hiki? Ni mali na akili walizo pewa na Mungu tu au kuna lingine?
Muongo huyo, tatizo malezi yetu Ni very advanced na tunanafasi kubwa Sana kwenye familia, Sasa ukituoa ukataka tusiwe na say kabisa tukae tu jikon Ni shida sanaaaa.
 
Mchaga akitaka lake atafanikisha katika namna yeyote ile...Inshort wanajua ku trick ubongo wa mwanaume ili wateke hisia zake kirahisi na kumfanya atekeleze yote wanyotaka. Hilo la ndoa ni dogo mno ndio ile unasikia bwana mchumba wangu yuko freshi sana ila hapo kabla hajavaa shela akishavaa tu maisha ya pamoja yakaanza hamna rangi utaacha kuona.

Aunt yangu ni mwana socialogy na mtu wa gender anawajua vyema huwa ananisimuliaga tabia zao hao watu. Anasema ni toka kwao wanapewaga maelekezo jinsi ya kum treat mwanaume ili aingie kwenye 18. Wana uwezo hata wa kupora wanaume za watu.😂😂😂 Hizo ni skills ambazo wanawake wengine hawana.
Hamna mume wa mtu anaporwa bwana, sema ananogewa na smartness ya mtoto wa kichaga, unakaa nae anamalengo Kama yoteee na kweli mkielewana mnafika mbali Sana manake yeye mwenyewe Ni mtafutaji mnoooo.
Sasa wewe Leta Mambo yako ya mwanamke haitakiwi kufanya Kaz au utake kumrudisha nyuma ndo hamtaelewana kabisaaa. It needs a real man with vision kuoa mchaga sio a boy ful of insecurity 😁
 
We mtoto Sana, me 2011 nikimaliza udsm
Usiangalie miaka ya kumaliza shule,inawdzekana ukawahi kumaliza shule lakini ukawa mdogo kuliko uliowaacha madarasa
Udsm ulisomea nn
Mimi ni mtaalam wa upimaji ardhi
Ila enzi zenu taboragirls mlikuwa mnaharibu sana ha ha ha
 
WANASEMA ETI ''UKIOA MWANAMKE WA KIMACHAME UKAPATA MAFANIKIO UKATAJIRIKA MWISHO WA SIKU WANAKULOGA NA HATA KUKUUA NA MALI WANARITHI WAO" NA KINGINE WANASEMA WANATAKA WEWE MUME UANGALIE UPANDE WA MKE TU NA SIO KWENU

NB; NIMESIKIA SIO MIMI.. MSIJE MKANINUKUU VIBAYA
Ulipotelea wapi mkuu?

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Shida MNA damu ya kikenya nyie mpaka ulipita bahati mbaya mkawa Tanzania. Ila mlistahili muwe Kenya ndo mnafanana nao na ndo mana mnapigiwa kelele. Hivi unajua Kilimanjaro Ilikuwa Kenya sema Kenyatta hakuwa na bandari akaiomba Mombasa Ilikuwa kwa pande ya Tanzania ndo tukafanya exchange wakachukua Mombasa na sie tukaichukua Kilimanjaro.
Ujue hata ule ushindani wenu ule wa kikabila kuwa mko juu kuliko kabila lingine hayo mambo yapo Kenya.
Hivi unajua kuwa nesi,mwalimu,Engineer, mhasibu,bwana kilimo ama mwanasheria ni lazima afanyie kazi eneo alilozaliwa ama kwenye kabila lake hawezi kufanya kazi eneo LA kabila lingine. Mfano mkurya Engineer akafanye kazi Kwa wanyakyusa. Anafanya kazi huko huko kwao. Ndo wakenya walivyo.
Mana baba wa Taifa lao alipandikiza iyo mbegu tokea alivyopata Uhuru kwa kujimegea ardhi yenye rutuba na kuitoa kwa kabila na jamaa na marafiki zake.
Na ndo mana unaona hata uraisi unazunguka kwa wakikuyu na wakalenjini.
Unamjua Moi ni mpwa wa kenyata afu Moi akarudisha uraisi kwa waliompatia.


kenya wako sana sensitive kikabila ni kama Kilimanjaro tu. Ukiwa hizo kanda kitu cha kwanza wasipokutambua lafudhi yako ni utasikia unaulizwa aisee wewe jamaa ni wa wapi? Nimeishi huko nawajua Sana Kaenda huko Tarakea napajua sana.

mchaga hawezi nunua duka LA MTU wa kabila jingine kama kuna MTU wao hapo hapo jirani.

kenya wanashindana kikabila hawana umoja wa kitaifa kama tuliojengewa na baba yetu.

kenya huwezi unaitwa majina yote ya kizungu ama ya kiarabu mfano Abdalah Alli ama john Daniel. Wanavyoandikisha watoto wao cheti cha kuzaliwa ni lazima uweke jina LA kikabila ili wakutambue. Mwanangu wa kwanza nimemzalia Arusha na kumchukulia birth certificate Arusha.
nilimuandikisha mpaka jina LA tatu MTU hajajua ni kabila gani ila wakanikomalia kuwa ni sheria ni lazima uweke jina LA kikabila. Mfano MIE naitwa Peter john Augustine ni mfano. Mwanangu ni Grace. Sasa katika kuandikishwa like jina ili niingie ofisi za DC nipewe cheti wakadai hakuna jina LA ukoo..

nimeshangaa Hayo mambo nimeyakuta kwa kanda iyo iliyoendelea.
binafsi nimesoma shule zilizokuwa zinakutanisha vijana wa pande zote za Taifa na dunia. Mana nimepitia Tabora Boys,Ilboru,Tanga Technical kwa chuo ni Udsm na rudn ya Moscow Russia so nimekutana na ubaguzi wa kikabila ,kidini na kirangi aka tribalism,religionism and racism.
before sijaenda sekondari Nilikuwa nasikia ukabila na udini sikuwa najua mana yake . so nilipofikia huko nikaujua nilitokea kuuchukia mpaka nikaacha Kaenda kwenye majumba ya kuabudu Mungu namuabudu navyojua mwenyewe.

mfano wa ubaguzi wa kidini mwanafunzi mwenzenu anaumwa ambaye mko naye labda tycs,uhima,ukwata ,assa,ama Moslems. Sasa mmoja akiumwa akalazwa hospital wa mfano wa Moslems so uhima hawaendi kumjulia hali na hatangazwi during ibada kuwa kuna mwenzetu anaumwa tukamjulie hali. MIE nilitokea kuchukia Sana dini kinachohubiriwa hakifanyiwi kazi.

kuna kijana Nilikuwa nalala naye cube moja akaniambia huwa haendi msikitini mana kule viongozi wao wanahimiza kuwa wasishirikiane na makafiri katika kusoma. Na ni kweli wale wa f1 wakifika wale wa f3 wanawachukuwa na kuwafundishia kule wanakoswalia.
unakuta MTU anamfundisha wa darasa laki ukipita kama nawee upate material wanaacha kupeaana madini kama ni wa kabila moja wanaanza kufundishana kikabila ama wakifika kwenye points zinatamkwa kikabila

so nilitokea kuuchukia udini na ukabila katika maisha Yangu.


pia naogopa MTU mmekutana first day anakuulizia wewe kabila ama dini gani .

yaani ukiniuliza Hayo maswali miwili ndo mwisho wa story na wewe.

Tribalism and religionism create disunity among societies na hichi ndicho kilichofanya tukatawaliwa na wazungu mana wao kuwa na mtawala wa nchi nzima sie tulikuwa kikabila.
Na ndo mana kama machifu wote wangekuwa kitu kimoja mkoloni angatuacha.


ivi anajua kuwa mangi Mareale alipishana na Nyerere Uwanja wa Taifa tokea UNO.
Mareale alitangulia huko UNO kuomba Uhuru wa kaskazini ila hakupewa mana alikuwa na mentality ya kikabila.
Nyerere alivyoenda aliomba Uhuru wa Tanganyika yote ndio akapewa baabdaye akaunganisha Zanzibar na Tanganyika ukawa Tanzania.
Umeua kila kitu mkuu, hii kanda ina watu wanaendekeza ukabila sana.
 
Hivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo?
Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu tusaidie.
Wanawake wa kimachame wako vizuri sana kuanzia sura na mpaka shape pia ni wachamungu. Changamoto wale wanawake wanajua kupambana na maisha wanajituma sana sasa mwanaume ukiwa legelege unaibika. Hata ukiondoka ukamwachia familia pengo lako linazibika kwa mwanume hii ni dharau
 
Hahaaaa A level, discussiion ndio tulianzisha
Nishakusoma tayari muwoso. Joshua Nasari akiwa f6 nyie mkiwa F5 ama. Yaani nyie mwaka wenu mlikuja wa mjini wengine tokea Moro na dar ndo mkaibadilisha Tabora. Binafsi niliwapenda sana mwaka ule wa advance level.

Kila jumatano mnakuja kucheza mpira pale uwanjani kwetu
 
Back
Top Bottom