Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Unaonekana una chuki KUBWA SANA nawachagga nasikitika ni kwanini mnawachukia wachaga kiasi hiki? Ni mali na akili walizo pewa na Mungu tu au kuna lingine?
sio suala la chuki, kwenye kutafuta maisha "maendeleo" ninyi mnaongoza na hakuna ubishi, na malezi na makuzi yamewafanya hivyo.
kwenye suala la mahusiano, hakuna kitu, hamna maendeleo eneo hili. na kuna taarifa mjini kwa sasa ukioa mchaga lazima uwe na mchepuko!
 
Usiangalie miaka ya kumaliza shule,inawdzekana ukawahi kumaliza shule lakini ukawa mdogo kuliko uliowaacha madarasa
Udsm ulisomea nn
Mimi ni mtaalam wa upimaji ardhi
Ila enzi zenu taboragirls mlikuwa mnaharibu sana ha ha ha
Heheee hiv miaka sio issue we
Weee nikisema course ntajulikana Sana. Ila ni Engineering
 
Naam nami bila shaka nasisitiza usijaribu kuoa mmachame.yamenikuta mangi nashauri hata awe mzuri na wangu alikuwa mzuri na kiuno cha nyigu na mcheshi na upole sana na she was so positive na mwenye story sana.

Lakini nasisitiza usioe mmachame kabisa.


Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
alikufanyia nn mkuu?
 
Hii kuua ni kweli kabisa mimi ni mchagga wa kibosho nimeshuudia wazee wakisema, kuhusu wanawake wa kimachame kuwa wa jeuri hii ni ukweli kabisa kati ya 10 7 ni wajeuri.
nashangaa kuna watu wanabisha!!
 
Back
Top Bottom