Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Pia kumbukeni machame ndio kuliko jengeka kupita moshi sehem zote kijani cha kutosha nyumba mzuri kote na uzungu was kutosha totally wanaishi kizungu
 
Mkurya anaoa mchaga alafu mkurya anajua kulima shamba mchaga anajua biashara...!
Mapenzi yananoga hapo cozi mchaga atafanya biashara bila mipaka na mkurya atafanya kilimo bila mipaka maelewano yatakuepo...

Sio wote wakurya mnaoana wote wababe wote wakulima Ahh[emoji2]
Mmmmmh bas sawa.
 
Eti wadau nasikia maeneo ya tabata kuna mtaa unaitwa mtaa wa wajane nasikia wengi wao ni wanawake wa kichaga ndio wanaishi kwenye huo mtaa, ni kweli kwa ambao munaishi maeneo ya huko tabata
 
Endelea tuone hoja zako..

Huna hoja ndio maana unasema "niishie hapa"..you have nothing on my hoja!

Nime-hit home kabisa....

Huna sababu za kuwaacha dada zako eti unafata waliokuzaa na kukutunza na kukupa all those genes and intelligence uone hawakufai halafu Wanyakyusa ndio wanakufaa sababu tu wameendelea...

Huna la maana wewe...kama wanawake wa kwenu unawaona hovyo mpaka uwaone hawakufai wa makabila mengine eti ndio wanakufaa zaidi...

Huna la maana,huna sense of respect to your own people....

Guess what,hao unao waona wazuri hawana tofauti na dada zako uliowaacha....

Ni ukichaa na sense of self hatred imekupeleka huko...yaani you hate yourself and your own people so much mpaka unaenda kuoa kwa unao ona ni wa maana and above you...

Such a coward....wewe ni coward...nothing you can tell me wewe!
Katika madogo mnaoongoza kwa stress humu Jamii forum ni wewe na GENTAMYCINE
 
Hii inatokana na wachaga wenyewe kujisifu.. utakuta mtu anajisifu eti si unajua wachaga tunavyo penda pesa?

Ukiona mtu tupo serious anaongelea ukabila ujue huyo ni tatizo.

Hiyo clip ni wachaga kwa wachaga kitu ambacho kipo wala si utani.

Wachaga wanabaguana sana.

Mjomba angu ameoa machame.. mke wake yupo vizuri sana .. my best friend.
 
Jamaa yako Magufuli presha juu,kalala ndani Lissu anamfanyia operation...

That nigga is running for his money!

Mpaka October 28th atakua ulimi nje
Magufuli is a scientist who is depended by many in the universe unlike conman Lissu
 
Magufuli is a scientist who is depended by many in the universe unlike conman Lissu
DIctator is never friend of anyone but himself...

Dictator mzuri ni yule aliekufa tu....

Yaani upo hapa unatetea dictator?
dictators.png
 
Back
Top Bottom