Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Unakumbuka yule wa morogoro aliyeolewa na mkikuyu waliishi dumila naye alimkodia majambazi. Simu yake imefuatiliwa maongezi akasikika akiongea " huyo fala ivi bado hamjammaliza"
Hawa huwa ni kuwakojolea tu afu unaingia usukumani,umasaini ,kigoma ama ukuryani unachukua mke wa kudumu naye asiye na tamaa na Mali wala fwedhwa.
Ninaomba mrejesho aliyeoa Hayo makabila ila sio digitalized or westernized girls anasafa na marriage yake alete ushahidi MIE namuozesha binti chapa bado sealed
Kwanini uzunguke kote huko utoe faida kwa makabila ya wenzako?

Kwani kabila lako halistahili kupata upendeleo kutoka kwako kuwaoa dada zako ambao na wao wana hamu na kuolewa kama hao wanawake wengine unaozunguka kujipendekeza kuwaoa?

Kwanini usitoe nafasi ya upendeleo kwa dada zako kwanza,then ukikosa ndio uende kwa hao unao waona ni bora sana wewe ku-commit your lifetime to?

A man anajifanya kuona jamii yake haistahili kua na yeye ni pumbavu sana yaani
 
Ngoja nielezee kidogo..

1. warombo shida yetu kubwa japo siku hizi imepungia sana ni matambiko. Yaan kwa mizimu tuu? Halooo.. acha kabisa. Sema imepungua kiasi kikubwa. Na wakibosho bado wameshikilia mila hata some parts za kibosho. Pia ushamba bado upo upo kwa warombo. Huwa ni wapole ila wana gubuu. Ubabe nadhani ni kama asili na confidence ambayo tayari sisi wanawake wa kichagga ilishajijenga toka enzi. Warombo ni mabuldoza. Wanafanya kazi aisee. Wanawake wa kirombo wanapiga kazi si mchezo. Kama kuna wanawake wanafanya kazi uchaggan basu warombo.

2. Wamarangu.. hata uniue sitokaa wala kutamani olewa na wamarangu. Yaani kati ya sisi wachagga, hakuna sub tribe wana tabia za ajabu kama wamarangu. Wamejaa nyodo, dharau, wanajisikia, uchonganishi etc. Yaan naona kama wamachame wanapakaziwa. Yaan wanawake wao [emoji119][emoji119]
Wana wivu balaa. Roho za wivuuu. Ni wavivuu[emoji23] huwa wanapenda kujibrag sana. Na vile wamejaliwa karangi basi ndo wanajikuta ilee keki yani. Hela yenyewe hawana. Halaf ni opportunists balaa. Ila wanajipendaa. Wanapendeza haswaa. Hawa wanaelewana na wamachame kwa kias fulan maana kishule wao walienda enda wa mwanzo unlike uchaggani kungine.

3. Wakibosho.
Ile clip ya USIMLETE ni wakibosho wale. [emoji23][emoji23] sitataja wanakoishi. Katika sisi wachagga, uuuwui, hakuna wachagga wakorofi kama wakibosho. Siyo wanaume si wanawake. Yaani mwanamke akikuambia "Macha nataka saa ya rollex" basi ukaitafute ulete. Kama utaiba haya, maana wakibosho kwa ujambazi[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] yaan hela yao inatafutwa kibabe.
Enzi hizo walikua wanaruka na magodoro magorofani Arusha. Yaan hawa ndo wazee wa show. Na hata bifu lao na wamachame ni kutokana na Historia. Hawapatani. Hata nyumba haziangalii upande mmoja. Na hili ni kwenye jamii za uchaggani lipo sana. Yaani kina koo na koo hazioani kwahiyo lisiwashangaze sana. Ila wakibosho na warombo wanaelewana maana asilimia kubwa ni wafanyabiashara. Hata mahotel mengi makubwa utakuta yanamilikiwa na wakibosho. Akakuambia ngikupa kiandu kimbia ufeee. Hawanaga mzahaaa.

4. Wamachame.
Honestly nawapenda sana wamachame[emoji23][emoji23] na kuna muda kbs nadanganya ndo kwetu. Wamachame hasa wanaume huwa ni wastaarabu mno. Mno mno. Wanawake wao wana ubabe. Hiwa si washari ila mpaka uwachokoze. Na wana balaa zitoo ukiwaingilia. Na majority kama sikosei ni magiant sana. Wana miili. Kiboko ya wamachame huwa ni wakibosho[emoji23][emoji23] yaan waliwachinja kweli enzi za kina Mangi Sina. Kiukweli waliopaswa utwa wapalestina ni wakibosho.
Sema MASAMA alipotaja Gilberty akidhania babake ndo angemkubalia kwmaba si sehem ya Machame ndipo alipoharibu kabisa. Masama kwa Mullah camp pale sasa ndo kuna Uislam haswaa. Yaan ule Uislam wenyewe. Machame kuna Ulutheri na Uislam tuu. Yaani pale Masama ndo wale walioanza kuvaa Pedo wale. Wale wanaoruka wanageuka hewani[emoji23][emoji23] ukitaka balaa na fujo nenda mitaa ya Masama.

5. Old Moshi.
Huku huwaga wamejaa wasomi. Halafu hawanaga muda na mtu. Kwa kina mama Anna Mkapa huko. Ila ndo kuna Uru kishumundu vile eh?[emoji23][emoji23] hawa huwaga wako kivyao ila ndo wabishi balaa. Wanawake wao hawatakagi ujinga.

All in all, wanawake wa Machame ni wazuri sana na wana upendo sana. Wanajua kupambana. Kuachana siwezi sema mwanamke ndo sababu ama lah kwani hata mwanaume anaweza pia kua chanzo. Binafsi enzi za shule nilikua napenda kuitwa mmachame ili tuu nisiletewe mazoea[emoji23][emoji23]
"All in all" (in baba levo's voice)
Karibuni sana Rombo kuoa achaneni na baba Gilberty. Wao wakibosho wana mabifu na wamachame tuwaelewe.
Na Gilberty alijua kabisa hapa kuna shida ndo maana alikua hataji mchumbake nani wakati wenzake wanataja baba akafatilia kwa unakini intelijensia yale mpaka kufikia USIMLETE..
umeeleza vizuri sana.ntatembelea uchagani kote kufanya utalii.kuna girlfriend yeye ni shirima ngoja nimuulize yeye ni mchaga wa wapi then nije nioanishe sifa zake
 
Ngoja nielezee kidogo..

1. warombo shida yetu kubwa japo siku hizi imepungia sana ni matambiko. Yaan kwa mizimu tuu? Halooo.. acha kabisa. Sema imepungua kiasi kikubwa. Na wakibosho bado wameshikilia mila hata some parts za kibosho. Pia ushamba bado upo upo kwa warombo. Huwa ni wapole ila wana gubuu. Ubabe nadhani ni kama asili na confidence ambayo tayari sisi wanawake wa kichagga ilishajijenga toka enzi. Warombo ni mabuldoza. Wanafanya kazi aisee. Wanawake wa kirombo wanapiga kazi si mchezo. Kama kuna wanawake wanafanya kazi uchaggan basu warombo.

2. Wamarangu.. hata uniue sitokaa wala kutamani olewa na wamarangu. Yaani kati ya sisi wachagga, hakuna sub tribe wana tabia za ajabu kama wamarangu. Wamejaa nyodo, dharau, wanajisikia, uchonganishi etc. Yaan naona kama wamachame wanapakaziwa. Yaan wanawake wao [emoji119][emoji119]
Wana wivu balaa. Roho za wivuuu. Ni wavivuu[emoji23] huwa wanapenda kujibrag sana. Na vile wamejaliwa karangi basi ndo wanajikuta ilee keki yani. Hela yenyewe hawana. Halaf ni opportunists balaa. Ila wanajipendaa. Wanapendeza haswaa. Hawa wanaelewana na wamachame kwa kias fulan maana kishule wao walienda enda wa mwanzo unlike uchaggani kungine.

3. Wakibosho.
Ile clip ya USIMLETE ni wakibosho wale. [emoji23][emoji23] sitataja wanakoishi. Katika sisi wachagga, uuuwui, hakuna wachagga wakorofi kama wakibosho. Siyo wanaume si wanawake. Yaani mwanamke akikuambia "Macha nataka saa ya rollex" basi ukaitafute ulete. Kama utaiba haya, maana wakibosho kwa ujambazi[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] yaan hela yao inatafutwa kibabe.
Enzi hizo walikua wanaruka na magodoro magorofani Arusha. Yaan hawa ndo wazee wa show. Na hata bifu lao na wamachame ni kutokana na Historia. Hawapatani. Hata nyumba haziangalii upande mmoja. Na hili ni kwenye jamii za uchaggani lipo sana. Yaani kina koo na koo hazioani kwahiyo lisiwashangaze sana. Ila wakibosho na warombo wanaelewana maana asilimia kubwa ni wafanyabiashara. Hata mahotel mengi makubwa utakuta yanamilikiwa na wakibosho. Akakuambia ngikupa kiandu kimbia ufeee. Hawanaga mzahaaa.

4. Wamachame.
Honestly nawapenda sana wamachame[emoji23][emoji23] na kuna muda kbs nadanganya ndo kwetu. Wamachame hasa wanaume huwa ni wastaarabu mno. Mno mno. Wanawake wao wana ubabe. Hiwa si washari ila mpaka uwachokoze. Na wana balaa zitoo ukiwaingilia. Na majority kama sikosei ni magiant sana. Wana miili. Kiboko ya wamachame huwa ni wakibosho[emoji23][emoji23] yaan waliwachinja kweli enzi za kina Mangi Sina. Kiukweli waliopaswa utwa wapalestina ni wakibosho.
Sema MASAMA alipotaja Gilberty akidhania babake ndo angemkubalia kwmaba si sehem ya Machame ndipo alipoharibu kabisa. Masama kwa Mullah camp pale sasa ndo kuna Uislam haswaa. Yaan ule Uislam wenyewe. Machame kuna Ulutheri na Uislam tuu. Yaani pale Masama ndo wale walioanza kuvaa Pedo wale. Wale wanaoruka wanageuka hewani[emoji23][emoji23] ukitaka balaa na fujo nenda mitaa ya Masama.

5. Old Moshi.
Huku huwaga wamejaa wasomi. Halafu hawanaga muda na mtu. Kwa kina mama Anna Mkapa huko. Ila ndo kuna Uru kishumundu vile eh?[emoji23][emoji23] hawa huwaga wako kivyao ila ndo wabishi balaa. Wanawake wao hawatakagi ujinga.

All in all, wanawake wa Machame ni wazuri sana na wana upendo sana. Wanajua kupambana. Kuachana siwezi sema mwanamke ndo sababu ama lah kwani hata mwanaume anaweza pia kua chanzo. Binafsi enzi za shule nilikua napenda kuitwa mmachame ili tuu nisiletewe mazoea[emoji23][emoji23]
"All in all" (in baba levo's voice)
Karibuni sana Rombo kuoa achaneni na baba Gilberty. Wao wakibosho wana mabifu na wamachame tuwaelewe.
Na Gilberty alijua kabisa hapa kuna shida ndo maana alikua hataji mchumbake nani wakati wenzake wanataja baba akafatilia kwa unakini intelijensia yale mpaka kufikia USIMLETE..
kasema mapalestina sababu ni waislamu au
 
Kwanini uzunguke kote huko utoe faida kwa makabila ya wenzako?

Kwani kabila lako halistahili kupata upendeleo kutoka kwako kuwaoa dada zako ambao na wao wana hamu na kuolewa kama hao wanawake wengine unaozunguka kujipendekeza kuwaoa?

Kwanini usitoe nafasi ya upendeleo kwa dada zako kwanza,then ukikosa ndio uende kwa hao unao waona ni bora sana wewe ku-commit your lifetime to?

A man anajifanya kuona jamii yake haistahili kua na yeye ni pumbavu sana yaani
Mkuu umekurupuka naona. Naomba niishie hapo
 
Mkuu umekurupuka naona. Naomba niishie hapo
Endelea tuone hoja zako..

Huna hoja ndio maana unasema "niishie hapa"..you have nothing on my hoja!

Nime-hit home kabisa....

Huna sababu za kuwaacha dada zako eti unafata waliokuzaa na kukutunza na kukupa all those genes and intelligence uone hawakufai halafu Wanyakyusa ndio wanakufaa sababu tu wameendelea...

Huna la maana wewe...kama wanawake wa kwenu unawaona hovyo mpaka uwaone hawakufai wa makabila mengine eti ndio wanakufaa zaidi...

Huna la maana,huna sense of respect to your own people....

Guess what,hao unao waona wazuri hawana tofauti na dada zako uliowaacha....

Ni ukichaa na sense of self hatred imekupeleka huko...yaani you hate yourself and your own people so much mpaka unaenda kuoa kwa unao ona ni wa maana and above you...

Such a coward....wewe ni coward...nothing you can tell me wewe!
 
Duuuuuh aseeeh hatareeeh sanaah
Mkurya anaoa mchaga alafu mkurya anajua kulima shamba mchaga anajua biashara...!
Mapenzi yananoga hapo cozi mchaga atafanya biashara bila mipaka na mkurya atafanya kilimo bila mipaka maelewano yatakuepo...

Sio wote wakurya mnaoana wote wababe wote wakulima Ahh[emoji2]
 
Hivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo?
Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu tusaidie.
IPIGIE KURA CHAUMA MWAKA HUU ILI KUEPUSHA MATATIZO NCHI HII!!!
 
Back
Top Bottom