Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
shekhe
hili zigo ktk avatar ya Chamtuvima linanipa shida sana kwenye kuchanganya picha ktk ubongo wangu.
Sijui kama Belinda naye amejazia-jazia hivyo au? ah we acha tu mabinti hawa watatumalizia mitaji mwaka huu
Oohh Belinda yuko average which I enjoy most....kwa kweli kazi ipo....kuna siku nilikuwa kwenye mgahawa akaingia binti mmoja hahahah wanaume wote waliacha kula wanapepesa mimacho.....baada ya mdada kuondoka mzee mmoja akasema anachukia kuzeeka....!