BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Nimekuwa shuhuda mzuri wa mafanikio ya watu wenye tabia za kibahili na binafsi nishawahi kujaribu kuwa mbahili kwa kifupi ubahili ni utajiri kuishi maisha ya ubahili sio kazi nyepesi inahitaji roho ngumu sana maana utakuwa ukiishi kinyume na jamii inayokuzunguka sababu utakuwa sio mwepesi wa kutoa michango mbalimbali kwenye jamii kama sherehe na hata pia misiba.
Hoja yangu ni kuwa kwa wale ambao wanahustle na still bado hawajafanikiwa wajaribu kuishi maisha ya kibahili ili kuweza kutimiza ndoto zao. Kwa mfano
1. Kama unamiliki smartphone ya 500,000 na kuendelea waweza kubadilisha na kutumia smartphone ya 100,000 ili kilichobaki uwekeze.
2. Kutotembea na kiasi ambacho ujaplan kukitumia.
3. Kukwepa kampani za watu ambao ukushawishi kutumia pesa kwenye anasa
Karibuni tupeane uzoefu na mbinu ambazo zinazoweza kutufanya kuepukana na janga la umasikini.
Hoja yangu ni kuwa kwa wale ambao wanahustle na still bado hawajafanikiwa wajaribu kuishi maisha ya kibahili ili kuweza kutimiza ndoto zao. Kwa mfano
1. Kama unamiliki smartphone ya 500,000 na kuendelea waweza kubadilisha na kutumia smartphone ya 100,000 ili kilichobaki uwekeze.
2. Kutotembea na kiasi ambacho ujaplan kukitumia.
3. Kukwepa kampani za watu ambao ukushawishi kutumia pesa kwenye anasa
Karibuni tupeane uzoefu na mbinu ambazo zinazoweza kutufanya kuepukana na janga la umasikini.