MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Majirani wetu hawa wa kusini hawajambo kwa vituko vya kishirikina, mara unyofoaji wa viungo vya albino, mara watoto kuchinjwa, sasa kuna aina mpya wameibuka nayo ambayo inatawala kwenye vyombo vya habari, ubakaji wa wajane, wameipa jina Teleza.
Yaani jemba linavua nguo na kuingia kimiujiza kwenye nyumba ya mjane au hata mke ambaye yuko mwenyewe hususan kama mumewe anafanya kazi usiku, linambaka na kumkata kwa kisu kisha linatoweka.
Habari zaidi
www.mwananchi.co.tz
https://www.mwananchi.co.tz/habari/...ani-Kigoma/1724700-3269752-152csul/index.html
Yaani jemba linavua nguo na kuingia kimiujiza kwenye nyumba ya mjane au hata mke ambaye yuko mwenyewe hususan kama mumewe anafanya kazi usiku, linambaka na kumkata kwa kisu kisha linatoweka.
Habari zaidi
Wabakaji wa ‘teleza’ wawagonganisha Zitto, Lugola bungeni
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola na Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe wamevutana bungeni kuhusu wanaume wanaojipaka oil chafu maarufu ‘wanaume teleza’ kisha kuwabaka wanawake
https://www.mwananchi.co.tz/habari/...ani-Kigoma/1724700-3269752-152csul/index.html