Ubalozi wa Kenya jirani na TISS

Ubalozi wa Kenya jirani na TISS

Nyie endeleeni tu...................................................................................................................
 
Acha uongo....mbona husemi nini kilisababisha oilcome washindwe kuweka petrol station pale baada ya kuwa wamekamilishe ujenzi wote kwa ajili ya kuanza kuuza mafuta au umehamia dar juzi? si ajabu hata hujui pale ulipojengwa ubalozi wa marekani palikuwa nini kabla.

Umekuja kunishambulia au unamshawasha? mimi si mshika siri za kila mtu nilichoandika ni kile nilichosikia kwa wadau na jeuri ya mwenye kiwanja... wewe ukija na story za OILCOM na sababu umeona sijaidokeza ni kuwa sina chanzo maarum na kwa mtu wa uhakika ila nilishasikia alinyimwa kuweka petrol station... hayo mambo ya kuniambia nimehamia dar juzi yanahusikaje zaidi ya kunidhihaki wakati sijagombana na wewe Drive in cinema niliingia for the first time 1989 nilikuwa mdogo ni upumbavu kujivunia kufika sehemu kabla ya mwingine... hatuna majivuno kama yako ya kijinga.... naona unapenda kununua ugomvi sana ila hapa kwangu mbona utachemsha na utajutia fuatilia post zangu kwa watu jamii yako uone walichokipata... na hawana hamu
 
Kama ni hujuma za kimawasiliano zipo kila mahali tatizo ni nchi husika kujitambua na kuthibiti aina yoyote ya hujuma na siyo kwa Kenya tu bali hata kwa wwngine.
 
kumbe pale ndio tiss mimi sikujua yaani napita kila siku mitaa ile
 
Mtoa mada umechemka...Makao makuu ya tiss hayapo dsm kama unavyosema, au inawezekana ikawa ofisi lakini makao makuu ya tiss yapo Dodoma na ndipo Makao makuu ya nchi
 
Mtoa mada umechemka...Makao makuu ya tiss hayapo dsm kama unavyosema, au inawezekana ikawa ofisi lakini makao makuu ya tiss yapo Dodoma na ndipo Makao makuu ya nchi

Hakuna neno makao makuu kwenye post yangu tuliza akili huu sio mtihani soma taratibu uelewe.
 
Kufuatia kuvuja kwa taarifa kuhusu Usikilizwaji wa simu za Viongozi na Wananchi wa Mataifa mbali mbali kulikofanywa na Marekani kupitia Balozi zake, binafsi nina mashaka sana na Ubalozi wa Kenya kua Jirani na Taasisi yetu nyeti ya Usalama nchini.

Hali hii inaongezeka zaid nikiangalia msimamo wa wenzetu katika kushirikiana na Tanzania kimataifa hasa EAC. Naona kulikua na haja ya kuchukua tahadhari kubwa ki location kuliko ilivyofanyika sasa. Nafaham kunakua na assesment nyingi za kiusalama kwa kila jambo ila hii haingii akilini.

Ni vyema kinga kuliko tiba.

Kutokana na safari nyingi anazofanya huyu mkuu wa kaya, nadhani hawa jamaa wameshamwekea "tracking device" kwenye ndege yake au baadhi ya vitu vyake vya binafsi. Leo yupo china kesho sri lanka, kesho kutwa Poland mtondo usa, kha!
 
Ha haa..Dodoma mkuu sai au uzunguni...mara kunduchii mi najua yapo iramba underground. .
 
Kufuatia kuvuja kwa taarifa kuhusu Usikilizwaji wa simu za Viongozi na Wananchi wa Mataifa mbali mbali kulikofanywa na Marekani kupitia Balozi zake, binafsi nina mashaka sana na Ubalozi wa Kenya kua Jirani na Taasisi yetu nyeti ya Usalama nchini.

Hali hii inaongezeka zaid nikiangalia msimamo wa wenzetu katika kushirikiana na Tanzania kimataifa hasa EAC. Naona kulikua na haja ya kuchukua tahadhari kubwa ki location kuliko ilivyofanyika sasa. Nafaham kunakua na assesment nyingi za kiusalama kwa kila jambo ila hii haingii akilini.

Ni vyema kinga kuliko tiba.

nina wasiwasi na thread yko kma hko ndo unataka kujua tu au umetumia njia hii kupata uvitakavyo 1. Unajua pale ni makao makuu ya TISS na wapekana na hawapo pamoja ivi unahisi nani hamuofie mwenzie kati ubalozi na taasisi ya kijasusi au unadhani wao TISS ni wajinga kiasi hicho. 2.
 
Back
Top Bottom