PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Ukisoma comments nyingi Hapo utagundua kuwa wengi hawajui kitu na hawana uelewa juu ya siasa za kimataifaMiaka 100 tu? hata miaka 1000 bado hilo Taifa la Marekani litaendelea kutesa maana lina military army bases zaidi ya 750 duniani, ni upofu tu wa akili sababu ya dini tulizoletewa na mitumbwi enzi za ukoloni.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wala yeye hakuchanganyikiwa kuwa tumedanganya..Ni kitu kinachomshangaza kila mtu katika siasa za kimataifa.Kumbe na wewe umeona uongo wa huyu mvaa kobaz na mahaba kwa hiyo dini ya waarabu, watukutu....😅😅
Iran hajifunzi Kwa wababe wenzie akina Ghadafi na Sadam HusseinIran ameshawambia waondoke maeneo yote ya mashariki ya kati laa sivyo hawatakua salama sasa ni uamuzi wake achaguwe kufa au kuondoka.
Naamini US akiamua atakaa pale ila nyie mtaondokaMwanzo wa mwisho wa us pale mashariki ya kati
Mlivyo na matusi no wonder kizazi na wafia dini wenzenu wanafutwa...Unahasira sana,jitie dole harafu unuse
Jibu ni moja tu hayo mataifa yote uliyoyataja, marekani anatumia balozi zake na kambi zao kama training grounds.Wala yeye hakuchanganyikiwa kuwa tumedanganya..Ni kitu kinachomshangaza kila mtu katika siasa za kimataifa.
Na wewe jiulize maswali haya na naamini jawabu utaipata.
1.Mbona Iraq hailaani mtu yeyote ubalozi wa Marekani na kambi za Marekani zikishambuliwa
2.Syria yuko kimya kabisa marekani ikiteswa na wanamgambo wake
3.Hizo silaha zenye kulenga shabaha kwa uhakika hao wanaoipiga Marekani wanazipata wapi na kuzihifandhi wapi
.4.Wanaoitesa Marekani wakisharusha makombora yao huwa wanalala wapi?
Taharuki ndio maishaWacha kuleta taharuki isiyokuwa na sababu.
Israel ameshajamba huko, mwanzo hakutaka kubadilishana wafungwa na mateka sasa hivi mbona alikubali bado tunasubiri Marekani akose hela za kuisaidia israel maana kule Ukraine ameisha jiondoaMfia dini leo nduguzo wapalestina wameuwawa wangapi???😄😄😄
Mapema jana Ijumaa jumla ya Makombora saba yalirushwa na kufanikiwa kuingia ndani ya ubalozi wa Marekani nchini Iraq.
Ubalozi huo daima huwa unalindwa na mifumo mbali mbali ya ulinzi ambayo imewekwa kwenye hali ya tahadhari, hata hivyo hikuwezekana kuyazuia makombora hayo kutua ndani ya ubalozi huo.
Mbali na makombora hayo 7,mengine matano yalirushwa kwenye kambi za jeshi la Marekani vilivyopo Syria na maeneo mengine ya Iraq.
Kwa mujibu wa msemaji wa wa kijeshi wa Marekani ni kuwa kasi ya mashambulio kama hayo imeongezeka sana katika siku za karibu na ni kupita kiwango katika kumbukumbu za kuwepo kwa vikosi vya Marekani katika nchi hizo.
US embassy in Baghdad struck with seven mortars as attacks escalate
View attachment 2837311
Allahu akbarIrani ameshasema hataki kuona vikosi vya marekani hapo mashariki ya kati huyu marekani bado haelewi somo tu
Irani ameshasema hataki kuona vikosi vya marekani hapo mashariki ya kati huyu marekani bado haelewi somo tu
Hivi huko misikitini kuna somo la kuvuta bangi?Israel ameshajamba huko, mwanzo hakutaka kubadilishana wafungwa na mateka sasa hivi mbona alikubali bado tunasubiri Marekani akose hela za kuisaidia israel maana kule Ukraine ameisha jiondoa
Kila siku unasemaga mzungu kwa Mwarabu hana ubabe mzungu ataendelea kuwabonda Waafrika weusi na wahindi
Iran yeye ana uhakika na maisha yake? Si majaribio kama Hamas halafu baadaye wanakimbilia umoja wa mataifa kusitisha vita?Iran ameshawambia waondoke maeneo yote ya mashariki ya kati laa sivyo hawatakua salama sasa ni uamuzi wake achaguwe kufa au kuondoka.
Hakuna bangi ndugu yangu, wanayapata hayo kwenye vijiwe vya kahawa na kashataHivi huko misikitini kuna somo la kuvuta bangi?
Ngoja amalizane na hamas kwanza baada ya hapo ataenda kwa waume za hamas kina IranMiaka 100 tu? hata miaka 1000 bado hilo Taifa la Marekani litaendelea kutesa maana lina military army bases zaidi ya 750 duniani, ni upofu tu wa akili sababu ya dini tulizoletewa na mitumbwi enzi za ukoloni.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Vipi na huko makanisani mkiwa mnakata viuno na kumuimbia shoga yenu uwa mnapaka pilipili matakoni?Hivi huko misikitini kuna somo la kuvuta bangi?
Wanaposema waliweka New World Order ni kweli baada ya vita ya pili ya Dunia Marekani na Muingereza waliweka utaratibu mpya wa dunia baada ya vita (post war world) unaowapa upendeleo wakianza na Bretton woods system pamoja na institutions zao kama UN, IMF, World Bank etc...Ni mwendelezo wa kuporomoshwa taifa lililoleta jeuri duniani kwa muda unaozidi nusu karne.Walifika pahala wanasema ni new world order.Mwenyezi Mungu alikuwa anawaangalia tu.
Imeanza kidogo kidogo Afghanistan,Libya,Somalia,Venezuela,Ukraine na watu waliona ni mchezo. na haiwezekani.Sasa ndio anadidimia kwa kasi mashariki ya kati.Hata kujibu mapigo ya Houth wanajiuliza kwanza.
Daah wewe bado upo gizani sana labda aje mwingine kuanza kukuelesha.Mnachonganisha Iran na USA tena kwani Iran wamethibitisha ndio wamefanya hivyo???