Ubalozi wa Marekani Kenya watoa tahadhari ya kuwepo kwa shambulio la Kigaidi Jijini Nairobi wakati wowote kuanzia sasa

Mleta uzi kaleta taarifa vizuri tu wala hakuna alipochekelea,
Kwa hiyo na sisi tuwaambie mlikuwa mnachekelea mwaka jana Tz ilipopewa security alert halafu mkafungua nyuzi humu,
Hivi huwa mnadhani kila Muda ni mshindano humu,
Tapala emodai grow up.
Nugu, kae urathicwo ni ngoma? Tangu lini nyie wanakijani kibichi na uchawi wenu wote mkawa na concern yeyote kuhusu Kenya? Kawapumbaze watu wengine, hebu leta hizo nyuzi ambazo humo ndani wakenya walikuwa wanawacheka kwasababu ya ugaidi.
 
Nugu, kae urathicwo ni ngoma? Tangu lini nyie wanakijani kibichi na uchawi wenu wote mkawa na concern yeyote kuhusu Kenya? Kawapumbaze watu wengine, hebu leta hizo nyuzi ambazo humo ndani wakenya walikuwa wanawacheka kwasababu ya ugaidi.
mbona waueleweki..Hii onyo chanzo ni mpendwa wenu trump..Tena sijui kwanini unaingiza siasa hapa eti unakasirika kuelezwa na "mwana kijani kibichi" Ungefurahi kuambiwa na nyumbu za upinzani?
 
Nugu, kae urathicwo ni ngoma? Tangu lini nyie wanakijani kibichi na uchawi wenu wote mkawa na concern yeyote kuhusu Kenya? Kawapumbaze watu wengine, hebu leta hizo nyuzi ambazo humo ndani wakenya walikuwa wanawacheka kwasababu ya ugaidi.
Hakuna aliesema mlikuwa mnacheka soma vizuri nilichoandika na upunguze kukurupuka ovyo,
Wewe hapo kulingana na reply yako ya kwanza unatutuhumu kuwa tunawacheka wakati uzi umefunguliwa hauna viashiria vyovyote vya kucheka chochote zaidi tu ya kutoa taarifa.

Ndio maana nikakuuliza hivi "kwa hiyo mwaka jana Tz ilipopewa security alert halafu mkaja kufungua nyuzi za kutoa taarifa mlitaka tuseme mlikuwa mnashangikia au kutucheka? "

Jimoda naleng?
 
Naam naona umeanza kurudisha rangi zako halisi sijui kwanini ulikuwa unajifanya mlokole wakati hirizi zako kiunoni zinakuwasha washa.

Tishio lolote ndani ya mipaka ya Kenya ni 'jurisdiction' ya Internal Security, DCI, ATPU(Anti-Terrorism Police Unit) na Kenya Police kwa ujumla.

Najua wenzao huwa wanaburuzwa ovyo ovyo wakabangue korosho na kuvamia forex. Kwahivyo hutaelewa chochote kuhusu sheria na katiba ya Kenya.
 
Kanunue mbuzi basi, awe tayari ndio maafa yakianza na damu ikimwagika usherehekee ukijivinjari na wali kwa nyama choma na kachumbari. Ndio kawaida yenu nyinyi wachawi na roho zenu nyeusi.
Wewe unataka ifanya hii mada iwe shari sasa
 
Hahahaha, sikulaumu kwasababu inaeleweka wazi kwamba uwezo wa wakenya wengi wa kufikiria ni mdogo sana, kwahiyo majeshi ya Ethiopia yanapovuka mpaka na kuwauwa wakenya na kurudi Ethiopia sio jukumu la KDF ni jukumu la polisi?, Hahaha Mungu saidia wakenya japo wawe na akili za kwendea chooni
 
Tushazoea maneno yao hata hapa tz kuna siku walisema hivyo hivyo haijatokea
 
Kwahivyo hayo madai yako kuhusu jeshi la Ethiopia na vita vyao na OLF(Oromo Liberation Front) ni sawa na hilo tishio la kigaidi ndani ya mipaka ya Kenya? Boss huwa unasoma ulichoandika kabla ya kupost? Una hangover kali za wanzuki au?
 
Typical Africans...afu "intelijensia" ya Tanzania itakaa kimya ikiona hiyo hatari ni ya Kenya pekee. Itaendelea kuzuia mikutano ya akina Sugu.
 
Kwahivyo hayo madai yako kuhusu jeshi la Ethiopia na vita vyao na OLF(Oromo Liberation Front) ni sawa na hilo tishio la kigaidi ndani ya mipaka ya Kenya? Boss huwa unasoma ulichoandika kabla ya kupost? Una hangover kali za wanzuki au?
Acha maneno mengi wewe, wenye kutekeleza mashambulizi ya kigaidi Kenya ni Alshabaab ambao huvuka mpaka toka Somalia na kuingia Kenya hata kama ni Wakenya lakini huenda Somalia kupata mafunzo kisha huingia Kenya, kwa ufupi Alshabaab ni adui anayevuka mipaka ya Kenya akiwa na silaha, ni jukumu la KDF kulinda mipaka ya Kenya.
 
Jombaa, mimi nakueleza facts, kama zilivyo, kisheria kulingana na katiba ya Kenya. Sio huu upupu ambao unatupia humu. Tishio hili la ndani ya mipaka ya Kenya watakaolishughulikia kama kawaida sio KDF. Bali ni vitengo vya usalama vya ndani, internal security.

Wakianza na ATPU ambalo ni kitengo cha Kenya Police pamoja na DCI na NIS kwenye intelligence. KDF labda counter-intelligence, yaani kufatilia chimbuko la tishio hili NJE ya mipaka ya Kenya iwe Somalia au nchi yeyote nyingine.
 

sometimes tunatafuta mchawi, kumbe tunaye.
 
Nimekuelewa ngaguyaai, ila usijaribu kunihadaa kwamba huu uzi upo hapa kwa nia yeyote nzuri. Toning'o?
 
Hujui lolote wewe unanipotezea ATP zangu bure, kazi yoyote ya jeshi la nchi yoyote duniani ni kulinda mipaka ya nchi, adui yoyote, hasa akiwa ni kundi maalumu linaloishi nje ya nchi na kuendesha uhalifu ndani ya nchi, jeshi ndio linahusika.

Kwanini M23, au makundi ya waasi huko mashariki mwa DRC, au Joseph Kony kule Uganda, au waasi wa Uganda waliokimbilia DRC wanashughulikiwa na Majeshi ya DRC sio polisi.

Uganda walifanikiwa kumtoa Joseph Kony na kurudisha amani kwa kutumia jeshi, pamoja na kwamba kundi la Joseph Kony lilikua ni kundi la ndani ya nchi na lilisababisha "internal insecurity". Hii tabia yenu ya kuficha udhahifu wenu nyuma ya kivuli cha katiba yenu ya hovyo ndio kunakoifanya Kenya kuzidi kusambaratika. Mbona KDF walikwenda pale WestGate, hiyo katiba ilikuwa wapi?

1)Uhuru akishindwa kupambana na rushwa, mnasema ni katiba haimruhusu
2)Mkishindwa kuzuia mashambulizi ya ugaidi mnasingizia katiba
3)Kambi za KDF zikishambuliwa na Alshabaab huko Somalia, mnasingizia katiba
Achane kusingizia katiba, ninyi ni wazembe na dhahifu sana
 
Nimekuelewa ngaguyaai, ila usijaribu kunihadaa kwamba huu uzi upo hapa kwa nia yeyote nzuri. Toning'o?
Mnajishtukia sana,
Kwa hiyo ina maana hata zile nyuzi mlizofungua kipindi kile Tz ilipopewa security alert hazikuwa na nia nzuri yoyote?
Imoda naleng.
 
joto la jiwe, Acha ubishi wa kitoto we jamaa, KDF hawawezi wakafanya operation yeyote ndani ya mipaka ya Kenya isipokuwa kupitia amri maalum ya CinC wao.

Tena lazima rais apate idhini ya bunge au kamati ya bunge ya defence kama ni kwa dharula. Mifano mizuri ni hiyo ya Westgate, Operation ya Boni forest na vita dhidi ya waasi wa SLDF kule Mt. Elgon. Sasa unaanza kunitajia DRC na Uganda, we vipi kwani umerogwa?
 
Ukitahadharishwa kwamba nyumba yako itavamiwa na majambazi unataka moaka uambiwe watapitia dirisha la jikoni? Usiwe unatoa comment nyepesi kiasi hiki otherwise kaa kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh wajiandae kiulinzi maana wakenya ni mlenda mlenda sana,Westgate tu walikesha siku kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…