pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Nugu, kae urathicwo ni ngoma? Tangu lini nyie wanakijani kibichi na uchawi wenu wote mkawa na concern yeyote kuhusu Kenya? Kawapumbaze watu wengine, hebu leta hizo nyuzi ambazo humo ndani wakenya walikuwa wanawacheka kwasababu ya ugaidi.Mleta uzi kaleta taarifa vizuri tu wala hakuna alipochekelea,
Kwa hiyo na sisi tuwaambie mlikuwa mnachekelea mwaka jana Tz ilipopewa security alert halafu mkafungua nyuzi humu,
Hivi huwa mnadhani kila Muda ni mshindano humu,
Tapala emodai grow up.