Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao


Marekani WANAWEZA sana kuleta ndege binafsi na kuchukua watu wao.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Marekani huu ugonjwa ulipoanza tu China, fasta yeye akawaondoa raia wake huko huku akiwakejeli wachina.

Sasa hivi goma linarandaranda mitaa ya washington kama kiama vile.

Mungu mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIdhani kama kuna nchi ambayo itaweza kupambana na huu ugonjwa kama china
 
only great thinkers
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoke haraka! Kutoka kwao ndio kupona kwetu. Ni kama vile Yona WA kwenye Biblia alivyoamua kutoka kwenye Merikebu na kujitupa baharini halafu dhoruba ikakoma ndivyo ambavyo Wamarekani wakitoka kwetu wakarudi kwao dhoruba ya corona virus itakoma. Kuna mifano hai: Walivyoondoa RAIA wa Marekani huko China, dhoruba ya corona virus huko china inaishia!!! Watoke haraka, hatukuwaita!!!! Na sisi hatuna haja ya kwenda kwao wanakoendeza ushoga!!!
 
Marekani mbona hawaeleweki usikute marekani corona haipo ni wanaidanganya dunia tu, pia usikute wamechunguza na kugundua corona tanzania itapamba moto hadi tukose pakujificha,
 
hata ungekua ww utabak katika nchi hii ya mficha maradhi??

subirini tutakavyoanza kudondoka kama kuku wa kideli
Marekani wanajitambua intelligence yao ipo juu nahisi corona itaweka kambi, na pia tanzania ni mficha maradhi kifo umuumbua
 
[emoji16][emoji16][emoji16]hao waliokuwepo huko kwao marekani wanashindwa kuwasaidia namba inapaa.
Haya hawa waliopo Tanzania ambao hata kuambukizwa corona hawajaambukizwa WATAWAWEZA?..
Wewe una wagonjwa 80,000 mwenzio ana wagonjwa 13.
wewe unajiona mzima ila mwenzio unamuona MGONJWA..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kwetu huwezi kupata maji ya moto ukaweka kipande cha limau ukanywa au ukala machungwa kwa wingi,sema wenzetu ni wavivu wa kula matunda!!!!
Nimesikia mitaani joto la jiwe linaua kolonavailas.
 
Mimi nilifikiri Tanzania kwa sasa ni sehemu sahihi kwao, maana USA Hali ni mbaya, kwa tahadhari hii inaonesha Tanzania sio sehemu salama kulinganisha na kwao kwenye vifo[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Corona haipo Marekani?? Are serious mkuu? Mpaka sasa wameipiku China kwa visa vingi.

Na kuna vifo zaidi ya 1000 wewe unasema corona haipo Marekani, au ndo wazee wa conspiracy theories.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila swali la kujiuliza ni kwamba,kwao kuna maambukizi zaidi,lakini kwanini bado wanataka watu warudi makwao ?
Jibu lako hili hapo chini toka kwa mkuu
 
Hii evacuation ikitokea, je Raia na wenye greencard watalipiwa free airline tickets?
 
Hivi mkuu hujui kwamba WHO na USA au UNO ni wadudu ambao ni ndugu wa Damu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda wa kuishangaa Marekani unawadia, hamtaamini macho na masikio yenu, sitasema zaidi, tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…