hjayhals
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 768
- 559
Wanachofanya ni kuzuia lawama watu wao wakihitaji evacuation, maana imebaki ndege moja tu! Hawataweza kuja kuwafanyia evacuation plan (kuwaletea ndege binafsi) ili iwaondoe, so wanawakumbusha kama ni kuondoka waondoke
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani WANAWEZA sana kuleta ndege binafsi na kuchukua watu wao.