Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Wanachofanya ni kuzuia lawama watu wao wakihitaji evacuation, maana imebaki ndege moja tu! Hawataweza kuja kuwafanyia evacuation plan (kuwaletea ndege binafsi) ili iwaondoe, so wanawakumbusha kama ni kuondoka waondoke

Sent using Jamii Forums mobile app

Marekani WANAWEZA sana kuleta ndege binafsi na kuchukua watu wao.
 
Hivi upstair kwako kuko vizuri kweli?
Marekani ndio inaongoza kwa kuwa na case nyingi sasa hivi.

Nikupe ukweli:
Marekani anaona Serikali yetu haipo serious.
Inadanganya data na hakuna step yoyote inayochukuliwa.
Kwa hio wameshaona kuwa hili dude litakuja kuua watu hapa hadi kila mtu atashangaa
[emoji3][emoji3][emoji3]Marekani huu ugonjwa ulipoanza tu China, fasta yeye akawaondoa raia wake huko huku akiwakejeli wachina.

Sasa hivi goma linarandaranda mitaa ya washington kama kiama vile.

Mungu mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Marekani huu ugonjwa ulipoanza tu China, fasta yeye akawaondoa raia wake huko huku akiwakejeli wachina.

Sasa hivi goma linarandaranda mitaa ya washington kama kiama vile.

Mungu mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
SIdhani kama kuna nchi ambayo itaweza kupambana na huu ugonjwa kama china
 
only great thinkers
Wamesisitiza Kabisa kuwa Must return to US now. Na hii wameitangaza leo ila walishaanza kuwalazimisha raia wake waondoke Tanzania. Huu ugonjwa ni hatari halafu imagine uupate ukiwa Tanzania where our medical system is very poor. Hata kama ni mimi nina option ya kuondoka I will surely do so.

Something is not right somewhere.... Only great thinkers can understand.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoke haraka! Kutoka kwao ndio kupona kwetu. Ni kama vile Yona WA kwenye Biblia alivyoamua kutoka kwenye Merikebu na kujitupa baharini halafu dhoruba ikakoma ndivyo ambavyo Wamarekani wakitoka kwetu wakarudi kwao dhoruba ya corona virus itakoma. Kuna mifano hai: Walivyoondoa RAIA wa Marekani huko China, dhoruba ya corona virus huko china inaishia!!! Watoke haraka, hatukuwaita!!!! Na sisi hatuna haja ya kwenda kwao wanakoendeza ushoga!!!
 
Marekani mbona hawaeleweki usikute marekani corona haipo ni wanaidanganya dunia tu, pia usikute wamechunguza na kugundua corona tanzania itapamba moto hadi tukose pakujificha,
 
hata ungekua ww utabak katika nchi hii ya mficha maradhi??

subirini tutakavyoanza kudondoka kama kuku wa kideli
Marekani wanajitambua intelligence yao ipo juu nahisi corona itaweka kambi, na pia tanzania ni mficha maradhi kifo umuumbua
 
[emoji16][emoji16][emoji16]hao waliokuwepo huko kwao marekani wanashindwa kuwasaidia namba inapaa.
Haya hawa waliopo Tanzania ambao hata kuambukizwa corona hawajaambukizwa WATAWAWEZA?..
Wewe una wagonjwa 80,000 mwenzio ana wagonjwa 13.
wewe unajiona mzima ila mwenzio unamuona MGONJWA..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
akili zingine za kijinga sana. Marekani haisemi kwamba kwao hakuna Corona. Wanachosema watu wao warudi kwao ambako itakuwa rahisi kuwahudumia.

wanaogopa mipaka ikifungwa na hali ikawa mbaya kwao wakiwa Tanzania itakuwa mgumu kuwasaidia.

wakati wa majanga unataka familia yako irudi nyumbani kwako ambako unaweza kuwasaidia.

Hivyo ndivyo nchi zinazojali watu wake hufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kwetu huwezi kupata maji ya moto ukaweka kipande cha limau ukanywa au ukala machungwa kwa wingi,sema wenzetu ni wavivu wa kula matunda!!!!
Nimesikia mitaani joto la jiwe linaua kolonavailas.
 
Mimi nilifikiri Tanzania kwa sasa ni sehemu sahihi kwao, maana USA Hali ni mbaya, kwa tahadhari hii inaonesha Tanzania sio sehemu salama kulinganisha na kwao kwenye vifo[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Corona haipo Marekani?? Are serious mkuu? Mpaka sasa wameipiku China kwa visa vingi.

Na kuna vifo zaidi ya 1000 wewe unasema corona haipo Marekani, au ndo wazee wa conspiracy theories.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila swali la kujiuliza ni kwamba,kwao kuna maambukizi zaidi,lakini kwanini bado wanataka watu warudi makwao ?
Jibu lako hili hapo chini toka kwa mkuu
akili zingine za kijinga sana. Marekani haisemi kwamba kwao hakuna Corona. Wanachosema watu wao warudi kwao ambako itakuwa rahisi kuwahudumia.

wanaogopa mipaka ikifungwa na hali ikawa mbaya kwao wakiwa Tanzania itakuwa mgumu kuwasaidia.

wakati wa majanga unataka familia yako irudi nyumbani kwako ambako unaweza kuwasaidia.

Hivyo ndivyo nchi zinazojali watu wake hufanya.
 
Hii evacuation ikitokea, je Raia na wenye greencard watalipiwa free airline tickets?
 
Hivi mkuu hujui kwamba WHO na USA au UNO ni wadudu ambao ni ndugu wa Damu?
Yaani WHO, dunia inatangaza kila siku halafu anatokea mtu mmoja kutoka Tanzania anakubali Corona haipo Marekani, acheni kusujudia watu kila saa kwenye kila kitu mzee, tuliza akili.

Au taarifa zinazotolewa na Trump mwenyewe kuhusu hali ya Corona nchini mwake huwa hauzisikii, basi tufanye ile siyo Corona bali ni homa ya Dengue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda wa kuishangaa Marekani unawadia, hamtaamini macho na masikio yenu, sitasema zaidi, tusubiri
 
Back
Top Bottom