kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Nchi inajali maisha ya watu wake!! Kunaviongozi watu wafe wasife wao freshi tuu kila MTU apambane nahali yake alimradi anafaidi mema ya nchi haimsumbui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There are more continents than Africa to render my example relevant...ie USA*3=Africa...USA ukubwa wake ni kama 30% ya ukubwa wa Afrika. (USA 9.834 milliom KM squared na Afrika 30.37 million Km squared.
Salama Zaid wakibaki Tz labda tu wanaogopa gharama za kusafirisha maitiHuu ni uthibitisho tosha kuwa corona Marekani haipo, au uenda kuendelea kubaki Tanzania ni hatari zaidi ya kuwa na ugonjwa huu ukiwa united state of american
Zanzibar hapo kuna wazungu wameona bora wakae kwanza zanzibar kuliko kurudi makwao ambako kuna corona.akili zingine za kijinga sana. Marekani haisemi kwamba kwao hakuna Corona. Wanachosema watu wao warudi kwao ambako itakuwa rahisi kuwahudumia.
wanaogopa mipaka ikifungwa na hali ikawa mbaya kwao wakiwa Tanzania itakuwa mgumu kuwasaidia.
wakati wa majanga unataka familia yako irudi nyumbani kwako ambako unaweza kuwasaidia.
Hivyo ndivyo nchi zinazojali watu wake hufanya.
Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa Raia wa kigeni wameambiwa kuwa waondoke kwani Balozi zao hazitawasaidi wakibakia huku.Wanakimbia wakati tuna wagonjwa 13 tuu hahaha au balozi hajasoma kwao namba zinaendaje hahaha waende tuu watuache
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuondoka kwao ni zaidi ya corona hawa watu kuna namna sii bure serikal naomba muwe makiniUbalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19
Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia
Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho
Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300
Mnazungumza tu; nani kakuambia... ukiwa na hela ndio, ukiwa na bima ndio.. lakini ugonjwa huu umefungua udhaifu mkubwa wa mfumo wa afya wa Marekani...
Niliwahi kufanya kazi na volunteer mmoja toka Marekani miaka ya mwanzoni mwa 2000 kwenye moja ya wilaya za Mwanza kipindi cha after September, 11. Kila siku Overseas Office walikuwa wanampigia simu kumuuliza kama yuko salama. Na walikuwa wanamshawishi kila siku arudi Marekani wakimwambia ndio sehemu salama zaidi kwake kuishi kuliko sehemu nyingine yoyote duniani. Na yule Mmarekani (Sitamtaja jina) alikuwa akitwambia kwamba sio yeye tu aliyekuwa anapigiwa simu, bali Waamerika wote walio nje ya Marekani. Kwahiyo, sishangai kama wanafanya hivyo sasa. Wenye kulijua hili watakubaliana nami.Wamesisitiza Kabisa kuwa Must return to US now. Na hii wameitangaza leo ila walishaanza kuwalazimisha raia wake waondoke Tanzania. Huu ugonjwa ni hatari halafu imagine uupate ukiwa Tanzania where our medical system is very poor. Hata kama ni mimi nina option ya kuondoka I will surely do so.
Something is not right somewhere.... Only great thinkers can understand.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Eti official. Teh teh
Kalagabaho kusoma hujui hatapicha zero
Acha maneno ya kwenye khanga.Tupe zako sasa ama ulizofanya sensa ukagundua wangapi wagonjwa.
Kwa taarifa tu:Wamesisitiza Kabisa kuwa Must return to US now. Na hii wameitangaza leo ila walishaanza kuwalazimisha raia wake waondoke Tanzania. Huu ugonjwa ni hatari halafu imagine uupate ukiwa Tanzania where our medical system is very poor. Hata kama ni mimi nina option ya kuondoka I will surely do so.
Something is not right somewhere.... Only great thinkers can understand.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe ndo unayo hayo ya kwenye kanga, huna takwimu, huna picha za wagonjwa, huna picha waliokufa, bado upo tu umekomaa unakataa serikali wanachokuambia eti serikali wanafanya assumptions.Acha maneno ya kwenye khanga.
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19
Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia
Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho
Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300
verified IDs wote huwa hamna la maana la kuandika humu.Yaani WHO, dunia inatangaza kila siku halafu anatokea mtu mmoja kutoka Tanzania anakubali Corona haipo Marekani, acheni kusujudia watu kila saa kwenye kila kitu mzee, tuliza akili.
Au taarifa zinazotolewa na Trump mwenyewe kuhusu hali ya Corona nchini mwake huwa hauzisikii, basi tufanye ile siyo Corona bali ni homa ya Dengue
Hawa vipi!!!! Unawatoa watu Mahali salama unawapeleka kwenye maambukizi lukuki!!!!!Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19
Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia
Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho
Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300