Ubalozi wa Marekani: Mauaji ya Ali Kibao na vitendo vingine vya kikatili havipaswi kupewa nafasi katika demokrasia

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.



Pia soma:
 
Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao.

Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia.

Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania.

Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.

 
Samia genge la Bashite,mabaki ya tangu Dikteta Uchwara yatajuchafua sana bahati mbaya sidhani unajua la kufanya.
 
Danganya toto kuwatuliza watanzania hakuna lolote happ
 

KUNA SIKU NIPO KWENYE BUS NATOKA MKOA X NAENDA MKOA Y KAPANDA KIJANA KAVAA FULANA NYEUSI IMECHAPWA MANENO YANAYOSOMEKA "OPERATION TOKOMEZA WAHUNI 2024/25" NA NEMBO ZA KI-SERIKALI MWENYE KUJUA HII OPERATION ANISAIDIE NAMIMI NIIFAHAMU
 
Hatua nzuri...baada ya hatua hiyo wananchi wanaomba taifa la Marekani kuwawekea vikwazo Bichwa Tofali na Saa 100 'washukiwa category A'*.

*Kwa maana Policcm iko chini yao
 
Siku akitekwa (ABDUL) ndo akili za bi ushungi ataelewa Radha ya kutekwa inavyokuwa tamu πŸ€”πŸ€”πŸ€”
True, siku hiyo ndiyo atajua machungu ya ndugu au wazazi wengine wanayopata kwa vipenzi vyao kufanyiwa ushetani kama wa Sativa, Soka, Kiboa, nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…