Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nitajie mtoto wa Mbunge, DC, RC,DED, RAS, CEO, Waziri, ambaye amewahi kutekwa?Hata Magufuli alikuwa analindwa bkiko wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie mtoto wa Mbunge, DC, RC,DED, RAS, CEO, Waziri, ambaye amewahi kutekwa?Hata Magufuli alikuwa analindwa bkiko wapi??
Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Mbona kwao wanauana sana?? Huko haya matukio yana nafasi??Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
😀😀😀😀Bado tamko la rafiki zetu China
Tuhakikishie ubatili wake.Hiyo ni tovuti feki ya US Embassy. Mods futeni huu uzi.
Taifa ombaomba lolote huagizwa.Hupendi?🤔Wameagiza?
JitathiminiHiyo ni tovuti feki ya US Embassy. Mods futeni huu uzi.
Si huwa mnakula pesa zao, unashangaa kuagizwa?Wameagiza?
Wewe ni zwazwa
View: https://x.com/usembassytz/status/1833100788593201316
![]()
Tanzania: US urges probe after opposition figure is killed – DW – 09/09/2024
Tanzania's president has pledged an investigation and issued an apology, after a senior opposition member was kidnapped from a bus and found dead. His party alleges clear signs of torture, such as acid burns to the face.www.dw.com
![]()
US Demands Probe into Killing of Tanzanian Opposition Leader
The U.S has called for an independent, transparent, and prompt investigation into the abduction and murder of Tanzanian opposition figure Ali Mohamed Kibao.newscentral.africa
Ni kweli kabsa wako urusi wanauza silaa lkn hata ukraini akitaka wanamuuzia.Wachina wao sera yao hairuhusu kudeal na mambo mengine ya nchi nyingine, wakija kwako wanataka biashara tu mengine utajijua
Hao ni kuzoa raslimali zetu bure na kuhonga mafisadi walio madarakaniBado tamko la rafiki zetu China
Hii ni vita sisi wan UVCCM tunataja balazi afukuzweMarekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.
Pia soma:
Je kuna mzanzibar amewahi kutekwa?Nitajie mtoto wa Mbunge, DC, RC,DED, RAS, CEO, Waziri, ambaye amewahi kutekwa?
Hakuna hata mmojaJe kuna mzanzibar amewahi kutekwa?