Ubalozi wa Marekani: Mauaji ya Ali Kibao na vitendo vingine vya kikatili havipaswi kupewa nafasi katika demokrasia

Ubalozi wa Marekani: Mauaji ya Ali Kibao na vitendo vingine vya kikatili havipaswi kupewa nafasi katika demokrasia

Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.


Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Wadau wa maendeleo tayari wanatoa matamko, tusubiri nani ataunganishwa katika buku jeusi kuuangana na Paul C Makonda kuwa ni watu wanaotishia haki ya uhai wa watu.
 
Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.


Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Mbona kwao wanauana sana?? Huko haya matukio yana nafasi??
 
Wewe ni zwazwa


View: https://x.com/usembassytz/status/1833100788593201316



That fella is a Great Fool of all times!
 
Wachina wao sera yao hairuhusu kudeal na mambo mengine ya nchi nyingine, wakija kwako wanataka biashara tu mengine utajijua
Ni kweli kabsa wako urusi wanauza silaa lkn hata ukraini akitaka wanamuuzia.
 
Kipanya Masood katika cartoon yake ya leo, amechora mwelekeo wa matendo ya utekaji na mauji ya kikatili yanapoelekeza serikali ya Samia na CCM! Samia anapaswa kurejea pale mwanzo wa utawala wake, alipoahidi hata kama kuna wasi wana CCm watakaoifaa serikali yake yupo radhi kufanya kazi nao.
 
Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.


Pia soma:
Hii ni vita sisi wan UVCCM tunataja balazi afukuzwe

Hii ni nchi huru
 
Back
Top Bottom