Kuna kikundi cha watu wachacheHalafu?
Kwan n mara yao ya kwanza kutoa matamko hayo?
Ukicheki Kwa mtizamo huo...!Matamko kama haya hayana tija Kwa wahanga bali ni kuhalalisha kwamba tukio ni la kawaida!
Marekani yenyewe inaua sana raia Duniani Tena waio na hatia!ww umejuaje? kwani ww ndio msemaji wa wahanga?
China ni rafiki wa CCM hivyo hawawe,i kutoa tamko, wao husema hawakijui Kiswahili pia Kiingereza hawakijui hivyo hawawezi kutoa tamko kwa Kichina.Bado tamko la rafiki zetu China
Kweli serikali ya Samia imekuwa maharamia wabaya sana.Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
China kuua siyo issueChina ni rafiki wa CCM hivyo hawawe,i kutoa tamko, wao husema hawakijui Kiswahili pia Kiingereza hawakijui hivyo hawawezi kutoa tamko kwa Kichina.
Yeye ukoo wake unalindwaSiku akitekwa (ABDUL) ndo akili za bi ushungi ataelewa Radha ya kutekwa inavyokuwa tamu 🤔🤔🤔
Huu ubalozi nao ujitahidi kutoa matamko na huko palestina!Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Tukio linaweka msimamo wa nchi wazi na kwenye rekodi na linaweza kutumiwa katika harakati.Matamko kama haya hayana tija Kwa wahanga bali ni kuhalalisha kwamba tukio ni la kawaida!
Hakuna jipyaMarekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Marekani yenyewe inaua sana raia Duniani Tena waio na hatia!
Tunaaminije kwamba wao ni kimbilio!!?k
The Embassy of embassies and high commissions!USA Embassy.....
Hata Magufuli alikuwa analindwa bkiko wapi??Yeye ukoo wake unalindwa
Usitegemee hilo kutoka kwa wachina, hao ni money firstBado tamko la rafiki zetu China
Hawa sio wamarekani tunaowajua. Kuna namna.Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana