Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania: Uwezekano wa kupata Corona Dar ni mkubwa

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania: Uwezekano wa kupata Corona Dar ni mkubwa

Huku Zanzibar wapo kibao na walitangaziwa mda wa mwisho wa kuingia ndege Ila wakabana tu , asikwambie mtu bongo kutamu na Kuna matumaini kuliko huko ulaya
Kwani bado kuna wamarekani wapo bongo? Jana kariakoo nimemuona mzungu kavaa mask yuko busy tu anaingia huku anatokea kule nikashangaa huyu mzungu haogopi corona ya Dar alitakiwa ajifungie ndani au awe amekwishaondoka kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bora waondoke kwao.
Kule marekani hakuna corona
Kesho 14-05-2020 kuna ndege ya kukodi EMIRATES inakuja kukomboa wamarekani waliokuwa wamebaki, wanajua idadi ni kubwa ya kutisha, wameamua kukimbia na kuacha kila kitu chao , bora kufia hospitali marekani kuliko mapokezi mwananyamala, maana hapo unaona wanasema hata wagonjwa hawapokelewi, unaachwa ujifie tu na tena wanakwambie kanywe pilipili kichaa na mirungi ndio daawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bora waondoke kwao.
Kule marekani hakuna corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu yako ya UPE na maharage yalichanganywa na mafuta ya taa ndiyo yanakufanay uwe hivi, tunakusamehe.
USA ni muunganiko wa majimbo 54 na katika hayo kila moja na serikali yake na bunge lake, lakini kuna bunge kuu.
NEW YORK na majimbo machache ndiyo yanaongoza kwa CORONA lakini si kila jimbo, TANZANIA tuna corona nyingi kuliko majimbo mengi ya USA.
Wapo salama na wana hospitali, hapa ukipata korona unawekwa kwenye hema, nje unapigwa na baridi, hakuna chakula, maiti kila uchao zinakupita na unakufa kwa hofu.
Katawadhe siku nyingine kabla ya kujibu threads za kisomi
 
Huku Zanzibar wapo kibao na walitangaziwa mda wa mwisho wa kuingia ndege Ila wakabana tu , asikwambie mtu bongo kutamu na Kuna matumaini kuliko huko ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hapo sasa wazungu wenyewe ambao nini kinachoendelea kwao wameona bora wakae bongo kwanza ndio salama ila mbongo anakwambia et bora ukafe na corona ulaya.
 
Tanzania tuna corona nyingi kuliko majimbo ya marekani.
Unawaza kwa kutumia makalio.
Elimu yako ya UPE na maharage yalichanganywa na mafuta ya taa ndiyo yanakufanay uwe hivi, tunakusamehe.
USA ni muunganiko wa majimbo 54 na katika hayo kila moja na serikali yake na bunge lake, lakini kuna bunge kuu.
NEW YORK na majimbo machache ndiyo yanaongoza kwa CORONA lakini si kila jimbo, TANZANIA tuna corona nyingi kuliko majimbo mengi ya USA.
Wapo salama na wana hospitali, hapa ukipata korona unawekwa kwenye hema, nje unapigwa na baridi, hakuna chakula, maiti kila uchao zinakupita na unakufa kwa hofu.
Katawadhe siku nyingine kabla ya kujibu threads za kisomi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utafikiri huko kwao corona haipo kabisa
Ni hapo ambapo wamarekani wanaonesha kweli ni mabeberu. Wanataka tufanye kama wao wakati wanayoyafanya hayajawasaidia kujikomboa na janga. Wanahubiri demokrasia wakati kwao hakuna demokrasia.
Wanahubiri uhuru wa vyombo vya habari, Trump anazira kuzungumza na waandishi wa habari kisa maswali ya kale kadada.
Kufeni mpungue kama mnavyotupunguza waafrika.
 
Kwani wewe shida yako nini asaa?.
Unawashwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam, nawashwa na ubongo kuona wabunge 6 wa CCM wana korona na hatuambiwi.
Nawashwa kuona Ndege ya Rwanda inakuja kubeba samaki mwanza na kuacha ndege za tanzania zzikibeba miti shamba na waganga wa jadi kupeleka chato kumfukiza mzee baba.
Nawashwa kuona kibri cha uzima cha mkuu kikimtokea puani baada ya mabeberu kugoma ujenzi wa stigla.
Nawaza sana, wewe vipi? mkeo kakuachia hela ya mboga yakhe?
 
Kwani watu wakiambukizwa na wakifa na corona wewe unaumia?.
badala ya kupiga kelele na kurumbana na watu.
Ungefanya mambo ya maana.
angalia maisha yako kwanza ya wenzio achana nayo.
Naam, nawashwa na ubongo kuona wabunge 6 wa CCM wana korona na hatuambiwi.
Nawashwa kuona Ndege ya Rwanda inakuja kubeba samaki mwanza na kuacha ndege za tanzania zzikibeba miti shamba na waganga wa jadi kupeleka chato kumfukiza mzee baba.
Nawashwa kuona kibri cha uzima cha mkuu kikimtokea puani baada ya mabeberu kugoma ujenzi wa stigla.
Nawaza sana, wewe vipi? mkeo kakuachia hela ya mboga yakhe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani watu wakiambukizwa na wakifa na corona wewe unaumia?.
badala ya kupiga kelele na kurumbana na watu.
Ungefanya mambo ya maana.
angalia maisha yako kwanza ya wenzio achana nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siumii ila kwakuwa mimi ni msimamizi wa sheria , nakusikitikia wewe na mbulula wenzako, Nyerere angeangalia maisa yake leo nyie watu wa Tabora bado mngekuwa mnafua chupi ya sultan Baraghash
 
jitahidi kuheshimu mawazo ya mtu hata kama unayaona ni pumba kwako.
Ndo maana katika maisha kuna +ve na -ve.
Hatuwezi wote tukawa upande mmoja.
Ndo maana mungu alipowaambia malaika wamsujudie Adam ibilisi alikataa.
ALIKUWA SAHIHI KWA UPANDE WAKE.
Kwa kama unaona upande wako ni sahihi usilazimishe kila mtu aone hivyo.
Na wala kutofautiana kimsimamo isiwe sababu YA kutukanana na kuonana ni machizi au wapumbavu.
Sisi ni watu wazima tuna akili zetu na mitazamo yetu isiyofanana.
Siumii ila kwakuwa mimi ni msimamizi wa sheria , nakusikitikia wewe na mbulula wenzako, Nyerere angeangalia maisa yake leo nyie watu wa Tabora bado mngekuwa mnafua chupi ya sultan Baraghash

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipo levels nne, yaani kuanzia level-1 hadi level-4, hiyo hapo level-4 ndio nyekundu na ya mwisho, hutolewa kwa nchi ambayo hali ni hovyoo kabisa, na ndio mliyowekewa. Hawajatoa level-4 kwa taifa lingine lolote duniani hata China kule kirusi kilianzia.

kwa hiyo sisi ndo tunahali mbaya zaidi
 
kwa hiyo sisi ndo tunahali mbaya zaidi

Hawaangalii idadi ya vifo au maambukizi, ila wanazingatia hatua zinazochukuliwa na mamlaka husika, kwa mfano Tanzania haifahamiki nini kinaendelea huko, ni kiza tupu, hamna taarifa zozote, kila kitu ni tetesi, watu wanatupia mapicha na video za majanga maana serikali imegoma haitofanya chochote.
 
Back
Top Bottom