Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania waagiza takwimu za wagonjwa wa korona na chanjo vitolewe

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania waagiza takwimu za wagonjwa wa korona na chanjo vitolewe

Tutamfikiria ombi lake,😃😃,kwakua ameomba kwa busara...
 
Tuchanjwe wa mwisho. Wakimaliza wooote tukaona haina shida.
 
Kuna comment nyingine ukizisoma ni ngumu kuelewa alichoandika Kama mfupa wa mbwa usivyotafunika aiseeee. Yaani akili za wabongo ni umbea tuu sijui kwa vile wanakesha mabaa.
Ila kuna wanaofurahia hivi vifo sijui wanatarajia nini.

Nakumbuka kuna mwaka kwa ilikuja chanjo ya watt watu hawahawa walikuwa wanasema hiyo chanjo ni ya kuzuia watoto wa Kike kuzaaa. Mbona walichanjwa na wanazaa. Wapenda madaraka acheni kuidhalilisha Tanzania mbele ya dunia.
 
Ambassador to Tanzania. I want to talk to you about COVID-19, and how we can work together to prevent its spread and help all of us stay safe.

Since the start of the Covid-19 pandemic, almost two and a half million people have died of the disease. The loss is staggering, and no country has been untouched. In my own country, the United States of America, we have lost over 500,000 of our fellow citizens. To further complicate things, new variants of the virus have caused another more intense wave of infections across the world, including the African continent. It has become clear that the virus variant has arrived in Tanzania, also. I’ve been encouraged by recent statements from the Ministry of Health acknowledging COVID-19 as a public health priority in Tanzania and urging citizens to take basic precautions: such as avoiding crowds, wearing masks, and social distancing. This is good advice and I urge everyone to follow it.

In addition to implementing basic precautions to prevent the spread of COVID-19, there are at least two other important tools that are critical to controlling this pandemic.

First, in order to know if response measures are having the intended impact, it is critical to collect and report information about testing and cases. That’s why it is so important for all governments to share accurate and timely information about the number of cases in their countries to the World Health Organization. Sharing this information reassures citizens that their governments are fighting to protect their health and their livelihoods. Furthermore, such reporting allows researchers and scientists to better track the disease and prevent unnecessary deaths – both nationally and regionally.

The second tool is vaccines. As our new Secretary of State Tony Blinken stated, ā€œUntil everyone in the world is vaccinated, then no-one is really fully safe.ā€ Vaccines have helped eradicate some of the worst diseases on earth, and there is no doubt that a mass immunization campaign will save lives. Just look at the numbers in the US; in the past couple of weeks, as millions of vaccinations have been given, the numbers of new Covid-19 cases, hospitalizations, and deaths have started to fall. I urge the Government of Tanzania to convene its health experts and review the evidence on vaccines.

As the world’s largest health and humanitarian donor, the United States continues to lead the global response to the Covid-19 pandemic, contributing more than $1.5 billion to COVID-19 mitigation efforts worldwide and pledging $4 billion to speed global distribution of vaccines. Here in Tanzania, we dedicated $16.4 million to mitigate the COVID-19 pandemic since the first confirmed case was diagnosed in March of 2020. The United States stands ready to ramp up our efforts and we are committed to working side by side with Tanzania to defeat Covid-19.

I will close this message on a personal note. I am a doctor by profession. Before being named Ambassador to Tanzania, I spent over 30 years working in the public health sector. I can promise you that the public health measures I’ve been speaking about WORK. They will save lives if they are adopted. I urge all Tanzanians to join now in supporting these measures so that we can protect each other and the ones we love.

Asenteni sana
Hatukawii kumuita BEBERU!
 
wa
Typical Uncle SAM's inept arrogance!! USA has failed miserably to contain COVID-19 pandemic - here they are in their vain effort trying to give some lessons to Tanzania Govt on how we should deal/Contain COVID-19 virus infection.

The only NATION in the World that has succeeded to tame COVID-19 is China - USA should borrow a leaf from them Chinese instead of demonising them or telling Tanzania what we should or shouldn't do.
Walikuwa na Rais kichaka kama yule wa kale ka nchi hakutaka ushauri,hakutaka kulitambua na kulikabiri bomu hadi lilipomlipukia mkononi,adhabu yake unaijua wamemfanya nini. kwa sasa wanaenda vizuri imeanza kushuka baada ya mkaidi kufurushwa,ila sisi ka hela kao tunachukua ila tunakapeleka kwenye mambo mengine COVID 19 hapa kwetu haipo,au tumebadiri msimamo?
 
Ambassador to Tanzania. I want to talk to you about COVID-19, and how we can work together to prevent its spread and help all of us stay safe.

Since the start of the Covid-19 pandemic, almost two and a half million people have died of the disease. The loss is staggering, and no country has been untouched. In my own country, the United States of America, we have lost over 500,000 of our fellow citizens. To further complicate things, new variants of the virus have caused another more intense wave of infections across the world, including the African continent. It has become clear that the virus variant has arrived in Tanzania, also. I’ve been encouraged by recent statements from the Ministry of Health acknowledging COVID-19 as a public health priority in Tanzania and urging citizens to take basic precautions: such as avoiding crowds, wearing masks, and social distancing. This is good advice and I urge everyone to follow it.

In addition to implementing basic precautions to prevent the spread of COVID-19, there are at least two other important tools that are critical to controlling this pandemic.

First, in order to know if response measures are having the intended impact, it is critical to collect and report information about testing and cases. That’s why it is so important for all governments to share accurate and timely information about the number of cases in their countries to the World Health Organization. Sharing this information reassures citizens that their governments are fighting to protect their health and their livelihoods. Furthermore, such reporting allows researchers and scientists to better track the disease and prevent unnecessary deaths – both nationally and regionally.

The second tool is vaccines. As our new Secretary of State Tony Blinken stated, ā€œUntil everyone in the world is vaccinated, then no-one is really fully safe.ā€ Vaccines have helped eradicate some of the worst diseases on earth, and there is no doubt that a mass immunization campaign will save lives. Just look at the numbers in the US; in the past couple of weeks, as millions of vaccinations have been given, the numbers of new Covid-19 cases, hospitalizations, and deaths have started to fall. I urge the Government of Tanzania to convene its health experts and review the evidence on vaccines.

As the world’s largest health and humanitarian donor, the United States continues to lead the global response to the Covid-19 pandemic, contributing more than $1.5 billion to COVID-19 mitigation efforts worldwide and pledging $4 billion to speed global distribution of vaccines. Here in Tanzania, we dedicated $16.4 million to mitigate the COVID-19 pandemic since the first confirmed case was diagnosed in March of 2020. The United States stands ready to ramp up our efforts and we are committed to working side by side with Tanzania to defeat Covid-19.

I will close this message on a personal note. I am a doctor by profession. Before being named Ambassador to Tanzania, I spent over 30 years working in the public health sector. I can promise you that the public health measures I’ve been speaking about WORK. They will save lives if they are adopted. I urge all Tanzanians to join now in supporting these measures so that we can protect each other and the ones we love.

Asenteni sana
Kuagiza na kuomba ni vitu viwili tofauti.
Mind sisi hatutawaliwi na mtu yeyote au taifa la nje
 
Viongozi wa Tanzania, wanatakiwa kushirikiana na Dunia. Hata kama unasema una njia zako zinazotibu Covid 19, unatakiwa uishawishi Dunia, na Dunia ithibitishe.

We are acting primitively by not cooperating with globe community.
US na UK walivyo hamia Irak walishirikiana na Dunia na kuna mambo mengi tu , hata vita vya kibiashara na Russia , China na Nchi za Kiafrika , je wana act in a modern way au primitively
 
wanajiepusha na lawama ya mbeleni kwamba kwanini walikuwa wakiona na hawakusema?
Lawama gani sasa? Si watibu watu wao sisi tunawahusu nini...hivi hamjajiongeza tu kua hii ni biashara? Nani anaumwa Corona huku mtaani?
 
Viongozi wa Tanzania, wanatakiwa kushirikiana na Dunia. Hata kama unasema una njia zako zinazotibu Covid 19, unatakiwa uishawishi Dunia, na Dunia ithibitishe.

We are acting primitively by not cooperating with globe community.
Lini Marekani na wenzie waliwahi kuja hapa kutafuta ushirikiano wa kweli zaidi ya kuja kupora? Acheni upuuzi
 
Kuna comment nyingine ukizisoma ni ngumu kuelewa alichoandika Kama mfupa wa mbwa usivyotafunika aiseeee. Yaani akili za wabongo ni umbea tuu sijui kwa vile wanakesha mabaa.
Ila kuna wanaofurahia hivi vifo sijui wanatarajia nini.

Nakumbuka kuna mwaka kwa ilikuja chanjo ya watt watu hawahawa walikuwa wanasema hiyo chanjo ni ya kuzuia watoto wa Kike kuzaaa. Mbona walichanjwa na wanazaa. Wapenda madaraka acheni kuidhalilisha Tanzania mbele ya dunia.
Mkuu kuna watu wana mentality ya uganba wa kienyeji.
Wamekulia hivyo na hata wakisoma hawabadiliki.
Ni imani kuwa dawa za maabara si bora kuliko kule kwa Kalimanzira!

Huyu Balozi ni Daktari, abashangazwa na haielewi tabia hiyo.
Maya zaidi tuna Waziri na Katibu Mkuu ambao ni madaktari lakini wanapuyanga katika tatizo hili utafikiri hawakwenda shule.
 
Lini Marekani na wenzie waliwahi kuja hapa kutafuta ushirikiano wa kweli zaidi ya kuja kupora? Acheni upuuzi
Ujinga nao ni sifa.
Mmesha sahau $700million zilizoingizwa hapa nchini wakati wa Millenium Goals Projects.
 
The Gwajimas, Nchembes should take note.
The US Ambassador who is a medical Doctor surely knows what he is talking about.

The larger Tanzania population agrees with this statement.
Problem is, there are people probably benefiting from the desease and would prefer it remains that way.

Franlky we dont understand why science is not allowed to work.

Hata Kiswahili ni lugha pia, ya nini kujilazimisha kuandika kimalikia?
 
Kuna comment nyingine ukizisoma ni ngumu kuelewa alichoandika Kama mfupa wa mbwa usivyotafunika aiseeee. Yaani akili za wabongo ni umbea tuu sijui kwa vile wanakesha mabaa.
Ila kuna wanaofurahia hivi vifo sijui wanatarajia nini.

Nakumbuka kuna mwaka kwa ilikuja chanjo ya watt watu hawahawa walikuwa wanasema hiyo chanjo ni ya kuzuia watoto wa Kike kuzaaa. Mbona walichanjwa na wanazaa. Wapenda madaraka acheni kuidhalilisha Tanzania mbele ya dunia.

Mtazamo wako kwa wabongo ni wa kipumbavu. By the way Tanzania haijakataa chanjo, tukilazimika kutumia chanjo ni mpaka pale Wizara ya Afya ikijiridhisha kuwa hazina madhara.
Kitu kingine baadhi ya chanjo kuwa na madhara kwa watumiaji sio kitu kipya, kwa hiyo Watanzania kuwa na hofu ndo akili kubwa hiyo, hofu inatoa nafasi ya kupambanua faida au hasara/madhara ya chanjo.
 
Si tulikubaliana kwamba Tanzania itatengwa au imekuaje tena?

"Furthermore, such reporting allows researchers and scientists to better track the disease and prevent unnecessary deaths – both nationally and regionally"
 
Ukiamini kuwa hao wanaotaka kushirikiana nawe wana njama za kukudhuru, eti kwa vile wewe ni tajiri sana, hapo patakuwepo na ushirikiano kweli?

Lakini la kushangaza ni kwa kiongozi, tena anayejitangaza msomi wa PhD, bado anakuwa na mawazo ya aina hii kwenye enzi hizi za sayansi na teknolojia!
Hivi teknology iliyopo sasa, wakitaka kumwondoa yeyote, hawa mabeberu watashindwa?

Na kwa nini wahangaike na kuwadhuru watu wengine wasiohusika, si watamtafuta tu mwenye kichwa ngumu na kumwondoshea mbali?
Hiyo Phd kuna mtu alipewa bila kukaa darasani na thesis ya kukopi ndio maana anafanya ufutuhi kila kukicha.
 
Ambassador to Tanzania. I want to talk to you about COVID-19, and how we can work together to prevent its spread and help all of us stay safe.

Since the start of the Covid-19 pandemic, almost two and a half million people have died of the disease. The loss is staggering, and no country has been untouched. In my own country, the United States of America, we have lost over 500,000 of our fellow citizens. To further complicate things, new variants of the virus have caused another more intense wave of infections across the world, including the African continent. It has become clear that the virus variant has arrived in Tanzania, also. I’ve been encouraged by recent statements from the Ministry of Health acknowledging COVID-19 as a public health priority in Tanzania and urging citizens to take basic precautions: such as avoiding crowds, wearing masks, and social distancing. This is good advice and I urge everyone to follow it.

In addition to implementing basic precautions to prevent the spread of COVID-19, there are at least two other important tools that are critical to controlling this pandemic.

First, in order to know if response measures are having the intended impact, it is critical to collect and report information about testing and cases. That’s why it is so important for all governments to share accurate and timely information about the number of cases in their countries to the World Health Organization. Sharing this information reassures citizens that their governments are fighting to protect their health and their livelihoods. Furthermore, such reporting allows researchers and scientists to better track the disease and prevent unnecessary deaths – both nationally and regionally.

The second tool is vaccines. As our new Secretary of State Tony Blinken stated, ā€œUntil everyone in the world is vaccinated, then no-one is really fully safe.ā€ Vaccines have helped eradicate some of the worst diseases on earth, and there is no doubt that a mass immunization campaign will save lives. Just look at the numbers in the US; in the past couple of weeks, as millions of vaccinations have been given, the numbers of new Covid-19 cases, hospitalizations, and deaths have started to fall. I urge the Government of Tanzania to convene its health experts and review the evidence on vaccines.

As the world’s largest health and humanitarian donor, the United States continues to lead the global response to the Covid-19 pandemic, contributing more than $1.5 billion to COVID-19 mitigation efforts worldwide and pledging $4 billion to speed global distribution of vaccines. Here in Tanzania, we dedicated $16.4 million to mitigate the COVID-19 pandemic since the first confirmed case was diagnosed in March of 2020. The United States stands ready to ramp up our efforts and we are committed to working side by side with Tanzania to defeat Covid-19.

I will close this message on a personal note. I am a doctor by profession. Before being named Ambassador to Tanzania, I spent over 30 years working in the public health sector. I can promise you that the public health measures I’ve been speaking about WORK. They will save lives if they are adopted. I urge all Tanzanians to join now in supporting these measures so that we can protect each other and the ones we love.

Asenteni sana
Dorothy Gwajima acha ujima soma hapa chini šŸ‘‡ kutoka kwa daktari mwenzio anayejitambua....

I will close this message on a personal note. I am a doctor by profession. Before being named Ambassador to Tanzania, I spent over 30 years working in the public health sector. I can promise you that the public health measures I’ve been speaking about WORK. They will save lives if they are adopted. I urge all Tanzanians to join now in supporting these measures so that we can protect each other and the ones we love.
 
wa

Walikuwa na Rais kichaka kama yule wa kale ka nchi hakutaka ushauri,hakutaka kulitambua na kulikabiri bomu hadi lilipomlipukia mkononi,adhabu yake unaijua wamemfanya nini. kwa sasa wanaenda vizuri imeanza kushuka baada ya mkaidi kufurushwa,ila sisi ka hela kao tunachukua ila tunakapeleka kwenye mambo mengine COVID 19 hapa kwetu haipo,au tumebadiri msimamo?
Naona lengo lako ni la kisiasa zaidi kuliko uhalisia! Labda nirudie kukukumbusha kwamba takwimu huru zinaonyesha kwamba contrary na madai ya kubumba ya Serikali ya Merikani ugonjwa wa COVI-19 unaongezeka katika Taifa hilo sio kupungua!!

Majivuno tu, ukweli wa mambo USA imeishiwa mbinu za ku-contain maambukizi nchini mwao, leo hii ndio USA wajifanye Walimu wa kutoa somo kwa Tanzania? Walao somo lingelikuwa limetolewa na Serikali ya Uchina mbona Dunia ingewaelewa maana Uchina peke yake Duniani ndilo Taifa lililo fanikiwa kudhibiti maambukizi yasisambae Nchi nzima,na kupunguza maambukizi mapya nchini mwao kwa kiwango kukubwa.

Kwa kifupi Americans gotta lotta to learn from them Chinese - wasituletee mambo yao ya ukoloni mambo leo wakishirikiana na dalali (WHO) kupigia debe chanjo zinazo zalishwa na Big Pharma Companies ambazo karibu zote ni za huko huko Merikani - wasitufanye wajinga, wakumbuke Mataifa karibu yote Duniani ni Independent wana haki ya kukubali au kutokubali chanjo za Merikani na kutafuta chanjo mbadala ambazo hazitiliwi shaka .

WHO ikumbuke si Serikali ya Dunia yenye mamlaka ya kulazimisha mambo, siku za karibuni wanafanya kazi za udalali wa chanjo zinazo zakishwa na makampuni yanayo fadhiliwa kwa kiwango kikubwa na mfuko wa Bill Gates & Melinda Foundation, badala ya WHO kujihusisha zaidi na masuala ya afya za wakazi Duniani wamekalia kupigia debe chanjo za Bill Gates na mkewe.

Baadhi ya Watanzania na Mataifa yanayo beza beza misimamo wa Dk. Magufuli katika suala hili la COVID-19/21 watakuja kumkumba mambo yakiwaribikia na siku si nyingi kuanzia sasa - Magufuli ni binadamu anaye ona mbali sana - Dunia itakuja kumkumbuka.
 
Back
Top Bottom