Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wananchi wao wawe makini wasije pata coronaKwa hiyo ?
Huu ni ukweli na wala si siasa! Tena transmission iko very high, maana measures to contain transmission zimekuwa abandoned! Hapa kwetu jana nilikuwa kituko maana the whole bus nilikuwa peke yangu nimevaa mask! Walinicheka actually!
Wazungu ni waoga kama Chadema!
Hawa watu mbona hawarudi makwao,kama kuna corona mbona wamekomaa hapa hapa bongoland?
Kwamba wewe ndio utuambie watanzania tuendelee na maisha yetu kama kawaida? Aisee.Hahaaaa! Hawa watu bana!
Huko Marekani sasa hivi hakuna cha Corona wala bibi yake Korona.
Sasa hawa watu wa ubalozi wanaleta za kuleta.
Watanzania endeleeni na maisha yenu kama kawaida.
George Floyd kaimaliza hiyo Corona.
Nadhani tuwatimue kabisa.Hawa watu mbona hawarudi makwao,kama kuna corona mbona wamekomaa hapa hapa bongoland?
Hakuna aliyelazimishwa. Hutaki, unaacha!Kwamba wewe ndio utuambie watanzania tuendelee na maisha yetu kama kawaida? Aisee.
Mkuu Retired ni halali tu kuchekwa kwenye basi, kwasababu umekuwa kituko, maandishi yako tu hapa yanaonyesha kuwa umekuwa kituko.Huu ni ukweli na wala si siasa! Tena transmission iko very high, maana measures to contain transmission zimekuwa abandoned! Hapa kwetu jana nilikuwa kituko maana the whole bus nilikuwa peke yangu nimevaa mask! Walinicheka actually!
Hoja hapa sio kulazimishwa, hapa hoja ni wewe kutoa hiyo kauli.Hakuna aliyelazimishwa. Hutaki, unaacha!