Ubalozi wa Marekani nchini umeendelea kuwasisitizia Wananchi wake waliopo nchini kuwa uwezekano wa kupata Corona nchini ni mkubwa

Ubalozi wa Marekani nchini umeendelea kuwasisitizia Wananchi wake waliopo nchini kuwa uwezekano wa kupata Corona nchini ni mkubwa

Wamekufa wangap kwenu
Corona ipo Dar nimemzika juzi Shangazi yangu kipenzi aliezaliwa na baba yangu. Alikua awezi kupumua kabisa. Bado najiuliza ameipataje..? Hata mimi kohoni nasikia sipaelewi leo. Siasa zao za kutaka pesa za watalii, zinatumalizia wazee wetu.
 
Vyuo na shule kufunguliwa ndio kutatupa mrejesho.
 
Back
Top Bottom