mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
Wamekufa wangap kwenu
Corona ipo Dar nimemzika juzi Shangazi yangu kipenzi aliezaliwa na baba yangu. Alikua awezi kupumua kabisa. Bado najiuliza ameipataje..? Hata mimi kohoni nasikia sipaelewi leo. Siasa zao za kutaka pesa za watalii, zinatumalizia wazee wetu.