BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania umesema kutokana na changamoto ya intaneti inayoendelea Nchini Tanzania, umesitisha miadi yote ya Watu wanaotaka kutembelea Ubalozi kesho.
Taarifa fupi ya Ubalozi huo imesema Ubalozi utapanga ratiba ya kupokea Watu watakaofika Ubalozini hapo kwenye tarehe za usoni lakini kesho watapokelewa Wageni wenye dharura pekee.
“Kwa sababu ya hali ya sasa ya intaneti nchini, miadi yote ya kibalozi ya kesho imeahirishwa, tutapanga upya katika tarehe inayofuata, kesho Ubalozi utakuwa wazi kwa huduma za dharura peke yake” ——— Ubalozi.
Pia soma=> Gerson Msigwa: Tozo kwenye Miamala ya kutoa pesa bado ipo
Taarifa fupi ya Ubalozi huo imesema Ubalozi utapanga ratiba ya kupokea Watu watakaofika Ubalozini hapo kwenye tarehe za usoni lakini kesho watapokelewa Wageni wenye dharura pekee.
“Kwa sababu ya hali ya sasa ya intaneti nchini, miadi yote ya kibalozi ya kesho imeahirishwa, tutapanga upya katika tarehe inayofuata, kesho Ubalozi utakuwa wazi kwa huduma za dharura peke yake” ——— Ubalozi.
Pia soma=> Gerson Msigwa: Tozo kwenye Miamala ya kutoa pesa bado ipo