Pre GE2025 Ubalozi wa Marekani: Tumeshtushwa na taarifa za kuaminika kwamba polisi walitumia nguvu kupita kiasi kuwadhibiti CHADEMA

Pre GE2025 Ubalozi wa Marekani: Tumeshtushwa na taarifa za kuaminika kwamba polisi walitumia nguvu kupita kiasi kuwadhibiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wamepigwa kwa sababu ya utukutu wao. Unamjua Sugu wewe. Anausugu sana lazima apate kipondo kwa nguvu.
Akili zako ni kama za hao askari wapuuzi. Huo utukutu wao upo kimkakati ili wapate kiki.
 
Tukubali tu kwamba hii ishu inayoitwa Demokrasia ya vyama vingi kwa nchi za Africa ni swala lisilowezekana.
 
Ubalozi wetu utoe tamko la kulaani attempted homicide on D Trump. katika kipindi cha kampeni za uchaguzi
 
Polisi imewapa kiki ya bure CHADEMA. Hawa CHADEMA walikuwa wanahitaji mno haya mambo yatokee na kweli wamefanikiwa. Kama kulikua na viashiria vya uvunjifu wa amani polisi wangezuia tu hiyo mikusanyiko bila kuwapiga wafuasi wa Mbowe.
Wala hakukuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani bali kuna wahafidhina ndani ya CCM walikuwa wanamlia timing Samia. Kwanza hawakutaka aapishwe kuwa Rais,pili hawakufurahishwa na falsafa yake ya 4Rs iliyozaa maridhiano. Sasa hili la kuwabananisha Chadema walianza kwa Msajili wa vyama,akalidaka ikafuata zamu ya Polisi kucheza zamu yao IGP wa sasa akawatolea nje akapatikana Kamishna wa mafunzo ambaye yuko very ambitious na hiyo nafasi ya IGP akaipokea kazi hiyo kwa bashasha na akaisimamia yeye mwenyewe mwanzo mwisho akijua sasa kwa vile Mura amedengua basi ni wakati wake sasa. RPC wa Mbeya alijaribu kulihandle with a lot of care alipokuja Awadh akamtukana sana kuwa wewe unawadekeza hawa wahuni hawa ni kuwavunja vunja tu na kweli yeye kwa mikono na miguu yake ndiye aliyesababisha Sugu yuko hoi Hospitalini. Na mind you Sugu ni personal friend wa huyo Balozi wa US. Mwana kulitaka mwana kulipata.
 
Serikali ya Tanzania nayo itoe tamko juu ya shambulio la mgombea wa chama Cha Republic- ndugu D.Trump,unyama -unyama
 
Wala hakukuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani bali kuna wahafidhina ndani ya CCM walikuwa wanamlia timing Samia. Kwanza hawakutaka aapishwe kuwa Rais,pili hawakufurahishwa na falsafa yake ya 4Rs iliyozaa maridhiano. Sasa hili la kuwabananisha Chadema walianza kwa Msajili wa vyama,akalidaka ikafuata zamu ya Polisi kucheza zamu yao IGP wa sasa akawatolea nje akapatikana Kamishna wa mafunzo ambaye yuko very ambitious na hiyo nafasi ya IGP akaipokea kazi hiyo kwa bashasha na akaisimamia yeye mwenyewe mwanzo mwisho akijua sasa kwa vile Mura amedengua basi ni wakati wake sasa. RPC wa Mbeya alijaribu kulihandle with a lot of care alipokuja Awadh akamtukana sana kuwa wewe unawadekeza hawa wahuni hawa ni kuwavunja vunja tu na kweli yeye kwa mikono na miguu yake ndiye aliyesababisha Sugu yuko hoi Hospitalini. Na mind you Sugu ni personal friend wa huyo Balozi wa US. Mwana kulitaka mwana kulipata.
Wewe kwa akili yako unafikiri huyo Balozi wa US atafanyanini? Slavery mentality inakusumbua. Badala ya kuwategemea watz unawaza kuwategemea mabeberu unafikiri watawasaidia kuchukua nchi au?!
 
Huna Akili.
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia kuniita sina akili?

Kule Marekani aliyemshambulia Trump ni kijana tu kwa mihemko yake na utashi wake hivyo huwezi kuilaumu serikali ya Marekani.

Tofauti na tukio la kupigwa kwa viongozi wa ipinzani ambalo limetekelezwa na polisi ambao ni sehemu ya serikali.

Tatizo kila kitu unataka kuingiza siasa wakati mambo mengine hayahitaji mihemko ya kisiasa bali utu tu.
 
Back
Top Bottom