CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
KUMEKUCHA.Nyundo kubwa ya EU inapiga jaramba.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUMEKUCHA.Nyundo kubwa ya EU inapiga jaramba.....
Akili zako ni kama za hao askari wapuuzi. Huo utukutu wao upo kimkakati ili wapate kiki.Wamepigwa kwa sababu ya utukutu wao. Unamjua Sugu wewe. Anausugu sana lazima apate kipondo kwa nguvu.
Kwani nyie mna effects gani kwenye uchumi wa US?Hawa wacha waendelee kustuka tu hiyo ni kawaida, hata sisi tulistuka tuliposikia Trump kapigwa risasi.
Mbio za Afande Awadh kuutaka u IGP zimetugharimu big time hapo bado EU hawajashuka.Naunga mkono hoja ya Ubalozi wa Marekani.
P
Mjomba Pasi hiyo siyo mikato yake.Mkuu mizimu ya ukoo wenu imekukataa kabisa kwenye mambo ya uteuzi?
Ni jeshi la polisi la Marekani lililomkosa kwa risasi?Hawa wapumba...v mbona hawakustushwa Donald Trump kukoswa risasi.
Andika lolote katika hili Mkuu..Naunga mkono hoja ya Ubalozi wa Marekani.
P
Huna Akili.Ni jeshi la polisi la Marekani lililomkosa kwa risasi?
Uwe unatumia akili kufanya comparison ya vitu sio kukurupuka na kuja na irrelevant example.
P huwa hutabiriki, kesho Samia akitoa tamko kuwapinga US embassy utashauri wanachama kuandamana kumpongezaNaunga mkono hoja ya Ubalozi wa Marekani.
P
hivhiv atafia mbele soonSafi, tunataka statements za aina hii.
Hivi huyu Awadhi ana amani ya moyo kweli. Angalie Mahita, Zombe na Muroto wapo wapi hivi sasa.
Je alipigwa na POLISI WA MAREKANI au kibaka ?Hata sisi tulishtushwa na Trump kupigwa risasi ya skio
Shithole!Akili zako ni kama za hao askari wapuuzi. Huo utukutu wao upo kimkakati ili wapate kiki.
Wala hakukuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani bali kuna wahafidhina ndani ya CCM walikuwa wanamlia timing Samia. Kwanza hawakutaka aapishwe kuwa Rais,pili hawakufurahishwa na falsafa yake ya 4Rs iliyozaa maridhiano. Sasa hili la kuwabananisha Chadema walianza kwa Msajili wa vyama,akalidaka ikafuata zamu ya Polisi kucheza zamu yao IGP wa sasa akawatolea nje akapatikana Kamishna wa mafunzo ambaye yuko very ambitious na hiyo nafasi ya IGP akaipokea kazi hiyo kwa bashasha na akaisimamia yeye mwenyewe mwanzo mwisho akijua sasa kwa vile Mura amedengua basi ni wakati wake sasa. RPC wa Mbeya alijaribu kulihandle with a lot of care alipokuja Awadh akamtukana sana kuwa wewe unawadekeza hawa wahuni hawa ni kuwavunja vunja tu na kweli yeye kwa mikono na miguu yake ndiye aliyesababisha Sugu yuko hoi Hospitalini. Na mind you Sugu ni personal friend wa huyo Balozi wa US. Mwana kulitaka mwana kulipata.Polisi imewapa kiki ya bure CHADEMA. Hawa CHADEMA walikuwa wanahitaji mno haya mambo yatokee na kweli wamefanikiwa. Kama kulikua na viashiria vya uvunjifu wa amani polisi wangezuia tu hiyo mikusanyiko bila kuwapiga wafuasi wa Mbowe.
Kwa nini wazuie???Mbona ya CCM na ACT hawazuii?Polisi imewapa kiki ya bure CHADEMA. Hawa CHADEMA walikuwa wanahitaji mno haya mambo yatokee na kweli wamefanikiwa. Kama kulikua na viashiria vya uvunjifu wa amani polisi wangezuia tu hiyo mikusanyiko bila kuwapiga wafuasi wa Mbowe.
Wewe kwa akili yako unafikiri huyo Balozi wa US atafanyanini? Slavery mentality inakusumbua. Badala ya kuwategemea watz unawaza kuwategemea mabeberu unafikiri watawasaidia kuchukua nchi au?!Wala hakukuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani bali kuna wahafidhina ndani ya CCM walikuwa wanamlia timing Samia. Kwanza hawakutaka aapishwe kuwa Rais,pili hawakufurahishwa na falsafa yake ya 4Rs iliyozaa maridhiano. Sasa hili la kuwabananisha Chadema walianza kwa Msajili wa vyama,akalidaka ikafuata zamu ya Polisi kucheza zamu yao IGP wa sasa akawatolea nje akapatikana Kamishna wa mafunzo ambaye yuko very ambitious na hiyo nafasi ya IGP akaipokea kazi hiyo kwa bashasha na akaisimamia yeye mwenyewe mwanzo mwisho akijua sasa kwa vile Mura amedengua basi ni wakati wake sasa. RPC wa Mbeya alijaribu kulihandle with a lot of care alipokuja Awadh akamtukana sana kuwa wewe unawadekeza hawa wahuni hawa ni kuwavunja vunja tu na kweli yeye kwa mikono na miguu yake ndiye aliyesababisha Sugu yuko hoi Hospitalini. Na mind you Sugu ni personal friend wa huyo Balozi wa US. Mwana kulitaka mwana kulipata.
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia kuniita sina akili?Huna Akili.