Ubalozi wa Marekani: Tumesikitishwa na ukiukwaji uliojitokeza kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania

Ubalozi wa Marekani: Tumesikitishwa na ukiukwaji uliojitokeza kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania

Hawa US nao, kwa hiyo hawataki watu kushinda kwa 99.9% ? Huu ni ubaguzi, mbona Saddam Hussein, Muammar Gaddafi, Paul Kagame na viongozi wengi tu wamekuwa wakishinda kwa zaidi ya 90% lakini US missions huko hazitoi matamko. Kweli wameniharibia siku yangu.
Kumbe Saddam na Gaddafi bado wanashinda uchaguzi kwa 99.9%?.
 
wamekaa miaka mitatu hawana balozi , naona kashakuja anajindaa kuwasha moto.

Trump hana mchezo ndiyo maana ameamua kuweka balozi apate hizi habari kwa ukaribu kabisa mfano hiki kitu serikali ya CCM ilichoita 'uchaguzi' wa serikali za Mitaa Tanzania, afanye maamuzi kama ya Zimbabwe.

5 Mar 2019
Trump extends sanctions against Zimbabwe
U.S. President Donald Trump on Monday extended by one-year sanctions against Zimbabwe. Trump said the new Zimbabwe government's policies continue to pose an "unusual and extraordinary" threat to U.S. foreign policy. The renewal comes despite calls by African leaders, including South Africa's President Cyril Ramaphosa, for the sanctions to be lifted to give Harare a chance to recover from its economic crisis.
 
Huo ni uongo wa mabeberu wapinzani walisalimu amri mapema wenyewe
 
wamekaa miaka mitatu hawana balozi , naona kashakuja anajindaa kuwasha moto.
Bunge la Senate la Marekani, baada ya ile hoja iliyotolewa na senator mmoja kuwa Tanzania kuna ukiukaji mkubwa wa haki za raia na demokrasia, baraza la senate liliiagiza serikali kumteua balozi haraka ili kuweza kufuatilia kwa ukaribu. Mara moja serikali ikatekeleza, na balozi naona naye mara moja ameanza kazi.

Jambo lililo muhimu na wananchi kwa umoja wao kukataa ukiukaji wa haki za raia na ukiukaji wa misingi ya demokrasia. Dunia ipo pamoja na Watanzania katika kupinga ugandamizaji.

Ni kosa Watanzania kubweteka na kusubiria Wamarekani ndiyo wadai haki za Watanzania, huku Watanzania wenyewe hakuna wanachofanya. Ni vema unayesaidiwa kwanza ukaonesha jitihada yako binafsi kabla hujadaidiwa.
 
Unawajua Ghadafi n'a Sadam Hussein kilichowakuta au ndio umezinduka Leo [emoji23]
Hawa US nao, kwa hiyo hawataki watu kushinda kwa 99.9% ? Huu ni ubaguzi, mbona Saddam Hussein, Muammar Gaddafi, Paul Kagame na viongozi wengi tu wamekuwa wakishinda kwa zaidi ya 90% lakini US missions huko hazitoi matamko. Kweli wameniharibia siku yangu.
 
Naona na ubalozi wa Uingereza wametoa pia tamko. Lina maneno machache lakini ni zuri, clarity kama yote. Ila kama taifa tunatia aibu sana.
 
Back
Top Bottom