Kama wewe na familia yako hamjaambukizwa au kupata vifo kwenye ukoo wenu, vivyo hivyo WaTz wengine nao wako hivyo.
Kuendelea kushabikia kutaka Serikali itoe takwimu za maambukizi ni kama unaomba dua WaTz wafe ili lengo lako litimie, siyo. Nami nakuombea upate wewe kwanza maambukizo.