Ubalozi wa Marekani waituhumu Tanzania kuficha takwimu za COVID 19, wasema kwa hali hii hauwezi kutoa hatima ya raia wake


Wewe taga tu huna lolote!
Kuna dhambi au kosa gani ya kutangaza Takwimu za Covid-19 hapa TANZANIA?
Bila shaka wewe ni mmoja wa wajinga fulani wenye imani za kijinga wanaofikiri hata ukihesabiwa(censor) unaweza kufa! Illiteracy kitu mbaya sana. Tumeambiwa Kuna Wagonjwa 4 Dar.....Je, wamepima Wangapi kwa muda gani kuwabaini hao 4? Tuna truck drivers wamekwama mipakani: Namanga, Holili na Horohoro hakuna Takwimu popote Kama wamepimwa wangapi na Kama wote hawana maambukizi Kuna shida gani?
Just speak it like: In the last 24 we have performed 1000 Tests. All NEGATIVE or 2,3 or 5 are POSITIVE!! Si Mzeebaba keshasema Corona imepungua Tanzania! Mnakwama wapi enyi mataga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…