#COVID19 Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

#COVID19 Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

Kwanza elewa kifo akikwepeki as long as umeandikiwa utafaliki kwa kitu flani. pili ao waliopata chanjo tupe maendeleo yao tuanzie U.S.A
kwahio mungu ameandikia kuna watu wakufa kwa kubakwa na kunyongwa ?, wengine tangia wanazaliwa wanaandikiwa watakufa kwa drug abuse (yaani Mungu kawapangia wa-abuse drugs ?

Hivi unajua maana ya chanjo na mpaka hapo ulipo ulishatumia chanjo ngapi ?, Na kujua side effects na kui-perfect chanjo it takes time na kujua kwa ufasaha ni kwa testing na muda wa kuangalia matokeo na kuboresha...., kumbuka hii ni emergency kwahio kwahio hata kama chanjo inafanya kazi kwa percent kubwa hio ni progress to the right direction (Pia kumbuka kila chanjo / dawa inaweza ku-react tofauti kulingana na mtu na mtu)..., Kwahio itakuwa ni upuuzi wa kutupa iwapo results zisipokuwa 100% kuacha kuendelea na utafita na kuboresha eti sababu first time out haikuwa 100%. Watu huwa wanakwenda hospitali na kufanyiwa operation ila bado wanakufa (lakini hatujaacha kwenda hospitali) au kuna kina mama wanakufa wakiwa wanajifungua..., ila sikasjikia watu wanashauri tupige marufuku kina mama kuzaa (sababu kuna mmoja alishawahi kufa wakati anajifungua)
 
Safari hii kwenye tangazo lao hawajatahadharisha Raia wao wsije Tanzania au waliopo waondoke kama walivyokuwa wanafanya kipindi cha nyuma

Kwao wanatoa takwimu, wanavaa barakoa, wananawa mikono kila sekunde mbili na michanjo feki wamejaza begani lakin ndio wanaongoza kwa kufa
 
Wewe punguani kweli,uko serious unauguza,mda wakuja na comments zakipuuzi humu JF unatoa wapi hizo nguvu? Unauguza ndugu yako kweli au jirani yako kakuomba uende nae hospital kumujulia hali ndugu yake! Achana na kuuguza mpendwa wako,unaweza vaa viatu rangi tofauti na ukajikuta upo hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka mgonjwa akilala na mimi nilale😅😅😅😅😅 eti nguvu natoa wapi! Wewe ukiuguza unaishiwaga nguvu zipi?
Mgonjwa ni mgonjwa awe ndugu au jirani ni mgonjwa tuuu

Hapa nimemsomea mgonjwa comment yako kaniambia ingekua kuna kupimwa akili wewe ni mgonjwa mahututi zaidi yake. Furaha ni tiba

Comment ya hovyoooooo Mfyuuuuu
 
Bakuli lenu wanawajazia hao hao mabeberu baada ya kwenda kuwapigia magoti
Nani awapigie Mashoga magoti!? Sema wanapenda kujipendekeza sana kwetu,kisa tu Rasilimali zetu tulizojaaliwa na Mungu!!
 
Fala ni wewe unayempangia Mungu watu wa kumjua. Na kiwango chako cha ufala kimeongezeka baada ya kuwa mtumwa wa fikra unayedhani Mungu ni wa Mungu tuu

Halafu usiwe unatukania hiyo K*MA maana ni sehemu nyeti sana mamako aliyotumia kukuleta duniani mwanakulaaniwa mkubwa wewe.

Umeskia eeeee
Tuliza papuchi Hilo **** wewe
 
Hawa ndio waliosemaga hospitali zimejaa wagonjwa wa corona sijui walipata wapi taarifa hizo? walisababisha watu wasirudi Dar kuendelea na biashara zao kwa kuhofia corona.
 
Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Acheni basi masihara na roho na maisha ya watu , Kama Ni kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu utopolo hamkatazwi ila acheni mzaha na maisha ya watanzania , unajua bosi wako Ni saikatriki kesi plus bipolar disorder na wewe unashangilia kabisa ?
 
Sasa ni wazi kua covid Tanzania inaua watu vibaya sana. Magufuli yeye bora watu waendelee kufa kuliko kuwaambia wachukue tahadhari za kisayansi, yeye anahimiza njia za kienyeji na za kishirikina za kujifukiza, kunywa pilipili, sijui kachumbari.

Ni mambo ya ajabu.
Kujifukiza, kula pilipili na kachumbari ni ushirikina!!!???? Hizo dini zimewaharibu kiasi hiki!!!!?????
 
mh covid ipo na inauaa ni kuwa makini na kuchukua tahadhari bila kusahau kumwomba mwenyezi mungu atuepushe na ili janga coz bila yeye sisi sio kitu
 
Are you sure that the respiratory complication pandemic will be overcome by wearing face mask, sanitizing, washing hands and getting vaccines to battle the variant strains?

You are absolutely wrong.

Has teh USA managed to humble down the outrageous disease? No and it will never outsmart it.

The USA and other allierespiratory droplet virusess have strived with all efforts and resources available to confront the respiratory droplet viruses to no success. The USA and its allies have blasphemed the living God by undermining his Mighty that the natural herbal steaming and spiritual healing beliefs were merely religious and superstious bigotry!!!!

God forbid, the USA and its allies shall reap the living God's wrath as it continues devouring the habitants lives.

Despite all the fox shouts look at the death trails in the USA as of today 10th February 2021

#Country,
Other
Total
Cases
New
Cases
Total
Deaths
New
Deaths
Total
Recovered
Active
Cases
Serious,
Critical
Tot Cases/
1M pop
Deaths/
1M pop
Total
Tests
Tests/
1M pop
Population
World107,639,175+241,2862,358,080+8,64379,688,15525,592,940102,00113,809302.5
1USA27,820,758+20,812480,723+95117,645,2049,694,83121,42583,7501,447327,421,542985,651332,187,983
 
Nilitegemea walaka huu utaje hata tiba za kutumia kujikinga kama NYUGU,NIMCAF, MAZOEZI, VITUNGUU SWAUMU, COVIDAL na NOVIDA ile ya madagascar na endapo hali ikiwa tete tukajifiche chattle kwenye usalama.

Nasikitika walaka wamabeberu umetuacha njia panda kuhusu tiba.
Nasubiri kuona hatua kali zikichukuliwa juu ya balozi wa mabeberu hawa ambao kila uchwao tunawatembezea bakuli.
 
Time after time [emoji445][emoji444],hakuna kitakachoweza kuasidia zaid ya kujisalimisha kwa mwenye roho zake ,tusali tuchukue tahadhari tunaweza survive tena kama mwaka jana. Kufa watu ni jambo ambalo lipo karne na karne hii ni kukumbushwa ujiandae,hao manabii sijui maparoko wameshayumba baada ya kutuhimiza kumwomba mungu wanahanya hanyaa na kuingilia kazi ya sirikali mpka serikali inaamua kubeba majukumu yao shtuka siku za mwisho hiz
Asingeumba dawa kwenye miti kuwa na akili wewe sio kila ugonjwa ni spiritual. Paulo na imani yake alimwambia mtu anywe mvinyo ajitibu tumbo imani ya kijinga inaiangamiza africa

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe ndio utulize mshono mmawia
Au huujui mshono wako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karambe miguu ya chakubanga upate mlo wako
 
Safari hii kwenye tangazo lao hawajatahadharisha Raia wao wsije Tanzania au waliopo waondoke kama walivyokuwa wanafanya kipindi cha nyuma

Kwao wanatoa takwimu, wanavaa barakoa, wananawa mikono kila sekunde mbili na michanjo feki wamejaza begani lakin ndio wanaongoza kwa kufa
Kwani hapa watu hawafi?
 
Back
Top Bottom