Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania wameokoa Maisha yangu

Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania wameokoa Maisha yangu

FatherOfAllSnipers

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2019
Posts
1,692
Reaction score
4,442
Assalam Aleykum!

Habari zenu wakuu,
mimi nachukua nafasi hii kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwenda kwenye Ubalozi wa nchi ya Palestina hapa Nchini Tanzania kwa kuokoa maisha yangu.

Nilikuwa katika zunguka zunguka zangu hapa jijini kutafuta mkate wangu wa kila siku, nikiwa na njaa pamoja na kiu ya maji huku nikiwa
Sina hata senti mfukoni mwangu japo ya kuniwezesha kununua andazi.
Ghafla nikatokea kwenye ubalozi wa Palestina hapa Dar es salaam,
ubalozi huu umeweka maji safi ya kunywa nje ya geti lao, ambapo mwenye uhitaji anaruhusiwa kunywa, kunawa n.k bila kuomba ruhusa,

Kwakweli hili ni jambo kubwa sana kwangu nimeliona,
bila shaka sote tunafahamu ni kiasi gani jua linawaka hapa jijini kwetu,

Kwa kitendo cha ubalozi kuweka maji safi kabisa na salama ya bure kwenye ubalozi wao wameokoa Maisha yangu.
Ni jambo zuri na lenye ubinadamu linalo faa kuigwa hata na balozi zingine ikiwemo ubalozi wa Israeli hapa Tanzania,
na hata taasisi zingine waige mfano huu wa serikali ya Palestina kupitia ubalozi wao hapa Tanzania.
 
VideoCapture_20241025-110558.jpg
VideoCapture_20241025-110558.jpg
 
Assalam Aleykum!

Habari zenu wakuu,
mimi nachukua nafasi hii kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwenda kwenye Ubalozi wa nchi ya Palestina hapa Nchini Tanzania kwa kuokoa maisha yangu.

Nilikuwa katika zunguka zunguka zangu hapa jijini kutafuta mkate wangu wa kila siku, nikiwa na njaa pamoja na kiu ya maji huku nikiwa
Sina hata senti mfukoni mwangu japo ya kuniwezesha kununua andazi.
Ghafla nikatokea kwenye ubalozi wa Palestina hapa Dar es salaam,
ubalozi huu umeweka maji safi ya kunywa nje ya geti lao, ambapo mwenye uhitaji anaruhusiwa kunywa, kunawa n.k bila kuomba ruhusa,

Kwakweli hili ni jambo kubwa sana kwangu nimeliona,
bila shaka sote tunafahamu ni kiasi gani jua linawaka hapa jijini kwetu,

Kwa kitendo cha ubalozi kuweka maji safi kabisa na salama ya bure kwenye ubalozi wao wameokoa Maisha yangu.
Ni jambo zuri na lenye ubinadamu linalo faa kuigwa hata na balozi zingine ikiwemo ubalozi wa Israeli hapa Tanzania,
na hata taasisi zingine waige mfano huu wa serikali ya Palestina kupitia ubalozi wao hapa Tanzania.
Sifa za kijinga
 
Assalam Aleykum!

Habari zenu wakuu,
mimi nachukua nafasi hii kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwenda kwenye Ubalozi wa nchi ya Palestina hapa Nchini Tanzania kwa kuokoa maisha yangu.

Nilikuwa katika zunguka zunguka zangu hapa jijini kutafuta mkate wangu wa kila siku, nikiwa na njaa pamoja na kiu ya maji huku nikiwa
Sina hata senti mfukoni mwangu japo ya kuniwezesha kununua andazi.
Ghafla nikatokea kwenye ubalozi wa Palestina hapa Dar es salaam,
ubalozi huu umeweka maji safi ya kunywa nje ya geti lao, ambapo mwenye uhitaji anaruhusiwa kunywa, kunawa n.k bila kuomba ruhusa,

Kwakweli hili ni jambo kubwa sana kwangu nimeliona,
bila shaka sote tunafahamu ni kiasi gani jua linawaka hapa jijini kwetu,

Kwa kitendo cha ubalozi kuweka maji safi kabisa na salama ya bure kwenye ubalozi wao wameokoa Maisha yangu.
Ni jambo zuri na lenye ubinadamu linalo faa kuigwa hata na balozi zingine ikiwemo ubalozi wa Israeli hapa Tanzania,
na hata taasisi zingine waige mfano huu wa serikali ya Palestina kupitia ubalozi wao hapa Tanzania.
Sisi Israel hatuna ubalozi tz mbona
 
Balozi zingine hawawezi kufanya hivyo kutokana na sababu za kiusalama kwani nchi zao zina maadui wengi
 
Kunywa tu hayo maji yao.
Mwisho wa siku utaona nyuma kwako kunawasha kwa Kasi ya 5G.
Hawawezi kumfanyia hivyo. Katika Sheria ya Palestine Baradhul hukumu yake ni kuuawa.

Nadhan utakuwa umeghafirika kidogo tu, Liwatwi/Ubaradhuli au Usenge umepewa Baraka zote Ndani na kwenye Madhabahu ya ROMAN CATHOLIC pale Rome ambapo Makasisi hulawiti vijana wadogo mpaka POPE akaona isiwe ngoja tuwabariki .

Kwahiyo kaa nalo hilo ili siku nyingine isije tokea ukajisahau tena
 
90% ya Watanzania ndiyo maji yetu hayo wanaokunywa maji ya chupa au yenye usalama kiafya ni wachache sana ila Bongo waigizaji wengi sana lakini ukienda kwenye maisha halisi..........
Ndio kaka, lakini hatupaswi kuweka kila kitu kinywani. Ndio maana kipindi tunakua tulikuwa tunaambiwa tusile vitu vya kupewa na watu tusiowajua, na hata kama tunawajua tuwe makini, wala tusizoee sana kula kwa watu.

Imagine kipindi kile unatoka shule anatokea mtu anakuambia "hujambo? Hebu nione daftari yako. Unaandika vizuri. Unaakili sana. Mama yupo? Haya chukua pipi ule." 😁 Na wewe unachukua kula?

Lazima ujiulize haya mazingira ya kupewa pipi yamekaa kaaje!? 😂

Shida ikupate kwa bahati mbaya, ila sio kwendamo.
 
Back
Top Bottom