laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Atlanta sehemu gani?
angalia usi google tu..
BTW makaratasi unayo?
Atlanta sehemu gani?
angalia usi google tu..
BTW makaratasi unayo?
Hakika princess tiffah ni hazina kubwa kwa vizazi vya sasa
Unakichaa...
watu wenye masifa kama diamond ndio wanafilisika vibaya,,wenzake akina P Square wamenunua mansion hapa Marekani Atlanta karibu na nyumbani kwangu ye anajisifia kujenga nyumba Mbagala
watu wenye masifa kama diamond ndio wanafilisika vibaya,,wenzake akina P Square wamenunua mansion hapa Marekani Atlanta karibu na nyumbani kwangu ye anajisifia kujenga nyumba Mbagala
Mtoto mwnyw si wake basi kwavle tu kitanda hakizai haramu
Hata mi nashangaa watoto wa maskini pesa za kuweka banki watatoa wapi? maana hata wazazi wao account za benki hawana.....Bank hawana urafiki na masikini.
Mtoto mwnyw si wake basi kwavle tu kitanda hakizai haramu
watu wenye masifa kama diamond ndio wanafilisika vibaya,,wenzake akina P Square wamenunua mansion hapa Marekani Atlanta karibu na nyumbani kwangu ye anajisifia kujenga nyumba Mbagala
Wewe una uhakika gani kama ni mtoto halali wa baba yako
Ingekuwa ni mtoto wa maskni, unafikiri wao wangefaidika vipi??? Ile sio charity work ni biashara, mpaka hapa imefunguliwa uzi, na blogs nyingi zimeandika, watu wa kutosha wanaomfuatilia diamond kwenye pages zake na magazeti kote habari ipo, UNAFIKIRI IMEWAONGEZEA WATEJA KIASI GANI? kuna watu walikuwa hawajashtuka kuhusu NMB JUNIOR ACCOUNT lakini najuwa kuna wengi sana wamehamasika baada ya!![/QUOTE
SIO KWELI,
WANGEENDA WAKAMCHUKUA MTOTO MFANO ALIEFILIWA NA MAMA MZAZI WAKATI WA KUJIFUNGUA WAKA TANGAZA BASI REACTION INGEKUA KUBWA ZAIDI
Hakika princess tiffah ni hazina kubwa kwa vizazi vya sasa
Ingekuwa ni mtoto wa maskni, unafikiri wao wangefaidika vipi??? Ile sio charity work ni biashara, mpaka hapa imefunguliwa uzi, na blogs nyingi zimeandika, watu wa kutosha wanaomfuatilia diamond kwenye pages zake na magazeti kote habari ipo, UNAFIKIRI IMEWAONGEZEA WATEJA KIASI GANI? kuna watu walikuwa hawajashtuka kuhusu NMB JUNIOR ACCOUNT lakini najuwa kuna wengi sana wamehamasika baada ya!![/QUOTE
SIO KWELI,
WANGEENDA WAKAMCHUKUA MTOTO MFANO ALIEFILIWA NA MAMA MZAZI WAKATI WA KUJIFUNGUA WAKA TANGAZA BASI REACTION INGEKUA KUBWA ZAIDI[/QUOTE
Shule bado inahitajika sana kuchanganya biashara na kampen et mtt wa maskn .....