Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Mtoa post, umegundua nn kwa watanzania waliosoma bandiko lako?
AU HADI UBUBUJIKWE NA MACHOZI NDO UJUE KUWA WANA AKILI NYINGI KUKUZIDI?

1: wanahoji tarehe 25 feb 2025 imefika lini?

2: je ubalozi huo haupo makini kiasi hicho? au una vilaza ofisi yote hadi wasijue tarehe kuwa imekosewa?

3: hi barua ina kiingereza chepesi na kilaini kama cha lumumba.

4: tukiingia kwenye website ya ubalozi huo tutapata hiyo press.

5: kati ya serikali ya tanzania na ubaloz nani alitakiwa atoe tamko kuhusu nyendo zenye wasi wasi kwa rasili mali za nchi?

WE ENDELEA KUBUBUJIKWA NA MACHOZI TU.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hii kitu Lucas Mwashambwa ni FAKE NEWS yenyewe. Haijaandaliwa na ubalozi wa Saudi Arabia...!!

Ofisi ya ubalozi hawawezi kuwa na watu wasio makini na wajinga kiasi hiki hata kukosea au kutojua jana ilikuwa tarehe ngapi...!!

Ikawaje Press Release ya jana tarehe 13/2/2025 iwe na tarehe ya mbele wiki mbili zijazo yaani tarehe 25/2/2025...????

Hii ni kazi ya kitengo cha propaganda cha ofisi za CCM Lumumba...!

Na ndo kesema, ni rahisi sana kuyanasa mijitu miongo, tapeli na mafisadi ya CCM yakishirikiana na waarabu wa Dubai na Saudi Arabia kuuza mali asili zetu zikiwemo bandari zetu za Tanganyika ...

Narudia tena huu ni UONGO WA ASUBUHI...

Jidanganyeni ninyi kwa ninyi huko, wajinga wakubwa nyie. Msitufanye sisi ni wajinga kama nyie mlivyo...

Hii Press Release haijaandaliwa na ubalozi wa Saudi Arabia. Imeaandaliwa Lumumba na ma CCM majizi na matapeli...
 
Hii kitu Lucas Mwashambwa ni FAKE NEWS yenyewe. Haijaandaliwa na ubalozi wa Saudi Arabia...!!

Ofisi ya ubalozi hawawezi kuwa na watu wasio makini na wajinga kiasi hiki hata kukosea au kutojua jana ilikuwa tarehe ngapi...!!

Ikawaje Press Release ya jana tarehe 13/2/2025 iwe na tarehe ya mbele wiki mbili zijazo yaani tarehe 25/2/2025...????

Hii ni kazi ya kitengo cha propaganda cha ofisi za CCM Lumumba...!

Na ndo kesema, ni rahisi sana kuyanasa mijitu miongo, tapeli na mafisadi ya CCM yakishirikiana na waarabu wa Dubai na Saudi Arabia kuuza mali asili zetu zikiwemo bandari zetu za Tanganyika ...

Narudia tena huu ni UONGO WA ASUBUHI...

Jidanganyeni ninyi kwa ninyi huko, wajinga wakubwa nyie. Msitufanye sisi ni wajinga kama nyie mlivyo...

Hii Press Release haijaandaliwa na ubalozi wa Saudi Arabia. Imeaandaliwa Lumumba na ma CCM majizi na matapeli...
Umesikia taarifa ya serikali Bungeni kuhusiana na jambo hilo la uzushi wa watu mitandaoni?
 
Barua ya tarehe 25 February 2025, leo ni tarehe ngapi!!??
Unajua maana ya hili!!?
Hayo ni makosa madogo ya kibinaadamu. Umesikia video ya Balozi wa Saudi Arabia pamoja na taarifa ya serikali bungeni kuhusu jambo hilo?
 
Umesikia taarifa ya serikali Bungeni kuhusiana na jambo hilo la uzushi wa watu mitandaoni?
CCM na serikali yenu mnayoingoza ni waongo na matapeli kuanzia ikulu hadi bungeni, mahakamani mpaka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa aliyeingizwa kwenye uongozi kwa wizi wa kura na wengine kitapeli tu bila kuchaguliwa...

Kwa hiyo, it doesn't matter kauli imetoka wapi bungeni au ikulu. Waongo na matapeli ni waongo na ni matapeli tu siku zote...

Press Release ile mnayodai imetolewa na wajomba zake Bi Samia Suluhu Hassan a.k.a Chura Kiziwi wa Kizimkazi nchini Zanzibar, (ubalozi wa Saudi Arabia)yenye makosa ya wazi ya kiuandishi inathibitisha kuwa hii ni serikali ya waongo inayotenda mambo yake kwa propaganda kwa kusema hii ni A kumbe ukweli ni kuwa hiyo ni F...!!
 
CCM na serikali yenu mnayoingoza ni waongo na matapeli kuanzia ikulu hadi bungeni, mahakamani mpaka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa aliyeingizwa kwenye uongozi kwa wizi wa kura na wengine kitapeli tu bila kuchaguliwa...

Kwa hiyo, it doesn't matter kauli imetoka wapi bungeni au ikulu. Waongo na matapeli ni waongo na ni matapeli tu siku zote...

Press Release ile mnayodai imetolewa na wajomba zake Bi Samia Suluhu Hassan a.k.a Chura Kiziwi wa Kizimkazi nchini Zanzibar, inathibitisha kuwa hii ni serikali ya waongo inayotenda mambo yake kwa propaganda kwa kusema hii ni A kumbe ukweli ni kuwa hiyo ni F...!!
Naona umeandika ukiwa umejimiminia Mipombe ukiwa na njaa tumboni mwako.
 
Naona umeandika ukiwa umejimiminia Mipombe ukiwa na njaa tumboni mwako.
Niko mentally, interlectually and physically perfect 100%....

Mliyojimimia mapombe ya ujinga na ulanghai ni wewe chawa Lucas Mwashambwa na maboss wako unaowalamba makalio yao huko CCM...

Majina yenu mliyojipa "MACHAWA WA MAMA" ni uthibitisho kuwa, wanaoongoza nchi yetu hii kupitia serikali yao, ni nusu binadamu na nusu nyingine ni wadudu hatari walaruao toka kuzimu...!!
 
Hayo ni makosa madogo ya kibinaadamu. Umesikia video ya Balozi wa Saudi Arabia pamoja na taarifa ya serikali bungeni kuhusu jambo hilo?
Nimeoma vyombo viwili vya habari vya kuaminika vya KSA vikiandika "acquired", unaelewa maana ya vyombo vyao vya habari kuandika hivyo!!?? Sio vyetu, ni vyao, tena vya kuaminika.
Unaelewa kweli!!??
 
Niko mentally, interlectually and physically perfect 100%....

Mliyojimimia mapombe ya ujinga na ulanghai ni wewe chawa Lucas Mwashambwa na maboss wako unaowalamba makalio yao huko CCM...

Majina yenu mliyojipa "MACHAWA WA MAMA" ni uthibitisho kuwa, wanaoongoza nchi yetu hii kupitia serikali yao, ni nusu binadamu na nusu nyingine ni wadudu hatari walaruao toka kuzimu...!!
MBONA KAMA UNATULAZIMISHA KWA KIGEZO HATUJUI HIYO LUGHA YA KITUMWA?
 
Nimeoma vyombo viwili vya habari vya kuaminika vya KSA vikiandika "acquired", unaelewa maana ya vyombo vyao vya habari kuandika hivyo!!?? Sio vyetu, ni vyao, tena vya kuaminika.
Unaelewa kweli!!??..
Ndugu, unampigia panzi kitaa ukitegemea atacheza tune ya muziki huo....

Haelewi huyo. Huyu jamaa au sijui ni bibie (Lucas Mwashambwa)ndiye "chawa mkuu wa huyo mama yao...

Watu wanajiita "Chawa" na kujigamba hivyo kuwa wao ni "chawa" tu inawezekana vipi wakawa binadamu kamili wenye uelewa aisee...?

Huyo jamaa Lucas Mwashambwa anaweza kuja na fulscap kadhaa za isha hapa akituaminisha kuwa vinyesi walivyojisaidia bwana zake huko CCM ni mikate toka Singapore. Ukimwambia hayo ni mavi sio mkate, atabaki kukushangaa na kukuzodoa tu...

Huyo ndiye chawa mkuu Lucas Mwashambwa alivyo. Fuatilia majibu yake ya hoja zetu humu, utagundua kuwa, hilo jamaa ni roboti fulani lisilofikiri wala kuwaza kama binadamu...
 
MBONA KAMA UNATULAZIMISHA KWA KIGEZO HATUJUI HIYO LUGHA YA KITUMWA?
Nakulazimisha kufanya nini tena na wewe..?

Sijataja jina lako Full charge popote na kukulazimisha kwa lolote...

Unachoweza kufanya, nisome. Ukinielewa, twende pamoja. Usiponielewa, usiseme "nakulazimisha" bali pita, endelea na safari yako...
 
Back
Top Bottom