Ubalozi wa Tanzania Uingereza walalamikiwa kwa kutopokea simu, huduma duni kutoka kwa wageni watarajiwa, je wahusika wanakwepa lugha ya kiingereza?

Ubalozi wa Tanzania Uingereza walalamikiwa kwa kutopokea simu, huduma duni kutoka kwa wageni watarajiwa, je wahusika wanakwepa lugha ya kiingereza?

Mnajua lakn balozi zetu huwa na watu wangapi? Kuna
1. Balozi mwenyewe
2. Mwambata wa maswala ya Fedha
3. Mwambata wa maswala ya Ulinzi
4. Na mwingine
Hao ndio notable people wenye kuweza kuwa na majibu ya maswali ya watu. Wengine wanaweza kuwa makarani ambao Mara nyingi sio raia wa Tanzania. Kwa kiwango hicho Cha Understaff inategemea nini nyakati za pressure ya kazi?

Ajitokeze angalau mmoja wao ajibu madai haya.

Licha ya hayo ulosema bado ubalozi wna watumishi wengine wa kawadia chini ya hao ulowataja.
 
Back
Top Bottom