Ubashiri: Kikosi cha Yanga SC dhidi ya Simba SC katika mchezo wa Jumamosi

Diarra

Job Mwamnyeto Bangala

Djuma Aucho Sureboy Farid

Ntibazonkiza Mayele Feisal


Formation: 3-4-3
 
Diarra

Job Mwamnyeto Bangala

Djuma Aucho Sureboy Farid

Ntibazonkiza Mayele Feisal


Formation: 3-4-3
Weeeee tutakufa Djuma na Farid watakuwa na kazi kubwa sana ya kusaidia kwenye kiungo tukishambuliwa na kurudi kwenye flanks kupamdisha mashambulizi sijawahi muona Nabi akicheza hivyo asijaribu tutakufa
 
Weeeee tutakufa Djuma na Farid watakuwa na kazi kubwa sana ya kusaidia kwenye kiungo tukishambuliwa na kurudi kwenye flanks kupamdisha mashambulizi sijawahi muona Nabi akicheza hivyo asijaribu tutakufa
Atakayekuwa Anafanya Kazi Ya Kuongeza Nguvu Kwenye Eneo La Kiungo Wakati Wa Kukaba Ni Bangala Atafanya Eneo La Kiungo Kuwa Na DM Wawili Yeye Na Aucho Kisha Djuma Na Farid Wanarudi Kutengeneza Ukuta Wa Watu Wa Nne Nyuma, Baada Ya Kumiliki Mpira Bangala Anarudi Kutengeneza Ukuta Wa Mabeki Wa Tatu Na Akina Job Kisha Farid Na Djuma Wanapanda.
 
Simba keshacheza mechi kubwa za kimataifa. Hii ya kwenu ni kama anacheza tu na ihefu.Wenye mchecheto ni utopolo wanaotaka kuonesha umwamba wao mbele ya timu kubwa ya simba.
Hata Namungo wamecheza kimataifa na timu kubwa walioko nusu fainali afrika
 
Yap, mi Moloko simuamini kabisa
 
Hata Mimi Naunga Mkono Moloko Saiv Akae Tu Benchi Kwakweli Amekuwa Hana Impact Sijui Leo Kama Akipewa Nafasi Atafanya Nn
 
So close.. Job/sureboy

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…