Nahisi kuyaamsha baadhi ya mapepo yaliyolala, tukutane kesho saa tano usiku hapa.
Ninachojua Yanga anaingia makundi, kivipi, subiri dakika 90.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake. Ibariki timu yetu ya Yanga.
Mtaingia tu makundi si yapo kibao ...kuna makundi ya vikoba mm ndo naona mtaingia huko bado masaaa tu mtapotea humu jfNahisi kuyaamsha baadhi ya mapepo yaliyolala, tukutane kesho saa tano usiku hapa.
Ninachojua Yanga anaingia makundi, kivipi, subiri dakika 90.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake. Ibariki timu yetu ya Yanga.
Kuna SUKUMA moja limepiga simu kwangu zaidi ya mara nne linaniita mimi GWANCHELE...naliambia umekosea linasema SIJAKOSEA NI WEWE HUYOHUYO....hovyo kweliMtaingia tu makundi si yapo kibao ...kuna makundi ya vikoba mm ndo naona mtaingia huko bado masaaa tu mtapotea humu jf
Wanaongoza kwa kukosea namba, sijui hawana kazi huko makwao. Wanakera sana na wanahisi kila mtu anaongea lugha yao.Kuna SUKUMA moja limepiga simu kwangu zaidi ya mara nne linaniita mimi GWANCHELE...naliambia umekosea linasema SIJAKOSEA NI WEWE HUYOHUYO....hovyo kweli
Wanaongoza kwa kukosea namba, sijui hawana kazi huko makwao. Wanakera sana na wanahisi kila mtu anaongea lugha yao.
Oneni akili zenu😂!Huo ndio ukweli, Tanzania hii hakuna asiyejua hata neno moja la Kisukuma!! Wacha roho mbaya.